Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Ngoja niende kwa [mention]UMUGHAKA [/mention] au [mention]Analyse [/mention] , bila shaka watakuwa washaweka za Kulalia
 
Asante baby doll kwa tag[emoji7]
Na kuna sehemu kuna story nzuri mpenzi ngoja nikuwekee link huyu Steve sijui kawaje siku hizi na online yupo





 
Na kuna sehemu kuna story nzuri mpenzi ngoja nikuwekee link huyu Steve sijui kawaje siku hizi na online yupo





Asante ngoja nikasogeze muda uko
 
Na kuna sehemu kuna story nzuri mpenzi ngoja nikuwekee link huyu Steve sijui kawaje siku hizi na online yupo





[emoji120][emoji120][emoji120]uishi sana, Steve anazingua
 
Siwezi fanya hivyo. Sipendagi Uzi unatrend sana, ukiingia unakuta sababu ya Uzi kutrend ni watu kulalamika. Unascroll page karibia 10 zote ni malalamiko tu.

Story yangu itaisha kwa wakati, na hakuna siku ambayo sitopost. Cha muhimu uzima tu 🤦
Sawa ukimaliza hiyo utusimulie nyingine story zako nzuri sana
Halaf leo tupostie mbili
 
Back
Top Bottom