Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Vipi kama ungeita jini mahaba la kiume, ungekua member wa Upinde sahvi
 
We ni muongo mkubwa ......
Hao majin wa kuongea kizungu wamefata nn bongo ..afu ukute unaishi buguruni asa huko jini la kizungu lifate nn jmn
 
We ni muongo mkubwa ......
Hao majin wa kuongea kizungu wamefata nn bongo ..afu ukute unaishi buguruni asa huko jini la kizungu lifate nn jmn
😹😹😹 oyaaa.!!
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom