Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Mmemu outshine na konki zenu kaona aage mashindano mdogo wetu nyie wabaya sana
Sio kweli mkuu, jamaa atakuwa busy na personal issues tu. Akikaa sawa atarudi kuendelea. Kwani hajatoa taarifa zozote?
 
Noted
 
Nimekipenda zaidi kipande hiki kwakua kinaongelea zaidi maisha halisia tunayopitia watu ,panda shuka,maanguko ya kiuchumi na etc.unakuja nagari maisha bwerere mara unakuja kwa mguu nyumbani,nabarua ya kuachishwa kazi juu.usiombe yakukute haya.
 
Hivi Chizi Maarifa upo kweli??mbona kuna vijana wana leta dhereu afu umekaa kimya tu
Huwa nafika wadau wanapoleta malalamiko mezani kwangu kama hivi. Mimi ni mtetezi wa walaji aka wasomaji. Pale inapotikea mwandishi anaandika uongo halafu anataka waaminisha watu ni kweli naingilia kati. Pia anapotaka kuanza kuwaibia wasomaji au kama pia anaanza kulega lega kuwasilisha story kwa wakati.
 
SteveMollel nimesikia kilio cha wasomaji. Nakupa masaa hayo ... Uwe umeweka kisa kingine au ujieleze kwa nini umekuwa na delay kuwatungia visa vingine wasomaji. Kumbuka kuwa hawakukuomba ulete hii story. Ni kiherehere chako mwenyewe. Sasa wameanza kufuatilia usianze kuleta madeko na mapozi.

Nakupa order tunga visa vingine ulete. Na kama umejichanganya sana sasa unakosa mwendelezo sema tu maana najua changamoto za utungaji sometimes kisa kinakosa mwendelezo sababu ulijichanganya sehemu.

Lakini kama sivyo utaniambia kwa nini usichukuliwe hatua kali kwa kuchezea hisia za wasomaji wengi ambao hawana cha kufanya hii story ndo ilikuwa inawasukumia siku zao.
 
ha haaaa jamani mbona ndo atafuta na bandiko lenyewe
 
Mara mwingine anasema nilifiwa wkt anaonekana kwenye majukwa ya michezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…