Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuna sehemu kuna story nzuri mpenzi ngoja nikuwekee link huyu Steve sijui kawaje siku hizi na online yupoAsante baby doll kwa tag[emoji7]
Asante ngoja nikasogeze muda ukoNa kuna sehemu kuna story nzuri mpenzi ngoja nikuwekee link huyu Steve sijui kawaje siku hizi na online yupo
Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...www.jamiiforums.com
Shetani baba yangu (devil my father)
Sehemu ya 1 Ninaitwa Kapeli ni mtoto wa sita kati ya watoto saba familia yetu ni ya kimasikini kama waadhirika wengine wa vita nchini kongo. Siku nyingine tungepitisha siku tatu bila kugusa chochote, ni maji tu ndio tungekuwa tunauhakika nayo Ni mdogo ninamiaka 15 sasa nawaza kuhusu hali yetu...www.jamiiforums.com
Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...www.jamiiforums.com
True story: Babu yangu kama mshikaji wangu
Wana jamvi leo nawaletea stori ya maisha niliyopitia, harakati za maisha, mapenzi, uonevu fitina na uchawi vyote utavipata hapa, ni true stori, lakini majini ya vijiji na watu nitabadilsha kwa ajili ya usalama wangu, karibuni.www.jamiiforums.com
Akinyi Must Die (Ni lazima Akinyi Afe)
AKINYI MUST DIE (NI LAZIMA AKINYI AFE) - 01 Mvua kubwa iliyoambatana na ngurumo,radi na upepo mkali zilikuwa zikilindima Kaskazini mashariki mwa Tanzania katika jiji la Mwanza,maeneo ya Buswelu.Ilikuwa ni mvua kubwa kiasi kwamba kila raia alishitushwa na namna mvua ile ilivyokuwa ya kuogofya...www.jamiiforums.com
[emoji120][emoji120][emoji120]uishi sana, Steve anazinguaNa kuna sehemu kuna story nzuri mpenzi ngoja nikuwekee link huyu Steve sijui kawaje siku hizi na online yupo
Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...www.jamiiforums.com
Shetani baba yangu (devil my father)
Sehemu ya 1 Ninaitwa Kapeli ni mtoto wa sita kati ya watoto saba familia yetu ni ya kimasikini kama waadhirika wengine wa vita nchini kongo. Siku nyingine tungepitisha siku tatu bila kugusa chochote, ni maji tu ndio tungekuwa tunauhakika nayo Ni mdogo ninamiaka 15 sasa nawaza kuhusu hali yetu...www.jamiiforums.com
Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...www.jamiiforums.com
True story: Babu yangu kama mshikaji wangu
Wana jamvi leo nawaletea stori ya maisha niliyopitia, harakati za maisha, mapenzi, uonevu fitina na uchawi vyote utavipata hapa, ni true stori, lakini majini ya vijiji na watu nitabadilsha kwa ajili ya usalama wangu, karibuni.www.jamiiforums.com
Akinyi Must Die (Ni lazima Akinyi Afe)
AKINYI MUST DIE (NI LAZIMA AKINYI AFE) - 01 Mvua kubwa iliyoambatana na ngurumo,radi na upepo mkali zilikuwa zikilindima Kaskazini mashariki mwa Tanzania katika jiji la Mwanza,maeneo ya Buswelu.Ilikuwa ni mvua kubwa kiasi kwamba kila raia alishitushwa na namna mvua ile ilivyokuwa ya kuogofya...www.jamiiforums.com
Kumbe upande huu ndio mnateseka hivi? 😅😅
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu anatukawiza sana wakati wewe kule unashusha tu madude.Kumbe upande huu ndio mnateseka hivi? [emoji28][emoji28]
Na soon yangu naimaliza. Ili story za kusoma zipungue, mbaki mnawabembeleza hawa wasimuliaji wenu 😅😅😅😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu anatukawiza sana wakati wewe kule unashusha tu madude.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe upande huu ndio mnateseka hivi? [emoji28][emoji28]
Na soon yangu naimaliza. Ili story za kusoma zipungue, mbaki mnawabembeleza hawa wasimuliaji wenu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Chizi Maarifa toa neno kwa huyu author[emoji1787]tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi fanya hivyo. Sipendagi Uzi unatrend sana, ukiingia unakuta sababu ya Uzi kutrend ni watu kulalamika. Unascroll page karibia 10 zote ni malalamiko tu.Usimuige steve tafadhali nakuomba analyse
Yaan mpaka nataman nikupigie simu unisimulie kwenye simu tumalizane au unaonaje😂😂😂Kwenye huu Uzi ndio nimeelewa. Kumbe hasira ulizonishushia Jana, ulizitoa huku 😅😅😅
Sawa ukimaliza hiyo utusimulie nyingine story zako nzuri sanaSiwezi fanya hivyo. Sipendagi Uzi unatrend sana, ukiingia unakuta sababu ya Uzi kutrend ni watu kulalamika. Unascroll page karibia 10 zote ni malalamiko tu.
Story yangu itaisha kwa wakati, na hakuna siku ambayo sitopost. Cha muhimu uzima tu 🤦
Aah sitaki tena. Unasubiri story unataman hata kulia 😂Na soon yangu naimaliza. Ili story za kusoma zipungue, mbaki mnawabembeleza hawa wasimuliaji wenu 😅😅😅😅
😂😂😂Aah sitaki tena. Unasubiri story unataman hata kulia 😂