ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
mfano, kuna vyakula utaacha, mtindo wa kulala utabadirika, kuna majira lazima uwe macho, ect ni mambo mengi sana na lazima ujue saa lako muhimuhio spiritual pattern n nini pls mie ni tomaso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfano, kuna vyakula utaacha, mtindo wa kulala utabadirika, kuna majira lazima uwe macho, ect ni mambo mengi sana na lazima ujue saa lako muhimuhio spiritual pattern n nini pls mie ni tomaso
Manager 😹😹😹A wife & husband visited a farm, they saw a bull making love with a cow. The wife asked the farm manager:
"How many times does a bull do this per day?"
Manager replied: "6 times or more a day".
Wife: looks at her husband and said....."you see!!!"
Then the husband asked the manager: "You mean 6 times a day with the same cow?"
Manager said " No, No, with different cows everyday."
Husband looks to his wife and says ..."you see!!!"
And they started fighting!!!
Who caused the fight??? 😂😂😂
Mfano mpaka sasa nina kovu katikati ya kidole cha mwisho cha mkono wa kushoto, nilikuwa nafanya kitu kinaitwa “spirit cooking"Yaseme mkuu
Wengi hawajui lakini nakuambia sauti za mamlaka zipo nyingi sana hata yule jini makata unaweza kumcomand akakusaidia siri kubwa ambayo wengi hawajui ni kuwa njia ya kuwaita au kuwatumia mm Namtumia Belzebul nampenda haringi natumia njia ya kumuita kwa maneno ya kishetani hivyo spirit ambazo hazina nguvu zinamuogopa sana huyo ni baada ya lusifa Rocofog😂😂😂 sauti za mamlaka zipo nyingi mwenyewe nimeshangaa hii.!!
ideomotor effectSijasikia sauti ya kuongea, lakini uwepo wake unaujua baada ya mkono kuzunguka bila idhini yako, yana kama mtu amaushika alafu anauzungusha yeye.
Pia niliona ile pointer inasogea yenyewe bila mimi kuishika, sauti nilizo sikia ni kama mngurumo na upepo kutokea upande wa nyuma yangu
What is ideomotor effect?ideomotor effect
unaweza kuweka kama thread ukaeleza vyote kwa faida yetumfano, kuna vyakula utaacha, mtindo wa kulala utabadirika, kuna majira lazima uwe macho, ect ni mambo mengi sana na lazima ujue saa lako muhimu
Kweli jina lako linaendana na matukio uliyonayo 😹😹😹Wengi hawajui lakini nakuambia sauti za mamlaka zipo nyingi sana hata yule jini makata unaweza kumcomand akakusaidia siri kubwa ambayo wengi hawajui ni kuwa njia ya kuwaita au kuwatumia mm Namtumia Belzebul nampenda haringi natumia njia ya kumuita kwa maneno ya kishetani hivyo spirit ambazo hazina nguvu zinamuogopa sana huyo ni baada ya lusifa Rocofog
Napataje hicho kitabu mkuuHizi siri usiziweke wazi hivi hivi , ila katafute kitabu cha "spirits of the deep" kama unataka kiumbe aje ana kwa ana , ina taratibu nzuri tu sema lazima uwe na roho ngumu sana , kiumbe huyo hataki uonyeshe uoga hata kidogo .
Jaribu PDFDRIVENapataje hicho kitabu mkuu
Ili ujue haya inabidi upite njia za kujifunza ambazo zitajusaidia ukifika ktk rank ya mwisho ambapo utakutana na light na sound ambapo kabla ya kufika hapo unatakiwa uvuke Mind barrier ambapo ktk brain barrier ndio utakuta mambo manneKweli jina lako linaendana na matukio uliyonayo 😹😹😹
Nifundishe basi
Hilo zoezi ni lipi mkuusimple, fanya zoezi la rohoni hadi ifunguke, na uwe na nidhamu na maisha ya kiroho.. kila roho ina aina za roho ambayo inaambatana
Uko level ipi iblis?Ili ujue haya inabidi upite njia za kujifunza ambazo zitajusaidia ukifika ktk rank ya mwisho ambapo utakutana na light na sound ambapo kabla ya kufika hapo unatakiwa uvuke Mind barrier ambapo ktk brain barrier ndio utakuta mambo manne
Mwili
Emotional
Spiritual
Mind
Mind barrier
Light and sound
Universal
Wengi wanaishia katika mind hawavuki
Kuna vitu ni siriunaweza kuweka kama thread ukaeleza vyote kwa faida yetu
level ya mwisho na ukifika level ya mwisho huko ni hatari utakuja kuona hata Mungu ndio Shetan mwenyeweUko level ipi iblis?
Ni tukio la muda mrefu kdgo, picha nilikuwa nayo moja tu hiyo ya kwanza kwenye uziStori ya kweli...
Kibao picha za kuokoteza...
Utetezi, kibao halisi nilikichoma moto...
Sawa iblis fungua darasa tuanze kuattend, mimi nataka sana kujua yote hayo.!!Ili ujue haya inabidi upite njia za kujifunza ambazo zitajusaidia ukifika ktk rank ya mwisho ambapo utakutana na light na sound ambapo kabla ya kufika hapo unatakiwa uvuke Mind barrier ambapo ktk brain barrier ndio utakuta mambo manne
Mwili
Emotional
Spiritual
Mind
Mind barrier
Light and sound
Universal
Wengi wanaishia katika mind hawavuki
How long did your take to the lst level?level ya mwisho na ukifika level ya mwisho huko ni hatari utakuja kuona hata Mungu ndio Shetan mwenyewe
Yaan kiuhalisia hakuna giza duniani ukisema kuna giza hujui kanuni za ulimwengu