Niliyopitia wakati wa kuuza karanga zangu baada ya kuzivuna

Niliyopitia wakati wa kuuza karanga zangu baada ya kuzivuna

Elimu ya kukariri hizo definition wao wanajua ya sado
Wewe msomi umeshindwa kutafuta mtu akanunua gunia zako zote kwa jumla (wapo wengi)
Unauza rejareja daa kweli umejitakia kunyanyasika na elimu yako
Mkuu kwa jumla Bei inashuka wanataka discount kubwa Sana Sasa nilikua na malengo flani ningefeli kaka
 
Hahah pole mkuu
Sometimes usijishushe sana, jipandishe kidogo, hata kama huwaonyeshi vyeti vyako ila kuna standard frani unatakiwa uwe. Ukiacha biashara huwa nalima pia madalali na pesa zao mbuzi mara nyingi nawatimuaga shambani na siwazi hata kidogo, usijitie unyonge unakuwa dhaifu, ndipo hapo unapohisi kuwa rejected but no one reject you than yourself.
 
Sometimes usijishushe sana, jipandishe kidogo, hata kama huwaonyeshi vyeti vyako ila kuna standard frani unatakiwa uwe. Ukiacha biashara huwa nalima pia madalali na pesa zao mbuzi mara nyingi nawatimuaga shambani na siwazi hata kidogo, usijitie unyonge unakuwa dhaifu, ndipo hapo unapohisi kuwa rejected but no one reject you than yourself.
Nimeamini mkuu ukijishusha Sana unakua mnyonge halafu dah hapo ndo unakumbuka ulikopitia
 
Mimi saivi nimeshaamua kuishi kama JASUSI mtaani sitaki mtu ajue elimu yangu kabisa nataka kila mtu anione kama muhuni fulani tu wa kitaa kioa mtu ashike hamsini zake mambo ya kuonesha elimu yako kwa wananzengo sitaki
 
mimi saivi nimeshaamua kuishi kama JASUSI mtaani sitaki mtu ajue elimu yangu kabisa nataka kila mtu anione kama muhuni fulani tu wa kitaa kioa mtu ashike hamsini zake mambo ya kuonesha elimu yako kwa wananzengo sitaki
Ndo ivyo mkuu hakuna anaependa ajulikane lakini inategemea na mazingira fulani wakati mwingine inakubidi useme jinsi ulivyo ili upewe vyako
 
Mkuu bila shaka ulikua na mtaji kiasi cha kujiajiri na sijui umejikita kwenye biashara gani?
Mkuu niliondoka kazini bila hata mia, niliondoka ki hasira sana, nilipata tabu sana, ila nilikuwa nimejiandaa kisaikolojia maana nilijua lazima nitateseka.

Nilifulia ikabidi mke wangu na mwanangu kipenzi Junior warudi kwao, nilianza kuendesha bajaji tena ya mtu, nilijiwekea malengo nikawa kila baada ya muda kadhaa nanunua bodaboda nampa mtu ananililetea malengo, baadae kikanunua bajaji yangu..

Bajaji zilivyofika kadhaa nikaacha kuendesha nikawa nadeal na service tu, nishaanza mpango wa kuingia kwenye real estate maana ndio target yangu, nafurahia maisha kuliko nilivyokuwa kwenye ajira.
 
Wasomi wengi hujikuta wanaingia uchizi coz hawakupata walichokitarajia baada ya masomo yao,mtu akijiona ana elimu ya hadhi fulani basi anataka akiingia kitaani apewe heshima fulani kutokana na elimu yake,asipokipata alichokitarajia ,ndio uchizi na kukata tamaa huanzia hapo,ndio ile utasikia "Jamaa kasoma sana mpaka kawa chizi" au "Huyu wamemroga kwa elimu yake" kumbe mtu kajiroga yeye mwenyewe!

Kitaani kuna kanuni zake pia.
 
Mkuu niliondoka kazini bila hata mia, niliondoka ki hasira sana, nilipata tabu sana, ila nilikuwa nimejiandaa kisaikolojia maana nilijua lazima nitateseka.

Nilifulia ikabidi mke wangu na mwanangu kipenzi Junior warudi kwao, nilianza kuendesha bajaji tena ya mtu, nilijiwekea malengo nikawa kila baada ya muda kadhaa nanunua bodaboda nampa mtu ananililetea malengo, baadae kikanunua bajaji yangu..

Bajaji zilivyofika kadhaa nikaacha kuendesha nikawa nadeal na service tu, nishaanza mpango wa kuingia kwenye real estate maana ndio target yangu, nafurahia maisha kuliko nilivyokuwa kwenye ajira.
Hongera mkuu! Mimi ndio ndoto zangu hizo boss Sema saiv napita kwenye joto la jiwe biashara bado hazijaanyooka vizuri kiasi cha kuwaza kutafuta Kwanza kazi serikalini dah Mungu aniongoze katika hili
 
Wasomi wengi hujikuta wanaingia uchizi coz hawakupata walichokitarajia baada ya masomo yao,mtu akijiona ana elimu ya hadhi fulani basi anataka akiingia kitaani apewe heshima fulani kutokana na elimu yake,asipokipata alichokitarajia ,ndio uchizi na kukata tamaa huanzia hapo,ndio ile utasikia "Jamaa kasoma sana mpaka kawa chizi" au "Huyu wamemroga kwa elimu yake" kumbe mtu kajiroga yeye mwenyewe!

Kitaani kuna kanuni zake pia.
Mkuu nipe izo kanuni japo 1 tu ili tuende Sawa boss
 
Hizo nimezisoma boss Sema na wewe unadondosha madini yako
Kikubwa ni "Uvumilivu" mkuu,historia ya watu wengi waliofanikiwa,wamepitia shida nyingi sana,kuna waliokua mpaka wanalala barabarani,homeless,kitu muhimu ni kujituma,kua na maarifa pamoja na kua na malengo,kumuomba Mungu ni muhimu zaidi.
 
Kikubwa ni "Uvumilivu" mkuu,historia ya watu wengi waliofanikiwa,wamepitia shida nyingi sana,kuna waliokua mpaka wanalala barabarani,homeless,kitu muhimu ni kujituma,kua na maarifa pamoja na kua na malengo,kumuomba Mungu ni muhimu zaidi.
Ubarikiwe Sana mkuu nimekupata Sana lakini uhalisia ndio uko hivyo
 
Ukizungumzia/ukifiria cheti chako siku hizi dogo utazidi ku-fail sana. Rudi chini anza chini. Unaweza kuanzisha car wash,hiyo haihitaji mtaji. Ni eneo tu liwe poa,na maji yapatikane. Lakini ni kazi ambayo itakupatia hela,ambayo hutaamini. Hata hela ya kula kubadirisha unachotaka unapata.

Baadae utapata mtaji hapo,utafanya kitu kikubwa kupitia hapo. Lakini wengi wenye vyeti wanaona aibu kuanzia chini kama nilivyoeleza. Huku mitaani wengi tu wenye vyeti wameajiriwa na wa darasa la saba.

ZINGATIA HILI WENGI WENYE PESA NI WALE AMBAO HAWANA ELIMU (hawana vyeti kama ulivyoita) (ni ksbb tu hawakuona aibu ya kuanzia chini)
 
Mkuu sijui kuitumia kwa vipi?
Msomi angefanya hivi.....
1. Ungezigrade hizo karanga zako na kuziuza kulingana na madaraja ili kuondoa dharau za kuzichambua (you lack sells skills; aliyebagua anajua ili achukue mzigo kwa bei chee).
2. Angezikausha na baadae kuzimenya na kutafuta vifungashio bora kisha kuziuza zikiwa tayari kwa mtumiaji.
3. Angetafuta wateja zaidi ya hao wachache bla kujali hali yao ya kielimu.
4. Angeheshimu kila mtu bila kumlaumu akitaka kujifunza zaidi bila kutia chuki wala manung'uniko.
5. Angejua 'mtu hulipwa kutokana na anachofanya anachojua' yaani vyeti havikuwemo kwenye roba la karanga.

Hongera kwa kuthubutu.
 
Mwingine nikajichanganya kumuachia debe mbili 1 alilipa 1 akasema Adi badae dah naenda badae namkuta binti yake eti yeye amesafiri atarudi Kesho nilichoka Sana nikawaza aisee mbona hali huku mtaani iko hivi?
mkuu unataka kusema kweli kabisa ulishindwa cha kufanya!? daah pole sana
 
Back
Top Bottom