Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Nimekaa hapa kuangalia uongo upo wapi katika story hii. Unapotunga uzingatie sana vigezo vya utungaji. Yaani usidanganye sana utaniudh. Mugaka anafahamu habari yangu vizuri na moderators. So nakutahadhalisha uwe makini na utulie sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nakutafuta kumbe umo umeweka kambi

Twende mdgo mdgo tutamkamata tu lzm atajichanganya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unamtukanaje mtu bila sababu ,wakt hajatukana mtu yoyote katoa taadhari tu shenz Sanaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimeshangaa sana hawa madogo ambao hawakupata malezi mazuri. Sijaelewa why alinitukana na sikuwa nimemkosea lolote. Na Moderator naona wanafuga baadhi ya watu kuwaacha watukane wanavyojisikia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nakutafuta kumbe umo umeweka kambi

Twende mdgo mdgo tutamkamata tu lzm atajichanganya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimeshamuuliza taasisi gani private inatoa likizo ya uzazi ya mwaka mzima. Kama sijaelewa nimeomba anieleweshe.maana nlishamwambia awe makini kwenye tungo zake maana na sisi waangalizi wa Kimataifa tupo tunaangalia.
 
Back
Top Bottom