Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

A wife & husband visited a farm, they saw a bull making love with a cow. The wife asked the farm manager:

"How many times does a bull do this per day?"

Manager replied: "6 times or more a day".

Wife: looks at her husband and said....."you see!!!"

Then the husband asked the manager: "You mean 6 times a day with the same cow?"

Manager said " No, No, with different cows everyday."

Husband looks to his wife and says ..."you see!!!"

And they started fighting!!!

Who caused the fight??? 😂😂😂
Manager 😹😹😹
Kwann atoe siri zisizomuhusu??
 
😂😂😂 sauti za mamlaka zipo nyingi mwenyewe nimeshangaa hii.!!
Wengi hawajui lakini nakuambia sauti za mamlaka zipo nyingi sana hata yule jini makata unaweza kumcomand akakusaidia siri kubwa ambayo wengi hawajui ni kuwa njia ya kuwaita au kuwatumia mm Namtumia Belzebul nampenda haringi natumia njia ya kumuita kwa maneno ya kishetani hivyo spirit ambazo hazina nguvu zinamuogopa sana huyo ni baada ya lusifa Rocofog
 
Sijasikia sauti ya kuongea, lakini uwepo wake unaujua baada ya mkono kuzunguka bila idhini yako, yana kama mtu amaushika alafu anauzungusha yeye.

Pia niliona ile pointer inasogea yenyewe bila mimi kuishika, sauti nilizo sikia ni kama mngurumo na upepo kutokea upande wa nyuma yangu
ideomotor effect
 
Wengi hawajui lakini nakuambia sauti za mamlaka zipo nyingi sana hata yule jini makata unaweza kumcomand akakusaidia siri kubwa ambayo wengi hawajui ni kuwa njia ya kuwaita au kuwatumia mm Namtumia Belzebul nampenda haringi natumia njia ya kumuita kwa maneno ya kishetani hivyo spirit ambazo hazina nguvu zinamuogopa sana huyo ni baada ya lusifa Rocofog
Kweli jina lako linaendana na matukio uliyonayo 😹😹😹
Nifundishe basi
 
Kweli jina lako linaendana na matukio uliyonayo 😹😹😹
Nifundishe basi
Ili ujue haya inabidi upite njia za kujifunza ambazo zitajusaidia ukifika ktk rank ya mwisho ambapo utakutana na light na sound ambapo kabla ya kufika hapo unatakiwa uvuke Mind barrier ambapo ktk brain barrier ndio utakuta mambo manne
Mwili
Emotional
Spiritual
Mind
Mind barrier
Light and sound
Universal
Wengi wanaishia katika mind hawavuki
 
Ili ujue haya inabidi upite njia za kujifunza ambazo zitajusaidia ukifika ktk rank ya mwisho ambapo utakutana na light na sound ambapo kabla ya kufika hapo unatakiwa uvuke Mind barrier ambapo ktk brain barrier ndio utakuta mambo manne
Mwili
Emotional
Spiritual
Mind
Mind barrier
Light and sound
Universal
Wengi wanaishia katika mind hawavuki
Uko level ipi iblis?
 
Mi kakibwengo kalikuja et nikakala mzigo usiku kucha week ikapit kakaj et kana mimba nikatupa likibao
 
Ili ujue haya inabidi upite njia za kujifunza ambazo zitajusaidia ukifika ktk rank ya mwisho ambapo utakutana na light na sound ambapo kabla ya kufika hapo unatakiwa uvuke Mind barrier ambapo ktk brain barrier ndio utakuta mambo manne
Mwili
Emotional
Spiritual
Mind
Mind barrier
Light and sound
Universal
Wengi wanaishia katika mind hawavuki
Sawa iblis fungua darasa tuanze kuattend, mimi nataka sana kujua yote hayo.!!
 
level ya mwisho na ukifika level ya mwisho huko ni hatari utakuja kuona hata Mungu ndio Shetan mwenyewe
Yaan kiuhalisia hakuna giza duniani ukisema kuna giza hujui kanuni za ulimwengu
How long did your take to the lst level?
 
Back
Top Bottom