Niliyoyanena kuhusu watu X na Y yametimi.

Niliyoyanena kuhusu watu X na Y yametimi.

Kama hukuwa muandaaji Umejuaje kama hakuchanga hata ndururu!?
Jamaa amewakurupusha mnakimbia na taulo!
Bwakyakyahaahhahhahh
Nilikuwa muweka hazina ya fedha kwenye kamati ya hiyo part jamaa Jina lake hakuna na fikili umenielewa sasa.
 
Tupia picha za ukumbi ilikofanyika paty
IMG_20181218_121819.jpg
 
Endeleeni na majungu +Masufuria =part ilifana hakuna mfano 😄😄😄
 
Naona unatupia za harusi ili kuua soo!
Bwakyakyakyahahaa
🤣🤣🤣🤣Kwenye hizo picha umeona bwana harusi na bibi harusi pole kwa kutofika watu Wali kula na kusaza pia walikunywa na kukimbia pombe.
 
Back
Top Bottom