Niliyoona Hospitali ya Taifa Muhimbili: Serikali isicheze na afya za Wananchi maskini

Niliyoona Hospitali ya Taifa Muhimbili: Serikali isicheze na afya za Wananchi maskini

Sasa usiombee mgonjwa awe na cancer mziki wa ocean road + Muhimbili 😥😥
 
Sasa usiombee mgonjwa awe na cancer mziki wa ocean road + Muhimbili 😥😥
Sisahau pale muhimbili nesi anatuambia mgonja wetu atakuwa na kansa ila bila kumpima halafu anatutengenezea mazingira ya kuanza clinic tena anatuambie tuwasiliane nae ili atupangie tarehe za karibu kwa maana hapo mazingira ya upigaji tumpe hela atupangie tarehe za karibu.
 
Sisahau pale muhimbili nesi anatuambia mgonja wetu atakuwa na kansa ila bila kumpima halafu anatutengenezea mazingira ya kuanza clinic tena anatuambie tuwasiliane nae ili atupangie tarehe za karibu kwa maana hapo mazingira ya upigaji tumpe hela atupangie tarehe za karibu.
Hatar na Kama ana cancer watamuamishia ocean road mjipange tu vizuri vinginevyo mtakimbiana poleni Sana.
 
Mzanaki aliwapa tiba bure.
mlo bure .
shule bure.
Gumbaru bure
NH bure
Jkt bure.
Kazi bure
Gari za taka bure!!
University bure tena unalipwa juu!!
lkn Mlimkataa na kutaka kumuua na vitu mlivikataa!!!

Viwanda 8009 mliuza kifaa kimoja kimoja.mabomba mkakata hee! jamani tena bei poa.
Mutex.Sungura textile nk ilitia huruma!

Mkawa mnatupa panadol hivi!! mbele ya wauguzi.saaavu ilikuwa bure!! hivi mna akili kweli???

Au mzungu yuko sahihi! manyani kweli nyie...

Leo yamewafika shingoni. Mnatawaza kwa ndimi zenu Nasemana badooo! Mnastahili mtaenda wapi hata mmchague malaika wembe ndo huu!! Mlishajinyea wenye akili zao tuko majuu! Hatuji ng'ooo!!

pigeni kimya tuu!! Km hujui historia ya nchi yako piga kimya! usilaumu madaktari.

Hao wazazi wako. unaowauguza ndo walipinga sera za mchonga kawaulize vizuri na uwalaumu wao!!!

Tatizo mkiandikiwa dawa nzuri mkapona mapema kwa nusu dose. Zinazo baki mnaona madaktari walizitaka ili waziuze tena. yaaani miafrika ni shida sana.

Upewe jema shida. Unyimwe!! shida wakuache hapo huduma siyo nzuri.

Nyie hata shetani hawawezi....Mtamsumbua tu.siku hizi anatumia.Ebola,covid.cholera kuwapoteza.mwanzoni alitumia wachawi kuwapiga...bila matokeo mazuri.

Ok!! Dr akiziuza akala hiyo hela una umia nini? Si zime baki?

Unaona raha Gani akizitupa jalalani? Basi omba ukaziuze wewe!
Sijui huyo mgonjwa utampata wapi. Hadi akuamini.
Hamna jema kenge nyie....
🤣🤣🤣🙌
Shekh punguza jazba kidogo.
 
Hatar na Kama ana cancer watamuamishia ocean road mjipange tu vizuri vinginevyo mtakimbiana poleni Sana.
Hata hakuwa na cancer ni basi tu yule nesi sijui ana masilahi na huko clinic basi ndio akatuambia hivyo ili twende huko clinic wakati hata Doctor pale hajasema tukachek cancer, yani tulienda pale kwa ajiri ya kipimo ambacho Hospitali ya Amana hawakuwa na hicho kipimo hivyo tukaandikiwa tuende Muhimbili, sasa kufika pale hawakutaka kumpima hicho kipimo wametuweka tu kuanzia mchana hadi jioni kisha ndio huyo nurse anatuita pembeni na kutuambia habari za kuwa mgonjwa wetu anaweza kuwa na kansa ndio akataka twende clinic.
 
Hapna watanzania mnaudhi sana. Hamueleweki mnataka nini. Mko km mitoto yatima.
Madaktari wanafanya kazi sana mpaka huruma.
Mitoto yatina haijui inataka nini siyo?
 
Mwenyezi Mungu atulinde sana dhidi ya magonjwa.... In Jesus Name
 
Mifano yako hata haiendani ndugu yangu kutembea na mke wangu ni kwamba wamekubaliana wenyewe hajambaka angembaka ingekuwa kesi ya kubaka, sasa unalinganisha vp jambo hilo la mke kuchepuka na kubaka halafu mtoto?
Hata uchaguzi tumekubaliana ndio njia ya kupata viongozi, lakini kuna wizi unatokea.
 
Hata uchaguzi tumekubaliana ndio njia ya kupata viongozi, lakini kuna wizi unatokea.
Sasa ndio useme na huo wizi mliukubali kwa sababu kuna kubalance, sie wengine hatukuukubali huo wizi ndio maana tuliacha kupiga kura kitambo tu.
 
Sasa ndio useme na huo wizi mliukubali kwa sababu kuna kubalance, sie wengine hatukuukubali huo wizi ndio maana tuliacha kupiga kura kitambo tu.

Ulipoacha kupiga kura kipi kilibadilika?
 
https://maryknollafrica.org/wp-content/uploads/2017/06/dsc_0200.jpg
Leo nimemtembelea ndugu hospitali ya Taifa Muhimbili. Gharama alizonieleza imebidi nione haja ya Serikali yetu kufanya Jambo katika hili.

Wacha gharama za usafiri wa mgonjwa na wauguzi kutoka wilayani, bado kuna gharama za malazi na matibabu. Na gharama za matibabu nilivyoziona, mwananchi wa hali ya chini lazima msiba utazikwa na manispaa.

Naiomba serikali kuliangalia kwa mapana yake na nashauri iweke ruziku katika hosipitali za rufaa zote nchini ili kushusha gharama hizo.

Kwakweli hali ni mbaya.
Aisee 🤔🤔
 
Sasa usiombee mgonjwa awe na cancer mziki wa ocean road + Muhimbili 😥😥
wee dada umerudi tena??? Gujiwe anakutafuta huko ahera!!


Hivi unajua hatuko nae tena??? Amekufi najua hujui!
 
Back
Top Bottom