Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Misele kwa sana mitaa hii ila Steve haoni hata hizi vumbi hapa kitaa wana tunakuja kulanda landa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa ngaa?Hanging kivipi kaka, na nimepost juzi sehemu ya 14?
Leo natuma sehemu ya kumi na kumi na tano.
Leo ya SteveMollel ni kesho ,,. Nipo paleeSaa ngaa?
Kama sio keshokutwaLeo ya SteveMollel ni kesho ,,. Nipo palee
Alete vitu vya studio tushakua na uraibu wa story, nisiposoma story humu naona siku haijaishaMmarekani ushasema mi ninani hata nipinge ☺️!!
Stivu sijui atatukumbuka lini walai akitingwa anatingwa kweri kweri!
ndo ulie sasa kisa story tena ya kutunga kweliiSteveMollel acha kuzingua mzee. Kama unataka tukufate Telegram nyoosha maelezo. Mimi nitakuja ili nikate kiu.
Unaweza ukawa unajidai kisa story ni yako. Lakini kumbuka mwandishi bila hadhara si mwandishi.
I promise, sitokaa nifuatilie story zako. Sipendi waandishi that can't commit themselves to their readers.
Unafurahi watu kukubembeleza? Hell No. Haipaswi kuwa hivyo. Hukulazimishwa kuileta kama ambavyo nami sijalazimishwa kuisoma.
Tumeunganishwa na andiko lako. Huu ni upuuzi.
Sinaga uvumilivu kwenye mambo yasiyohitaji uvumilivu..ndo ulie sasa kisa story tena ya kutunga kwelii
Story sio yake refer hapo mwanzoni ila cheki uzi wa leadermoe uko moto mda wote watu wanadiscuss huu umeanza kupooza na story inaanza kutonoga kama mwanzo kwa sababu tayari ushaiwekea zongo. .SteveMollel acha kuzingua mzee. Kama unataka tukufate Telegram nyoosha maelezo. Mimi nitakuja ili nikate kiu.
Unaweza ukawa unajidai kisa story ni yako. Lakini kumbuka mwandishi bila hadhara si mwandishi.
I promise, sitokaa nifuatilie story zako. Sipendi waandishi that can't commit themselves to their readers.
Unafurahi watu kukubembeleza? Hell No. Haipaswi kuwa hivyo. Hukulazimishwa kuileta kama ambavyo nami sijalazimishwa kuisoma.
Tumeunganishwa na andiko lako. Huu ni upuuzi.
Nipe link mkuuStory sio yake refer hapo mwanzoni ila cheki uzi wa leadermoe uko moto mda wote watu wanadiscuss huu umeanza kupooza na story inaanza kutonoga kama mwanzo kwa sababu tayari ushaiwekea zongo. .
Ila pia huwezi jua mtu anapitia vitu gani huko alipo. .
Gily Mpe SteveMollel heshima yake, kila mtu ana style yake. Pia akisha post hapa, chakula hakiji mezani, anatoka akatafute. Hawezi shinda njaa, ili aje kukuwekea mwendelezo wakati wewe umeshiba.Story sio yake refer hapo mwanzoni ila cheki uzi wa leadermoe uko moto mda wote watu wanadiscuss huu umeanza kupooza na story inaanza kutonoga kama mwanzo kwa sababu tayari ushaiwekea zongo. .
Ila pia huwezi jua mtu anapitia vitu gani huko alipo. .
Sasa leadermoe soma nilichoandika nimesema neno gani baya. .Gily Mpe SteveMollel heshima yake, kila mtu ana style yake. Pia akisha post hapa, chakula hakiji mezani, anatoka akatafute. Hawezi shinda njaa, ili aje kukuwekea mwendelezo wakati wewe umeshiba.
Pls sipendi uni mention kwenye kauli kama hizi. Samahani kama nitakukwaza. 🙏
MhGily Mpe SteveMollel heshima yake, kila mtu ana style yake. Pia akisha post hapa, chakula hakiji mezani, anatoka akatafute. Hawezi shinda njaa, ili aje kukuwekea mwendelezo wakati wewe umeshiba.
Pls sipendi uni mention kwenye kauli kama hizi. Samahani kama nitakukwaza. [emoji120]
Nipe link mkuu