Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Shusha basiiMiongoni mwa visa vya kipekee nilivyopata kusikia basi ni hiki. Niliona kinafaa sana kuwa cha kwanza maana dah..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shusha basiiMiongoni mwa visa vya kipekee nilivyopata kusikia basi ni hiki. Niliona kinafaa sana kuwa cha kwanza maana dah..
Nishashusha mbona.Shusha basii
Ni nani yako?Ngoja nimlete dr namugari
nimechelewa kdg ila shukrani shosty yngSanto sana kipenzi Ngoja nitulie nisome naona bado yamotroo kabisa hii!!
Wapii Unforgettable Lovelovie sophy27 Kalpana baby zu
Usijareee dear Na Stivu alitupia mpyaa nilikuita uliiona??nimechelewa kdg ila shukrani shosty yng
[emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nakutafuta kumbe umo umeweka kambiNimekaa hapa kuangalia uongo upo wapi katika story hii. Unapotunga uzingatie sana vigezo vya utungaji. Yaani usidanganye sana utaniudh. Mugaka anafahamu habari yangu vizuri na moderators. So nakutahadhalisha uwe makini na utulie sana.
Nitafikaaaa piaAntonnia em pita pale YouTube channel ya simulizi mix, Kuna kazi yangu kali sana[emoji7][emoji7], nitafurahi nikiona comment yako
Unamtukanaje mtu bila sababu ,wakt hajatukana mtu yoyote katoa taadhari tu shenz Sanaahuyu si mchawi, huyo ni punguani na limbukeni wa maisha. Karidhika na kulelewa na shemeji yake kiasi cha kuamini vya shemeji ni vya kwake.
Naam nimefika nimetulia napitia mstari kwa mstari ,nukta kwa nukta ajipange San bwana molleli na bi hauleNgoja nimlete dr namugari
Ngoja nisaidie kutag watu, wengine hata habari hawana, wasije lalamika baadae.Dah nimekosa mtu wa kunitag tangu juzi [emoji17]
Nimeshangaa sana hawa madogo ambao hawakupata malezi mazuri. Sijaelewa why alinitukana na sikuwa nimemkosea lolote. Na Moderator naona wanafuga baadhi ya watu kuwaacha watukane wanavyojisikia.Unamtukanaje mtu bila sababu ,wakt hajatukana mtu yoyote katoa taadhari tu shenz Sanaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimeshamuuliza taasisi gani private inatoa likizo ya uzazi ya mwaka mzima. Kama sijaelewa nimeomba anieleweshe.maana nlishamwambia awe makini kwenye tungo zake maana na sisi waangalizi wa Kimataifa tupo tunaangalia.[emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nakutafuta kumbe umo umeweka kambi
Twende mdgo mdgo tutamkamata tu lzm atajichanganya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Offcoz Ana mzidi parefu sana yule dereva bodaboda parefuHuyu mtu anajua kuandika. Nasubri hivyo visa
The same ,Likizo ya uzazi mwaka mzima?private sector? Ilikuaje?