Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #141
Kwanza hupaswi kuwa pekeyako, inafaa muwe mnacheza zaidi ya mmoja na mikono yenu wote mnaiweka kwenye board.Kwahio ukiwa unafanya Utafiti unapaswa usiwe una pika na kusiwepo viporo maana wataharibu bajet🤔🤔🤔
😹😁😁Nilichagua kutumia Lugha ya kingereza kwa kuhofia labda kiswahili kinaweza sababisha nikaita vigagura au vibwengo vya kiswahili.
😹😹😹 huu uzi unaniumiza mbavu.!!Kwahio ukiwa unafanya Utafiti unapaswa usiwe una pika na kusiwepo viporo maana wataharibu bajet🤔🤔🤔
Hakika hii ni hatari kabisa, nadhani umeona namna watu walivyopata madharanimetoka YouTube panatisha sana....... hii kitu sio poa
Hapo kipengele sijui wanaweza kuhitaji nini ?🤔🤔🤔Sasa wakitaka na wao uwahonge wanavyotaka utaweza?
Na ukitumia lugha ya kabila ndyo utaona balaa, mizimu ya mikoani haina shoo mbovu🤣🤣🤣🤣 waswahili njaa nyingi tatizo
Mkuu ukiwaita ndyo utawauliza wanataka nini, lakini mara nyingi roho chafu ndyo rahisi kuzipata kwasababu pia wanapenda michezo hiyo.Hapo kipengele sijui wanaweza kuhitaji nini ?🤔🤔🤔
😂😂😂 uikute ya kikurya na mbalati utachezeaNa ukitumia lugha ya kabila ndyo utaona balaa, mizimu ya mikoani haina shoo mbovu
Ngojea nikuletee mfano wa picha anavyokua.😂😂😂😂 Ana balaa huyo.!!
Nyoka alimfanyaje??
Dah!! Kwahiyo roho chafu ndio nyingi??Mkuu ukiwaita ndyo utawauliza wanataka nini, lakini mara nyingi roho chafu ndyo rahisi kuzipata kwasababu pia wanapenda michezo hiyo.
Ni ngumu kupata roho safi maana hawawezi kukubali kuingia au kuitwa na mtu ambaye hana nia nzuri au nia ya maana
Malaika huwapati kwa njia hii, hapa una deal na wahuni wa kijini tu.Dah!! Kwahiyo roho chafu ndio nyingi??
Km mi mlokole siwezi kupata malaika? 😹😹😹
Ulishawahi itumia ??ila usiniambie uliitumia kama kuniMimi nilikuwa na Uija Board kuna siku nilikuwa safarini nikawa nimesimamisha gari napika mkaa ukawa hautoshi nikaitia kwenye moto nikaivisha Ugali.
Wasafi huwezi kuwaita kirahisi.Dah!! Kwahiyo roho chafu ndio nyingi??
Km mi mlokole siwezi kupata malaika? 😹😹😹
Teh teh teh hilo radi sasa 😹😹😹Ngojea nikuletee mfano wa picha anavyokua.
Huyu ni jini wa kiarabu ni tajiri wa red mercury.
Anatokea chini ya ardhi,kumuita eidha umuite porini,uwanja wa wazi,baharini ama mtoni.
Ila ukimuita chumbani umevunja nyumba.
Duh, sasa mkuu huoni kama ilihatarisha afya yako kwa kula ugali uliopikwa kwa moto wenye marashi ya kijiniMimi nilikuwa na Uija Board kuna siku nilikuwa safarini nikawa nimesimamisha gari napika mkaa ukawa hautoshi nikaitia kwenye moto nikaivisha Ugali.
😹😹😹 hao basi hawafai lolote linaweza kutokea katikati ya mchezoMalaika huwapati kwa njia hii, hapa una deal na wahuni wa kijini tu.
Kumbe uwezekano upo ?Wasafi huwezi kuwaita kirahisi.
Unachukua muda na ujipange kweli.