Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Sanaaa Steve alikuwa hayupo hivi jamani tunaomjua toka zamani tunajua alikuwa vipi siku hizi amebadilika sanaaa
 
Sahihi kabisa
 
Uzuri watized kwa kusahau tunaongoza haka katoto kakuja kutupia moja utaskia asante mkuu bas nachenyewe venye kako arrogant katazidi kujikuta. Hizi ndude za hivi ni kuacha kuzisoma ziweke simulizi zikose wasomaji zipate stress depression zife
 
Kenyewe kanajiskia rahaa kubembelezwa yani mimi mtu akitaka kuniudhi anibembeleze mtoto wa kiume unahusudu vip kubembelezwa jaman mnatupa dhambi
 
Uzuri watized kwa kusahau tunaongoza haka katoto kakuja kutupia moja utaskia asante mkuu bas nachenyewe venye kako arrogant katazidi kujikuta. Hizi ndude za hivi ni kuacha kuzisoma ziweke simulizi zikose wasomaji zipate stress depression zife
Ukiwa fokea unaambiwa una shobo

Bladfaken

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…