Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
Mbona hata wewe ulikua unasemwa sana na hujawahi kususa?, ana tabia za ki**** huyu mwamba.Nasikia jamaa kasusa, wadau walimsema sana í ½í¸í ½í¸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata wewe ulikua unasemwa sana na hujawahi kususa?, ana tabia za ki**** huyu mwamba.Nasikia jamaa kasusa, wadau walimsema sana í ½í¸í ½í¸
Daaahh,nimecheka sana,eti mbagara maji matitu!!!???Aisee nilikua nakuona mzungu sana SteveMollel
Kumbe mswahili wa mbagala maji matitu
Mtumieni hela ya vocha 😅😅Aisee nilikua nakuona mzungu sana SteveMollel
Kumbe mswahili wa mbagala maji matitu
Ukiwa na tabia za kususa huwezi fanikiwa asilani.... kupitia uandishi wake hapa angekutana na madili maana humu watu tupo wengiMtumieni hela ya vocha 😅😅
😆 😆 😆Daaahh,nimecheka sana,eti mbagara maji matitu!!!???
Ss asiambiwe ukweli jmn. Anazingua sn tu km alkw htk kuadithia kwa nn aliandika humu. Angebaki nayo tu stori yakeNasikia jamaa kasusa, wadau walimsema sana 😅😅
Muombeni msamaha, atarudi tu 😅Ss asiambiwe ukweli jmn. Anazingua sn tu km alkw htk kuadithia kwa nn aliandika humu. Angebaki nayo tu stori yake
Kwa niaba yao, nakuruhusu. Twende kazi.Wakuu naomba mnipe ruhusa nimalizie hii story.
Muombeni msamaha, atarudi tu [emoji28]
Soon usijali 😊😊Tusimulie basi ya mwahija
Hiyo soon naichukiaSoon usijali 😊😊
Yan ungejua ninavyotiririkaga na hizo episode nikianza kusoma story hadi kula sili,usiku naikeshea hadi SAA kumi,nakuja kulala 2 hrs naamka,kesho yake ni mwendo wa kusinzia hivyo kibaruani,jioni tena ninayo hadi niende sambamba na nyie,ukiona nimelike ujue napita na comments za wadau kuifata episode inayofuata mama LA mama😉😂😂😂😂😂naona analike kwanza
Huyu sasa anatuchosha
Aisee!!!,,jirani mwema kabisa hapo,Thanx bro..
Mimi nipo Ilazo hapa kumbe jirani yangu