Niliyoona Hospitali ya Taifa Muhimbili: Serikali isicheze na afya za Wananchi maskini

Nadhani iko haja mgonjwa ikitokea amekufa hakuna kulipa gharama maana mara zingine uzembe ndio hupelekea vifo. Sasa ili kusolve hili Tatizo inabidi hivyo. Hivi itapelekea wahudumu wa afya kupigana ili kuokoa uhai wapate fedha..!
 
Kama hata kupima covid 19 ni biashara tutegemee nini kwa magonjwa mengine?
Majirani zetu kupima covid ni 20k Tanzania ni 230k.
Kuna jamaa nawajua wana vimitaji vidogo vya faida labda laki 3 au 4,walikua wanaenda uganda kupoint viatu,sasa hivi wameshindwa maana tobo tatu ya faida inaenda kwenye kipimo cha corona,serikali sijui ilifikiria nini kuweka usd 100 fee ya kile kipimo!watu wameua mitaji yao aisee!
 
Mbona povu limekutoka, au wew ndo unauza dawa
 
Duh! Kiongozi mbona kama umeleta hasira sehem ambayo haipaswi kuwa ivo.

Huyu amezungumzia huduma vs gharama, na pengine mzazi aliye semwa hajui hata uongozi wa Mwalim ulivyokuwa!

Punguza Jazba, Udaktari ni wito!
 
Nilitegemea ibilisi amenajisi uchaguzi ili nchi itawaliwe na ccm kwa shuruti, nikadhani mambo yatakuwa mazuri huko kwenye matibabu, kumbe lengo ilikuwa ni kuzuia kelele za wapinzani wasiseme huo uhuni ndani ya bunge.
Hakujawahi kuwa na uchaguzi usionajisiwa chini ya huu utawala wa ccm, miaka yote ndio hivyo hivyo tu tofauti ni kwamba walikuwa wana balance tu sasa nashangaa hizi kelele zenu utafikiri huko nyuma kulikuwaga na chaguzi halali.

Yani mtu ameshafariki ila bado hajawatoka tu akilini anaendelea kuwasumbua.
 
Uyuu kaguswaaa, na
Duh! Kiongozi mbona kama umeleta hasira sehem ambayo haipaswi kuwa ivo.

Huyu amezungumzia huduma vs gharama, na pengine mzazi aliye semwa hajui hata uongozi wa Mwalim ulivyokuwa!

Punguza Jazba, Udaktari ni wito!
Pia nadhani yalimkuta ya kumkuta
 
Mkapa ndiye aliuza viwanda vyote kwa bei ya kutupa.
 
Ukiwapa bima wanakwambia haitoshi kaongeze hela
 
Uhuu ni ukweli ambao ni mchungu
Alii
Aliikuta hali nzuri iliachwa na wakoloni baada ya yeye kukaa miaka kila kitu kiliharibika,utawala Wazungu ni hivo..nenda South Africa...Namibia Botswana...something must be wrong with us,when it comes to management.
 
Duuu,hizi ndiyo akili za majuu no wonder hata huko life imegoma si kwa hasira hizi!!!!
 
We jamaa!! Uko pouwaa!!
 
Si mlikuwa mnachema Serikali inawaonea wafanya bishara na kuwaombea wasilipe kodi? JPM mtamkumbuka tu ngoja dawa iwaingie. Kila mtu abebe mzigo wake, na asiyefanya kazi asile.
 
Mimi Naunga Mkono gharama ziwe juu hadi Watanzania mtie akili kushabikia vyama vyenye majizi... Mtu kama Nyara- Mndu kapokelewa CCM swafi kwa shangwe mwizi wa Twiga
 
Chaguzi zilizopita kulikuwa na wizi, lakini chaguzi chini ya Magufuli zilikuwa ni za mlevi wa madaraka,
 
Chaguzi zilizopita kulikuwa na wizi, lakini chaguzi chini ya Magufuli zilikuwa ni za mlevi wa madaraka,
Ndio maana nakwambia unachokipigia wewe kelele ni kule kukosekana kubalance hivyo si kwamba hizo chaguzi zengine hawakuwa na uwezo wa kufanya kama alivyofanya Magufuli walikuwa na huo uwezo ila tu walibalance, sasa badala ya kupigia kelele za kutaka kusiwepo kabisa wizi wa kula wewe ndio kwanza bado unalalamika Magufuli kaiba sana kwa maana ulisharidhika na ule wizi wa kubalance ndio huu wizi ambao hauna balance unakufanya ulalamike.
 
Mimi Naunga Mkono gharama ziwe juu hadi Watanzania mtie akili kushabikia vyama vyenye majizi... Mtu kama Nyara- Mndu kapokelewa CCM swafi kwa shangwe mwizi wa Twiga
Kama hamna akili ni hamna akili tu, Ccm ndio chama tawala na Chadema ndio chama kikubwa cha upinzani na huyo Nyalandu kacheza kote alitoka ccm na kwenda chadema akapokelewa na kupewa uongozi na baadaye kaamua kurudi ccm akapokelewa. Sasa hapo kama vyama hivyo viwili vikubwa vyenye washabiki wengi hali iko hivyo je wewe ulitaka watu wakashabikie chama gani tena ambacho hakipokei majizi?
 

Ndugu yako akitembea na mkeo utakuja juu sana, lakini akimbaka mtoto mdogo hatua zake zitakuwa kali zaidi. Sasa huwezi kusema mbona umechukua hatua kali kwa aliyembaka mtoto kuliko aliyetembea na mkeo, eti kisa hatua dhidi ya uhuni wa mkeo hazikuwa kali, hivyo ni dalili kuwa uliridhika na mkeo kutembea na ndugu yako. Ni hivi Magu alikuwa shetani na dhalimu, watangulizi wake walikuwa washenzi na wezi.
 
Usingetukana mkuu umeandika vizuri ila mwisho umeharibu....Kenge mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nyerere ndiye alipaswa kuitwa baba sio yule takataka wa Kiburundi aliyekuwa akiabudiwa kila siku
 
Mifano yako hata haiendani ndugu yangu kutembea na mke wangu ni kwamba wamekubaliana wenyewe hajambaka angembaka ingekuwa kesi ya kubaka, sasa unalinganisha vp jambo hilo la mke kuchepuka na kubaka halafu mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…