Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #601
Mkuu majini yapoHakunaga majini, wala sijui vibwengo
Huwa ni story tu za hapa na pale
Akili yako ikiwa haiko sawa ukiwa na wenge ndio mnaona ni majini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu majini yapoHakunaga majini, wala sijui vibwengo
Huwa ni story tu za hapa na pale
Akili yako ikiwa haiko sawa ukiwa na wenge ndio mnaona ni majini.
Achana naye huyo kalewa gongo anakuja kuharibu uzi hapa.Mkuu majini yapo
Story tu hizoMkuu majini yapo
Sawa mkuuStory tu hizo
Tuliza akili, ondoa wenge. Wenge ndio linafanya ukiona upepo unahisi ni majini
=AlhamdulillahAlhamduliLlah.
Sijasomea ujinga.
Bado hajayaona mengi hapa ulimwenguniAchana naye huyo kalewa gongo anakuja kuharibu uzi hapa.
Watu wengine sio lazima uwajibu.
Najua njia za kujikinga na hao viumbe, ni sala tu hasa wakati wa kulala.vitu vingine sio vya kujaribu, hapo tayari umewafungulia mlango mbio zako hazitakuokoa!
Sawa usikose Kuleta mrejesho tujifunzeNajua njia za kujikinga na hao viumbe, ni sala tu hasa wakati wa kulala.
Mrejesho kuhusu nini mkuu?Sawa usikose Kuleta mrejesho tujifunze
Majini wana uwezo mkubwa kuliko sisi, Lugha yoyote kwao sio tatzo.We ni muongo mkubwa ......
Hao majin wa kuongea kizungu wamefata nn bongo ..afu ukute unaishi buguruni asa huko jini la kizungu lifate nn jmn
Kama ni hivo kwann usingee Kiswahili maana wote c wanajua lugha zoteMajini wana uwezo mkubwa kuliko sisi, Lugha yoyote kwao sio tatzo.
Nilichagua kingereza kwani nayo pia ni Lugha.Kama ni hivo kwann usingee Kiswahili maana wote c wanajua lugha zote
Hakika mimi ni muoga kwenye maandishi na sio kwenye vitendo.Mkuu kumbe wewe muoga unalikaribia na kuliuliza linataka nini kwenye himaya yako
😹😹😹 oyaaa.!!We ni muongo mkubwa ......
Hao majin wa kuongea kizungu wamefata nn bongo ..afu ukute unaishi buguruni asa huko jini la kizungu lifate nn jmn
Kakwambia anaviogopa vibwengo na vigagula vya kiswahili vinazingua 😹😹😹Kama ni hivo kwann usingee Kiswahili maana wote c wanajua lugha zote
Mister Hallelujah! Mzigo wako unakaribia kukamilika nauandika😎😎😎Hakika mimi ni muoga kwenye maandishi na sio kwenye vitendo.
Hallelujah!!!