Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #401
Katika utawala wa nani? Magu au ?Ikulu nishawahi ingia mala moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika utawala wa nani? Magu au ?Ikulu nishawahi ingia mala moja
man!! how 🤔🤔Spirit inategemea na uzito uliyo nayo, spirit kukugeuka ni kukuweka mateka . Nakueleza hivi nimeona spirit nyingi sana, na kuna majira nilisha shuka hadi chini ya bahari.. chini kabisa nikaona some spirits
Nitajaribu kuangalia kama kipo kwenye website ya PDF DRIVEKitafute hicho kitabu , naona vile kama una maswali kuhusu dunia ya pili , ni cha mjerumani flani Gustav kitakupa "ufunguo" flani hivi kama unanielewa
huu wa sasaKatika utawala wa nani? Magu au ?
Sure unaweza, ila sio jambo la muda mfupi. Unapaswa kujifunza kwanzaNa mm naweza kuziona?
Wewe ni jini mkuu unaweza ona yatakayojitokeza kwako wewe badae au kesho au kizuri au kibaya ?kuna roho huwa inakuja nichukua.. naenda mahala pengi sana.. zaidi ya baharini
Inachukua muda ganiSure unaweza, ila sio jambo la muda mfupi. Unapaswa kujifunza kwanza
Mama ulimkuta alikuwa anafanya nini?huu wa sasa
eehBaharini nimeenda mala mbili, but lazima uwe na roho itayokutangulia kufungua portal , maana bahari kama bahari ina ulimwengu wake... lazima uwe na roho ambayo inafahamu protocal zote za ulimwengu wa bahari, ikushike mkono ndio uingie bila hivyo hurudi
Inategemea na uwezo wako wa kuelewa harakaInachukua muda gani
kuna spirit ilinichukua na kunipeleka.. huwezi ingia kwenye ulimwengu usio wako bila ataekutambulisha kwenye huo ulimwenguman!! how 🤔🤔
NifundisheInategemea na uwezo wako wa kuelewa haraka
Lakini sitakuwa na tabia za kishetanishetani?!Nifundishe
naweza kudadavua zaidi ulianzaje,had kufikia hapo ulipo ulipitia mambo gani au sehem zipi? vipi kuhush manufaa kuna faida yoyote umepata kiuhalisia?kuna spirit ilinichukua na kunipeleka.. huwezi ingia kwenye ulimwengu usio wako bila ataekutambulisha kwenye huo ulimwengu
Tabia hazihusiani na haya mambo, ila unaweza kuingiwa na jini ukawa unapandisha mapepo kama wale watoto wa shuleniLakini sitakuwa na tabia za kishetanishetani?!
Oh😪😪Hii Ouja ni hatari mm nilisummon akaja Roho mmoja tukawa tunaongea nikamuuliza una umri gani akaniambia miaka mia nne nikamuuliza naomba nikuulize historia ya miaka hiyo akanipa sharti mmoja akaniambia niende chooni nipake yale maji ya choo mwili mzima ndio atanisimulia nikamuambia hakuna njia nyingine akasema unaona uchafu nikamwambia siwezi akanisonya nikamcomand kwa sauti ya mamlaka ya juu ile sauti kali huku nikimwambia maneno yafuatayo ya kishetani Zay Zay Zay Laa Hassh alitoka baruti huyo kwa maaana hayo maneno yana nguvu alisema unataka kuniunguza wakati mm sio mbaya ni mtu poa akakimbia
Naona baadhi ya vitu sio vyoteWewe ni jini mkuu unaweza ona yatakayojitokeza kwako wewe badae au kesho au kizuri au kibaya ?
hahaha inataka roho thabiti na ngumuHizi siri usiziweke wazi hivi hivi , ila katafute kitabu cha "spirits of the deep" kama unataka kiumbe aje ana kwa ana , ina taratibu nzuri tu sema lazima uwe na roho ngumu sana , kiumbe huyo hataki uonyeshe uoga hata kidogo .
A wife & husband visited a farm, they saw a bull making love with a cow. The wife asked the farm manager:Weeeh 😹😹😹
Mpe hi sana
Basi basi hayo mambo siyataki tena mimi. Kwa hiyo na wewe tayari una mapepo !?Tabia hazihusiani na haya mambo, ila unaweza kuingiwa na jini ukawa unapandisha mapepo kama wale watoto wa shuleni