Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Sema huyu jamaa nimchunguzi wa mambo mno huwa nafuatilia nyuzi zake kwa ukaribu mno huenda akaja kugundua kitu๐Ÿ˜
Mzee wa research ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Kuna mtoto wa dadaangu ana tabia hizo hizo anapenda kuchanganya changanya vitu, kuna siku alichanganya vitu gani sijui vikamlipukia nilivyorudi home nikamkuta ana vidoti vya kuungua usoni nikabaki nasikitika..!!
Kuna friji lilikuwa linasumbua nikamuita fundi akatengeneza baada ya mwezi likaanza tena kusumbua linapiga kelele, chuma kilivyorudi likizo akacheza na friji ikawa nzima no kelele inapiga kazi..!!
Ana vimatukio vingi mpk naogopa asije kunichomea kibanda changu cha urithi.!!
 
Sema kibongo bongo kipaji kitafia njiani atakapoanza kuambiwa atatufe pesa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น huyo km naagin hatishi bana.!!
Sema wanakuwa na mbwembwe nyingi, mizimu ya kihindi hio
Lamomy hiyo ni demo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
We kaza fuvu akitokeza hapo haukai tena ana urefu wa zaidi ya futi kumi madam.
Hiyo ni demo tu.
Ukimuona nyoka tu wa mita moja unaruka ruka sembuse umuone joka upana wa meza na urefu wa mita tatu na zaidi!?
Acha utani madam๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Subiri siku na yeye aite mizimu ije ndani ndyo mtajua sasa ๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Ulimkuta mzee angekuwa kijana angekuwasha kofi, hiyo Zay ingekuwa Zuchu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ