Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Nitashukuru ndugu yangu.Sawa mkuu,Ijumaa huwa sifanyagi kazi ndio naiandika hapa niipiga picha nikurushie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitashukuru ndugu yangu.Sawa mkuu,Ijumaa huwa sifanyagi kazi ndio naiandika hapa niipiga picha nikurushie.
Mix fresh brest milk with fresh sperm milk, drink on earthquake nights and you will see your demon queen coming to you.Mungu ni mwema hakika, nimeamka salama na fiti zaidi ya jana. Nileteeni jini la kike kutoka puerto rico, nilifanye mchepuko wa kudumu.
Hallelujah!!!
Kiruuuu!! Huu si mchanganyo kabisa wa buza kwa mpalange??? Wacha niipite kama sijaona kitu.Mix fresh brest milk with fresh sperm milk, drink on earthquake nights and you will see your demon queen coming to you.
Mambo ya wazungu hayo, wanafanya hivyo sana tu, wanakunywa huo mchanganyiko bila hofu yoyoteKiruuuu!! Huu si mchanganyo kabisa wa buza kwa mpalange??? Wacha niipite kama sijaona kitu.
Hallelujah!!!
Short story kidogo, vp baada ya kugida huo mchanganyo kilicho fuata???Mambo ya wazungu hayo, wanafanya hivyo sana tu, wanakunywa huo mchanganyiko bila hofu yoyote
Upo deep sana kwenye mambo hizi! Unawezaje kumsaidia mtu ambaye nyota yake imechukuliwa na kutumika sehem nyingine. Kuvunja huo muunganiko sio watu wanatajirika kwa nyota ya wengine na huku muhusika ukiwa mtu wa mateso...hasa hawa waarabu wamechukua nyota ya mtu ki fremasonHayo ni maneno ya kishetani hayo Zay Zay Zay Sal Sal Sal La Ash ukiyasema na ukiwa na nia thabiti bila ya uoga hata Lusifa Rocofogal anakutii ukiwa katika duara la kichawi
Hahaha!Mungu ni mwema hakika, nimeamka salama na fiti zaidi ya jana. Nileteeni jini la kike kutoka puerto rico, nilifanye mchepuko wa kudumu.
Hallelujah!!!
Kwanza hayo maneno wanaandika ukutani kwa kutumia damu ya pig🐖Short story kidogo, vp baada ya kugida huo mchanganyo kilicho fuata???
Hallelujah!!!
Hilo dubwasha silipendi hata kuliona, bora ingekuwa damu ya simba ningeenda kumuwinda ila sio hilo ngiri la kizungu.Kwanza hayo maneno wanaandika ukutani kwa kutumia damu ya pig🐖
Alafu hilo eneo hutumika kufanya ibada za kishetani pamoja na kuita roho za giza.
Pia kunakuwa na majakuzi kama yale ya kuogea, yanawekwa damu za pig na watu wanaingia na kuoga.
Wanatumia hiyo kwasababu ya Energy yake huwa chafu zaidi, unajua wanachofanya ni kujaribu kuasi kwa kiwango cha juu ili kufurahisha mashetani yao na kupata manufaa kutoka kwao.Hilo dubwasha silipendi hata kuliona, bora ingekuwa damu ya simba ningeenda kumuwinda ila sio hilo ngiri la kizungu.
Hallelujah!!!
Wewe ni muongo unajitetea saaana, unajijua ni muongokabinti cha darasa la saba ukimwambia atafute square root ya negative 10 hatakushangaa atasema huyu amechanganyikiwa ana delusion maana hakuna square root ya negative wakati watu waliosoma hesabu za complex wanaona inawezekana lkn kale kabinti kanaona haiwezekan
Maisha yana duniani yana siri nyingi na huwezi jua kila kitu ukitaka kufahamu jambo lolote mtu akikuelezea na ukiona anadanganya mwambie akupe fact lkn ukibisha kwa kitu hukijui mtu anakuacha maana anaona hutaki kujua kama umeeleewa mfano wa kale kabinti inatosha subiri jumapili uende kanisani watakuambia
Kwamba ya kiswahili njaa kali 😁Na hayachelewi kwenda jikoni kufunua sufuria 😂
Unataka kutoa boriti ya jicho langu wakati ww jicho lako hutaki Kanisani kila jumapili mnafundishwa uongo mbona usemi ukiwa ww unapenda kusema kweli biblia imejaa uongo kila mahali mbona hujawahi kusemaWewe ni muongo unajitetea saaana, unajijua ni muongo
Kiswahili ni mtego na niliukwepa kabisa 😁Kwamba ya kiswahili njaa kali 😁
Nielekeze sasa niwaone mimi hao ndio nawataka 😹😹😹Umeshawahi kumuona mtu mrefu mpaka mawinguni na ameachama mdomo wazi kama anacheka?
Au umeshawaona watu wana rangi ya kijivu?
😹😹😹 Nipe namba zao mkuu, tena itapendeza km ukinipa za chairman wao nimrukie hewani..!!Shauri yako!
Mimi namsaidia ndugu yangu Kosugi kujibu.
Huwa wanatumia mpaka simu (unaweza kudhani ni masihara fulani ila wanatumia). Isipokuwa namba zao hazina mpangilio kama wa kwetu (code zake).
Kuna mwamba alimwambia hivyo hivyo kuwa nataka kukuona! Kaamka usiku ghafla mkojo umembana kufika nje ya mlango wa chumba chake anamuona mtu kasimama kampa mgongo na ana nywele ndefuuu zinaburuzika mpaka chini. Halafu nywele nyeusiii. Jamaa alikimbia!
😹😹😹 Mi tomaso nataka mpk niguse nihakikishewe mwanamke unayatafuta ya kuyatafuta
😹😹😹😹 usisahau kuleta mrejesho mkuuKumekucha sasa, hatimae nimeshachukua kanzu nyeupe kali sana kwa ajili ya kukutana na pisi matata ya kijini.
Hallelujah!!!