Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

SteveMollel acha kuzingua mzee. Kama unataka tukufate Telegram nyoosha maelezo. Mimi nitakuja ili nikate kiu.

Unaweza ukawa unajidai kisa story ni yako. Lakini kumbuka mwandishi bila hadhara si mwandishi.

I promise, sitokaa nifuatilie story zako. Sipendi waandishi that can't commit themselves to their readers.

Unafurahi watu kukubembeleza? Hell No. Haipaswi kuwa hivyo. Hukulazimishwa kuileta kama ambavyo nami sijalazimishwa kuisoma.

Tumeunganishwa na andiko lako. Huu ni upuuzi.
 
SteveMollel acha kuzingua mzee. Kama unataka tukufate Telegram nyoosha maelezo. Mimi nitakuja ili nikate kiu.

Unaweza ukawa unajidai kisa story ni yako. Lakini kumbuka mwandishi bila hadhara si mwandishi.

I promise, sitokaa nifuatilie story zako. Sipendi waandishi that can't commit themselves to their readers.

Unafurahi watu kukubembeleza? Hell No. Haipaswi kuwa hivyo. Hukulazimishwa kuileta kama ambavyo nami sijalazimishwa kuisoma.

Tumeunganishwa na andiko lako. Huu ni upuuzi.
ndo ulie sasa kisa story tena ya kutunga kwelii
 
SteveMollel acha kuzingua mzee. Kama unataka tukufate Telegram nyoosha maelezo. Mimi nitakuja ili nikate kiu.

Unaweza ukawa unajidai kisa story ni yako. Lakini kumbuka mwandishi bila hadhara si mwandishi.

I promise, sitokaa nifuatilie story zako. Sipendi waandishi that can't commit themselves to their readers.

Unafurahi watu kukubembeleza? Hell No. Haipaswi kuwa hivyo. Hukulazimishwa kuileta kama ambavyo nami sijalazimishwa kuisoma.

Tumeunganishwa na andiko lako. Huu ni upuuzi.
Story sio yake refer hapo mwanzoni ila cheki uzi wa leadermoe uko moto mda wote watu wanadiscuss huu umeanza kupooza na story inaanza kutonoga kama mwanzo kwa sababu tayari ushaiwekea zongo. .

Ila pia huwezi jua mtu anapitia vitu gani huko alipo. .
 
Story sio yake refer hapo mwanzoni ila cheki uzi wa leadermoe uko moto mda wote watu wanadiscuss huu umeanza kupooza na story inaanza kutonoga kama mwanzo kwa sababu tayari ushaiwekea zongo. .

Ila pia huwezi jua mtu anapitia vitu gani huko alipo. .
Nipe link mkuu
 
Story sio yake refer hapo mwanzoni ila cheki uzi wa leadermoe uko moto mda wote watu wanadiscuss huu umeanza kupooza na story inaanza kutonoga kama mwanzo kwa sababu tayari ushaiwekea zongo. .

Ila pia huwezi jua mtu anapitia vitu gani huko alipo. .
Gily Mpe SteveMollel heshima yake, kila mtu ana style yake. Pia akisha post hapa, chakula hakiji mezani, anatoka akatafute. Hawezi shinda njaa, ili aje kukuwekea mwendelezo wakati wewe umeshiba.

Pls sipendi uni mention kwenye kauli kama hizi. Samahani kama nitakukwaza. 🙏
 
Gily Mpe SteveMollel heshima yake, kila mtu ana style yake. Pia akisha post hapa, chakula hakiji mezani, anatoka akatafute. Hawezi shinda njaa, ili aje kukuwekea mwendelezo wakati wewe umeshiba.

Pls sipendi uni mention kwenye kauli kama hizi. Samahani kama nitakukwaza. 🙏
Sasa leadermoe soma nilichoandika nimesema neno gani baya. .

Kwamba wewe ukiwa uko busy unatoa taarifa au? Watu wanalalamika hapo chini nimesema ana mambo yake. Au bado umeweka moyoni ya jana ndugu yangu?

Samahani sana aisee inaonekaka nimekukwaza sana. Maisha mafup haya sipendi nimkwaze mtu. .
 
Back
Top Bottom