Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
kwa style hii, ni dhahiri shahiri Yanga anashinda 2-0 huko kwa madiba 🐒Wadau hamjamboni nyote
Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala
Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu
Gharama zake za kutisha
Nimeweka kiambatanisho Kwa rejea yenu
Niwatakie mchana mwema wakuu.
View attachment 2954650
Huyo mdudu figo lake dili sana, sidhani kama wadau tutalimudu tena.Wadau hamjamboni nyote
Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala
Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu
Gharama zake za kutisha
Nimeweka kiambatanisho Kwa rejea yenu
Niwatakie mchana mwema wakuu.
View attachment 2954650
Ukuu wa Mungu ukuangazie pande zote.Wadau hamjamboni nyote
Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala
Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu
Gharama zake za kutisha
Nimeweka kiambatanisho Kwa rejea yenu
Niwatakie mchana mwema wakuu.
View attachment 2954650
Lazima kwa Anold hapa. Pale oil com ingia na ile barabara ya lami inayoenda IPTL kama mita 400 hivi upande wako wa kulia utaona sehemu. Unadhani hata pa maana basi? Pako pako tu ila wale wachoma nyama ni nyokoHivi ni skanska maeneo gani pale au hiyo sehemu inaitwaje huwa naiskia tu kuna siku nilienda pale nikafika ile shel ya oilcom nikashuka na ile barabara sikuona dalili ya hiyo mdudu, sasa nipe ramani ni sehem gani nikishuka pale skanska
Afu hii kitu hamu yake ni irreplaceble, yani hata ule nini hamu ya kitimoto haikatwi na kitu chochote kile....nilikua nshasema af kumi yangu napeleka kikoba ushanitia hamu looo🤤🤤
Figo mmepeleka wapi? 50 milion ujue!Wadau hamjamboni nyote
Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala
Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu
Gharama zake za kutisha
Nimeweka kiambatanisho Kwa rejea yenu
Niwatakie mchana mwema wakuu.
View attachment 2954650
Naam!Wadau hamjamboni nyote
Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala
Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu
Gharama zake za kutisha
Nimeweka kiambatanisho Kwa rejea yenu
Niwatakie mchana mwema wakuu.
View attachment 2954650
yaan acha tu hapa akili inanambia its either mawasiliano park au jeshini au micasa vinginevyo sitoboi😂😂Afu hii kitu hamu yake ni irreplaceble, yani hata ule nini hamu ya kitimoto haikatwi na kitu chochote kile....
Mie sasa 😢😢 salamalekoyaan acha tu hapa akili inanambia its either mawasiliano park au jeshini au micasa vinginevyo sitoboi😂😂
Akikujibu usisite kunitag😎Hivi ni skanska maeneo gani pale au hiyo sehemu inaitwaje huwa naiskia tu kuna siku nilienda pale nikafika ile shel ya oilcom nikashuka na ile barabara sikuona dalili ya hiyo mdudu, sasa nipe ramani ni sehem gani nikishuka pale skanska