ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Nilienda kuona vitu flani flani tu mkuuHuko baharini ulifuata nini? Au ulienda kwa lengo gani
Ulifanikiwa kuona?Nilienda kuona vitu flani flani tu mkuu
ndio mkuuUlifanikiwa kuona?
Story kidogo mkuu. Kuna kitu nataka nidodose kichele.Ukikaa katika circle of magic hawezi kukudhuru halafu hayo maneno yana nguvu hata angetokea Shetan mkuu Lusifa au Belzebul hakudhuru ukiwa katika magic circle
Sawa mkuu, siku ukitaka kwenda tena nistuendio mkuu
Hayo ni maneno ya kishetani hayo Zay Zay Zay Sal Sal Sal La Ash ukiyasema na ukiwa na nia thabiti bila ya uoga hata Lusifa Rocofogal anakutii ukiwa katika duara la kichawiAlivosema ali mcomand kwa Sauti ya "Mamlaka za Juu" nikajua kataja kwa Jina la Yesu Tokaaaa, kumbe kuna sauti za mamlaka za juu nyingine Zay Zay Zay ambayo pia ilimuunguza huyo kiumbe.......๐คฃ๐คฃ๐คฃ
kuna roho huwa inakuja nichukua.. naenda mahala pengi sana.. zaidi ya bahariniSawa mkuu, siku ukitaka kwenda tena nistue
Kwa sasa napumzika kdgo na haya mambo, ila bado naendelea kufanya tafiti kadhaa.Hizi siri usiziweke wazi hivi hivi , ila katafute kitabu cha "spirits of the deep" kama unataka kiumbe aje ana kwa ana , ina taratibu nzuri tu sema lazima uwe na roho ngumu sana , kiumbe huyo hataki uonyeshe uoga hata kidogo .
Nilitaka nijue tu kama ni kweli zipo au la, pia ni mojawapo ya tafiti ambazo nilidhamiria kuzitimizaHivi uliita nguvu za giza ili ugundue nn?
yesStory kidogo mkuu. Kuna kitu nataka nidodose kichele.
Hallelujah!!!
Hiyo roho inaweza kukupeleka ikulu?kuna roho huwa inakuja nichukua.. naenda mahala pengi sana.. zaidi ya baharini
Balaa mafuriko yanatokea ndani ya nyumba yako tu full mi mamba upambane nayo๐คฃ๐คฃLile linakupeleka msituni ukapambane na simba ๐น๐น๐น
ipinjia salama ipo.. ongeza your spirit capacity, hata shetani akija anakuheshimu.. strength ya roho ina matter sana katika kuingia kwenye ulimwengu wa roho
Weeeh ๐น๐น๐นNimekumiss sana.
Jana nilikuwa na sport lady maeneo maeneo kakusalimia ssna ๐๐๐
Ikulu nishawahi ingia mala mojaHiyo roho inaweza kukupeleka ikulu?
Kitafute hicho kitabu , naona vile kama una maswali kuhusu dunia ya pili , ni cha mjerumani flani Gustav kitakupa "ufunguo" flani hivi kama unanielewaKwa sasa napumzika kdgo na haya mambo, ila bado naendelea kufanya tafiti kadhaa.
Na mm naweza kuziona?Nilitaka nijue tu kama ni kweli zipo au la, pia ni mojawapo ya tafiti ambazo nilidhamiria kuzitimiza
MhhWeeeh ๐น๐น๐น
Mpe hi sana