Niliyoyabaini katika Operesheni ya Polisi dhidi ya watuhumiwa wa Panya Road - Dar es salaam

Kwa panya road niko upande wa polisi,wawaue tu tumechoka
Na kwa bahati mbaya ndiyo lugha pekee hao panya road wanaielewa.

Walipoonywa na kushauriwa hawakuskia, ila baada ya kuuawa baadhi wanaelekea kuelewa somo.
Demokrasia na sheria kwa Afrika ni masomo magumu sana.
 
THREAD YA KUPUUZA HII.
POLISI NAO WANACHOKA JAMANI ACHA WAWAFYEKE,KUMBUKENI POLISI WETU KABLA YA KUFANYA LOLOTE HUWA WANAKUWA WAMESHACHUNGUZA KWA KINA,KABLA YA UTEKELEZAJI.
 
Na kwa bahati mbaya ndiyo lugha pekee hao panya road wanaielewa.

Walipoonywa na kushauriwa hawakuskia, ila baada ya kuuawa baadhi wanaelekea kuelewa somo.
Demokrasia na sheria Afrika kwa ni masomo magumu sana.
Kabisa aisee yaani mzee mzima naogopa kurudi nyumbani saa nne kisa vitoto vya under 25 vimefunga mtaa
 
Ukiwa mpinzani ni kupinga tu mwanzo mwisho. Hata ukiambiwa haya ni mavi utapinga tu. Unaweza hata kulamba uone
 
Watz ni wapuuz na myopic kufanya vitu Kwa mihemko Tu .wakati wanzalisha disaster nyingine hapo hapo
 
Mdogo wangu Pascal Mayalla hii ndio JamiiForums unayoinadi kila siku?
Your browser is not able to display this video.
 
Bwan mwnekiti wewe huwajui hao vjn vzr na acha police imalizane nao tu .akifungwa baada ya siku kumi yuko mtaani sas unategemea nn

Iko HV police hawezi kuuwa tu mtu eti kijna wa mtu HV HV bila kumuoji na kukiri makosa aliyo tuhimiwa nayo mm nimefanya Kaz kituo kimoja madale pale nilikuepo pale Kama miezi miwili ndio nikaj kijuwa kuwa Hawa police wanafnya Kaz ngumu mnoo ..unaambiwa mkp police akumiminie risasi siyo bure bure anakujuwa vzr na umekiri matukio uliyo usika nayo haiwezekani mtu unanichukuwa unaenda kunimiminia risas bila kunioji haiwezekani kbsa lzm madgo wamekiri matukio walio tuhumiwa nayo ndio maan wamekula za mabegani wacha wafe tu siku ukisikia watalii wamegoma kuja kwasababu ya uwalifu sijui utatuambia nn mkuu panya road wote na vibaka wote wauwae na wanyoa viduku

Ova

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unatafuta Kiki kwa mgongo wa polisi, eti umejipiga Na picha kabisa mbona hukwenda kutembelea Familia za wahanga wa hao panya road, acha ujinga kijana.
 
Umepiga nyundo kwenye msumari haswaaaa!!!.

Watz ni mambumbu sana ktk masuala ya Sheria na haki. Hebu fikiria mwanao kwa chuki tu mtaani kwako katajwa ni pants rodi, anachukuliwa na kwenda kupgwa rusasi. Urajisikuaje.
 
Uko sahihi sana, kama kweli wanachokifanya polisi cha kuua wezi ni sahihi, kuna mtu alikamatwa kwa kujiunganishia bomba la mafuta hapo nyumbani kwake. Mbona mtu huyu hatujasikia kapigwa risasi maana yeye kaiba kikubwa kuliko panya road?
Me Kuna mtu kakwapua 60,000/= kwenye Ac yangu ya Bank, nilipofuatikia nikajibiwa ni TOZO na malimbikizo ya miamala tangu July.

Nikimtia machoni mtu huyo, nimpe adhabu Gani???
 
Umepiga nyundo kwenye msumari haswaaaa!!!.

Watz ni mambumbu sana ktk masuala ya Sheria na haki. Hebu fikiria mwanao kwa chuki tu mtaani kwako katajwa ni pants rodi, anachukuliwa na kwenda kupgwa rusasi. Urajisikuaje.
Uatajisikiea nitajisikia sawa kwani nimemta mm akafanye uhalifu policy siyo wajinga wamchukuwe bila sababu ....taitizo unakah na mtot Hana kazi anasimu macho matatu anakunywa kila saa nne supu alfu ukute hajasoma kila saa Yuko kijiweni na kiduku asieeee mimina risasi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Una maana wauwawe watu wasio na hatia ili kuwatisha wahalifu.
Idiotically funny logic
 
Vipi wahalifu wa mali za Umma?
 
Ningekuwa na masasi ningempiga za matako huyu sijui Nondo sijui aluminium.Sijui kala maharage ya wapi huyu Mrundi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…