Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
- Thread starter
- #21
Asante mkuuI feel you...
Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuI feel you...
Pole sana.
Kama msomi ndio huyu basi walimu wameweka mgomo baridiTaja tu kuwango chako cha elimu
Ko huyo jamaa ni uelevu upi alounesha au wa kulima Karanga!!!!Ni ngumu sana kujifanya mwerebu wakati ni mjinga. Hawezi kuishi kama mjinga wakati ninmwelevu hii kitu ni ngumu sana amin kwamba
Ko huyo jamaa ni uelevu upi alounesha au wa kulima Karanga!!!!
Umemwambia aishi kama hajui kitu au sikukuelewa?
Mkuu, nilipomaliza chuo niliajiriwa, ila nilitoka kwenye ajira kwa sababu nilijigundua kuwa mimi sio mtu wa kufuata maagizo(to follow orders, some very stupid orders) .Mkuu inahitaji moyo zile kitu hatari! Very painful
Huwa sipendi dharau hata kidogo, nafanya biashara mtu akizingua na kuonyesha dharau mbele ya biashara yangu simuuzii, nishafanyaga sio mara moja na maisha yanasonga, I enjoy my respect.Asante mkuu! Inauma Sana ukikumbuka ulivyo pambana na mapindi kuokoa supplementary! Dah unakuja kukutana na manyanyaso na hata mtu definition ya sun hajui
Mkuu bila shaka ulikua na mtaji kiasi cha kujiajiri na sijui umejikita kwenye biashara gani?Mkuu, nilipomaliza chuo niliajiriwa, ila nilitoka kwenye ajira kwa sababu nilijigundua kuwa mimi sio mtu wa kufuata maagizo(to follow orders, some very stupid orders) .
Huku mtaani kuna hitaji uvumilivu na akili kubwa kuliko kwenye ajira, nina furaha zaidi kujipangia mambo yangu na kujituma kadiri ya uwezo wangu wote.
Ninaona ni vizuri kujiwekea mwenyewe akiba ya uzeeni mapema kuliko kuwekewa na NSSF baadae wanakusumbua wakati wa kuzichukua..
Hahah pole mkuuHuwa sipendi dharau hata kidogo, nafanya biashara mtu akizingua na kuonyesha dharau mbele ya biashara yangu simuuzii, nishafanyaga sio mara moja na maisha yanasonga, I enjoy my respect.
Hatari mkuu ujue dharau zinauma Sana bossmkuu kwenye biashara inabidi ujifunze how to overcome the rejection. na inabidi ujue how to sell. biloa hivyo biashara itakushinda
Mkuu bidhaa ilikua bora kabisa Sema ndo hivyo hali ya biasharaMteja anachojali kupata ni bidhaa bora. Shida zako za uzalishaji hazimuhusu mkuu, watu hawanunui kwa kukuonea huruma maana huwezi jua pengine na yeye anaenda kutumia katika biashara yake. Hiyo ni biashara mkuu hivyo kama unaona watu wanakunyanyasa kutokana na ubora wa bidhaa yako bhasi jitahidi uiboreshe.
Ishi tu kama mtumwa ili uje kuishi kama mfalme.Usikate tamaa
Ukidharaulika kama mara 100 hivi mwisho wa siku unaona they are nothing but client from hell.Hatari mkuu ujue dharau zinauma Sana boss
Naona unaandika methali hapa boss wanguukidharaulika kama mara 100 hivi mwisho wa siku unaona they are nothing but client from hell.