Mzanaki aliwapa tiba bure.
mlo bure .
shule bure.
Gumbaru bure
NH bure
Jkt bure.
Kazi bure
Gari za taka bure!!
University bure tena unalipwa juu!!
lkn Mlimkataa na kutaka kumuua na vitu mlivikataa!!!
Viwanda 8009 mliuza kifaa kimoja kimoja.mabomba mkakata hee! jamani tena bei poa.
Mutex.Sungura textile nk ilitia huruma!
Mkawa mnatupa panadol hivi!! mbele ya wauguzi.saaavu ilikuwa bure!! hivi mna akili kweli???
Au mzungu yuko sahihi! manyani kweli nyie...
Leo yamewafika shingoni. Mnatawaza kwa ndimi zenu Nasemana badooo! Mnastahili mtaenda wapi hata mmchague malaika wembe ndo huu!! Mlishajinyea wenye akili zao tuko majuu! Hatuji ng'ooo!!
pigeni kimya tuu!! Km hujui historia ya nchi yako piga kimya! usilaumu madaktari.
Hao wazazi wako. unaowauguza ndo walipinga sera za mchonga kawaulize vizuri na uwalaumu wao!!!
Tatizo mkiandikiwa dawa nzuri mkapona mapema kwa nusu dose. Zinazo baki mnaona madaktari walizitaka ili waziuze tena. yaaani miafrika ni shida sana.
Upewe jema shida. Unyimwe!! shida wakuache hapo huduma siyo nzuri.
Nyie hata shetani hawawezi....Mtamsumbua tu.siku hizi anatumia.Ebola,covid.cholera kuwapoteza.mwanzoni alitumia wachawi kuwapiga...bila matokeo mazuri.
Ok!! Dr akiziuza akala hiyo hela una umia nini? Si zime baki?
Unaona raha Gani akizitupa jalalani? Basi omba ukaziuze wewe!
Sijui huyo mgonjwa utampata wapi. Hadi akuamini.
Hamna jema kenge nyie....