Niliyezaa naye hataki kunipa mtoto wangu, nifanyaje?

Ukisikia mtu kasomea digrii ya ufugaji badala ya kufuga samaki anaishia kufuga ndevu ndio wewe mkuu.
 
Mi nadhani unahitaji kufanya uchunguzi bunafsi,naona kuna vitu bado hujavijua unaendelea kudanganywa
 
Mtoto sio wako, labda km unatafuta matatizo yasiyo ya msingi.
Kaa mbali na Mke wa mtu, mxxxxxiiiiieeeew
 
Mwanaume hagombei Mtoto
Kama Mwanamke amezuia huyo Mtoto.
Pili, kama toto lenyewe limekukataa.

Zaa wengine
 
Kwahiyo nifanyeje ndugu yangu
Kama Mama wa mtoto hataki kukupa ushirikiano wwe potezea,nakuhaidi kuna siku atakuja kukutafuta,kama siyo yeye basi mtoto wako atakutafuta mwenyewe, ila kama kweli ni Damu yako itakuja tu,na ikija wwe ipokee bila kinyongo! Kumbuka wakati tunapanga,na Mungu nae anapanga! Mi haya yalisha nitokea,lakini namshukuru Mungu baada ya miaka kadhaa nimerejeshewa Kijana wangu copyright, naamini rangi yangu ndiyo iliniokoa,maana mtu na mkewe wote weupe,lakini wametoa kitu Black kama mkaa!! Ila siku zote bado namuhusia kijana wangu,pamoja na mateso yote aliyoyapata bado anatakiwa kumuheshimu Baba yake mlezi!!
 
Mi nadhani unahitaji kufanya uchunguzi bunafsi,naona kuna vitu bado hujavijua unaendelea kudanganywa
Ni kweli pia niligundua Hilo ndo mana nimekuja kuomba ushauri ili nijue pakuanzia
 
Zaa na mwingine
 
Pole na hongera sana ndugu.
Natamani iwe hivyo ata kwangu mkuu lakini naumia kuona jina kabadilishiwa na kupewa lingne sasa ata akija kurudi kwangu baadae vipi jina notaweza kumbadilisha akiwa mkubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…