Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Yani we dogo stive sijui umekuaje siku hz, hukuwa hivo HUKO NYUMA.
 
😂😂😂😂😂naona analike kwanza
Huyu sasa anatuchosha
Yan ungejua ninavyotiririkaga na hizo episode nikianza kusoma story hadi kula sili,usiku naikeshea hadi SAA kumi,nakuja kulala 2 hrs naamka,kesho yake ni mwendo wa kusinzia hivyo kibaruani,jioni tena ninayo hadi niende sambamba na nyie,ukiona nimelike ujue napita na comments za wadau kuifata episode inayofuata mama LA mama😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…