The ideomotor effect is a psychological phenomenon wherein a subject makes motions unconsciously. As in reflexive responses to pain, the body sometimes reacts reflexively to ideas alone without the person consciously deciding to take action. psychology.fandom.comWhat is ideomotor effect?
Uanze kujifunza mpk pale ktk mind barrier kwanza ukienda pupa unaweza develop shizophrrnia ikawq hatari inabidi uende hatua kwa hatua nitakupa vitabu vya mind na spirit then ukikomaaa unakuja kivuka mind barrier hapo itakuwa upo juu ambapo hata kurogwq hutowezaSawa iblis fungua darasa tuanze kuattend, mimi nataka sana kujua yote hayo.!!
The effects was real, niliona kabisa pointer ikizunguka yenyewe bila mimi kuigusaThe ideomotor effect is a psychological phenomenon wherein a subject makes motions unconsciously. As in reflexive responses to pain, the body sometimes reacts reflexively to ideas alone without the person consciously deciding to take action. psychology.fandom.com
Watafiti wengi wanaamini many Ouija boards works under that principal, ingawa zipo boards like any other demonic objects zina demonic spells which makes the effect real.
seanceMkuu kutest mitambo inahitaji moyo, pia yapo mambo mengine niliwahi test ila hili limenipa hofu kubwa
Ungekuwa na kioo ungemuona kabisaThe effects was real, niliona kabisa pointer ikizunguka yenyewe bila mimi kuigusa
511 yako hiiMimi nilianza mwaka 2012 nilipomaliza form 6 takriban miaka 8 au 9 alini inspire baba angu mdogo alikuwa ananipa vitabu vya spirit na mind sana mwisho unajiongoza
Kioo na picha au midoli ni vitu hatari sana kukaa navyo ndaniUngekuwa na kioo ungemuona kabisa
ndio maana mimi napata ukakasi na mambo ya dini😂😂😂😂Hamna Yani ukitumia nilotumia mimi ni ya kuitwa majini ya kiroho kiujumla.
Ila ukisoma mara 71 ikafika masiku meupe ya mwezi wa kiarabu ambayo ni tarehe 13,14 na 15 basi ni siku ya wao kuwatembelea watu waliowachagua na waliowapenda.
Na mimi nilifatwa siku ya 14 ya mwezi wa kiarabu.
Luckily akati nasoma nilisoma chumba cha kuswalia ambapo nilipitiwa usingizi humo humo.
Maana ingekua chumbani napolala wife sijui angenifanyaje maana ni mbabe 😂😂😂😂😂.
Hayo ndio maneno sasa nitumie vitabu hivyo Iblis 😍😍Uanze kujifunza mpk pale ktk mind barrier kwanza ukienda pupa unaweza develop shizophrrnia ikawq hatari inabidi uende hatua kwa hatua nitakupa vitabu vya mind na spirit then ukikomaaa unakuja kivuka mind barrier hapo itakuwa upo juu ambapo hata kurogwq hutoweza
Najua. Ndio maana nikakwambia, kwa vile uliwasha mshumaa kukawa na moshi, alivutiwa na moshi akaja, wewe hukumuona ila ulihisi uwepo wake. Kioo kingekufanya umuone.Kioo na picha au midoli ni vitu hatari sana kukaa navyo ndani
Mbona unasema yangu hii😅511 yako hii
Mkuu naomba maelezo kdogo...madhara ya picha....shukranKioo na picha au midoli ni vitu hatari sana kukaa navyo ndani
Hamna mkuu.ndio maana mimi napata ukakasi na mambo ya dini
ukiangalia uislam closely related na majini. ukija ukristo ni full utapeli na janjajanja.
Roho za giza wana maumbile ambayo siyo rahisi kuonekana na wanapenda kuingia au kuvaa uhusika wa kitu chochote chenye umbo au picha ya mtu, au vinyago.Mkuu naomba maelezo kdogo...madhara ya picha....shukran
Mimi nilitaka kutambua uwepo wake tu, na ule upepo ulitosha kujua kwamba amefikaNajua. Ndio maana nikakwambia, kwa vile uliwasha mshumaa kukawa na moshi, alivutiwa na moshi akaja, wewe hukumuona ila ulihisi uwepo wake. Kioo kingekufanya umuone.
So tunaopenda kuweka picha ukutani ni hatari?Roho za giza wana maumbile ambayo siyo rahisi kuonekana na wanapenda kuingia au kuvaa uhusika wa kitu chochote chenye umbo au picha ya mtu, au vinyago.
Picha inaweza kuwa kivutio kwake pale ambapo atashindwa kumvaa mtu halisi, hivyo wanatumia picha na midoli kama mbadala wa mwili halisi
Kumbuka hawa viumbe wanapenda kukaa kwenye miili ya watu ili kujinufaisha kwa emotions Kama hasira, chuki, shame au gulit. Hupenda kukaa kwa watu wenye hisia hizi mara kwa mara
Next time weka hata mpira. Akija mwambie ajitambulishe then a move huo mpira, atakutii.Mimi nilitaka kutambua uwepo wake tu, na ule upepo ulitosha kujua kwamba amefika
Acha uongoIli ujue haya inabidi upite njia za kujifunza ambazo zitajusaidia ukifika ktk rank ya mwisho ambapo utakutana na light na sound ambapo kabla ya kufika hapo unatakiwa uvuke Mind barrier ambapo ktk brain barrier ndio utakuta mambo manne
Mwili
Emotional
Spiritual
Mind
Mind barrier
Light and sound
Universal
Wengi wanaishia katika mind hawavuki
Ni hatari, picha huvuta negative Energy ambayo huvutia viumbe wabaya kuja, pia inafukuza au kuzuia Positive Energy ambayo huvutia viumbe wazuri kama MalaikaSo tunaopenda kuweka picha ukutani ni hatari?