dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Huna connection tatizoDah nimekosa mtu wa kunitag tangu juzi [emoji17]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna connection tatizoDah nimekosa mtu wa kunitag tangu juzi [emoji17]
Ni Wapumbavu Ni watot walio lelewa kimandazi Bab zao walikuwa hawana kauli kwa mam zao ndio maana havina adabu , ogopa Sana vitoto vya hvyoNimeshangaa sana hawa madogo ambao hawakupata malezi mazuri. Sijaelewa why alinitukana na sikuwa nimemkosea lolote. Na Moderator naona wanafuga baadhi ya watu kuwaacha watukane wanavyojisikia.
Ujamuita yule shoga Hassan Mambosasa na shikamkono01 Hawa Ni mashoga official kbsaNgoja nisaidie kutag watu, wengine hata habari hawana, wasije lalamika baadae.
Jane Msowoya winston20 Kisima Shunie Firdaus9 Bantu Lady Che mittoga Mrs Lissu Mdigokhan Smart AJ One mistake Emushi Mafian cartel Mbeya Girl Bilionea Asigwa IBRA wa PILI Kanali_ Extra miles gbefa buffalo44 MINENE BOY Deportivo la coruna Kelsea Innovator97 Valentina blackstarline Karucee Depal dingihimself Dejane Marcel 12 Sakasaka Mao moneytalk Tajiri Kichwa Prince Kunta
Ngoja nisaidie kutag watu, wengine hata habari hawana, wasije lalamika baadae.
Jane Msowoya winston20 Kisima Shunie Firdaus9 Bantu Lady Che mittoga Mrs Lissu Mdigokhan Smart AJ One mistake Emushi Mafian cartel Mbeya Girl Bilionea Asigwa IBRA wa PILI Kanali_ Extra miles gbefa buffalo44 MINENE BOY Deportivo la coruna Kelsea Innovator97 Valentina blackstarline Karucee Depal dingihimself Dejane Marcel 12 Sakasaka Mao moneytalk Tajiri Kichwa Prince Kunta
Umeelewaje pale pa yeye kupewa mwaka mzima likizo ya uzazi? Nifafanulie.Simuliz nzuri sanaaa
Thanks mommy. I hope sijakuelewa sana
Tena sio mwaka mzima. Alipewa miaka miwili kabisa. Au hujapaona? Mpaka akaanza kwenda na mtoto shuleni?Umeelewaje pale pa yeye kupewa mwaka mzima likizo ya uzazi? Nifafanulie.
Umeelewaje pale pa yeye kupewa mwaka mzima likizo ya uzazi? Nifafanulie.
Tena sio mwaka mzima. Alipewa miaka miwili kabisa. Au hujapaona? Mpaka akaanza kwenda na mtoto shuleni?
Na hujaona swala hilo lilileta maneno hata kwa staff wengine kwamba fulani amependelewa kupita kiasi?
Kwanini kapendelewa na kwanini ikawa hivyo utaona katika sehemu zinazofuata.
Ilikuwa likizo bila malipo au na malipo?Tena sio mwaka mzima. Alipewa miaka miwili kabisa. Au hujapaona? Mpaka akaanza kwenda na mtoto shuleni?
Na hujaona swala hilo lilileta maneno hata kwa staff wengine kwamba fulani amependelewa kupita kiasi?
Kwanini kapendelewa na kwanini ikawa hivyo utaona katika sehemu zinazofuata.
Kosa langu hapo ni nini? Sisi wenye uelewa mkubwa huwa hatupendwi najua sana. 😔 Msitulaumu hatukupenda kuumbwa hivi na sisi tunatamani kuwa kama nyie ambao hamfikirii ila inakuwa ngumu.Sasa shida yako nin jamani unatuchosha nenda kule siasani
Kosa langu hapo ni nini? Sisi wenye uelewa mkubwa huwa hatupendwi najua sana. 😔 Msitulaumu hatukupenda kuumbwa hivi na sisi tunatamani kuwa kama nyie ambao hamfikirii ila inakuwa ngumu.
Huko ni kutunyanyapaa sisi wenye akili jamani. Si sawa. Tupendane watanzania sote ni ndugu. Msitunyanyapae.😂😂😂😂 nenda jukwaa la sport ukabishane huko sie tuache na stori zetu
Huko ni kutunyanyapaa sisi wenye akili jamani. Si sawa. Tupendane watanzania sote ni ndugu. Msitunyanyapae.
Na mimi uwe unani tag
Sawa.Na mimi uwe unani tag