Kiarabu unajua tukurushie mzigo usome!?Nimekidhi vigezo vyote..
Tena kwa miezi 12 kwa kila kipengele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiarabu unajua tukurushie mzigo usome!?Nimekidhi vigezo vyote..
Tena kwa miezi 12 kwa kila kipengele
Kuitiwa inasaundi unyama zaidi. Msala unakuwa mwepesi kidogo kuliko meniyaaaUnataka uitiwe au uwaite mwenyewe!?
Mkuu we tulia mzigo wako uko njianiKuitiwa inasaundi unyama zaidi. Msala unakuwa mwepesi kidogo kuliko meniyaaa
Hallelujah!!!
AsanteNjia yoyote ambayo haimkufuru Mungu waweza kutumia ilimradi ufanikiwe the bad thing is to die broke while there's a lot of ways to make money.
Hakuna matata mkuu.Mkuu we tulia mzigo wako uko njiani
vyovyote ili mradi wanipe hela au maliUnataka uitiwe au uwaite mwenyewe!?
Najua asalamaleko tu...Kiarabu unajua tukurushie mzigo usome!?
Sio utani ni majaribioUnaleta utani na mapepo
Mkuu habari za leo, samahani mkuu je unaweza share na mimi hiko kitabu na mm nipate maarifa japo kidogo, ndg, natanguliza shukraniKuita ROHO zilizokufa hii nilipewa kitabu ambacho kimeandikwa kwa Arabic na kiingereza kufanya translation.
Nilijfunza mambo kadhaa ikiwemo kuita ROHO zilizokufa hapa duniani kwa lengo la kuzitumia kufanikisha mambo yako Fulani.
Hiyo njia uliyotumia ni hatua za mwanzo za kucheza na demons pamoja na spirit mbalimbali.
Next time waweza kusafiri hadi kufikia kiwango cha kugeuza tafiti kuwa fursa
OK mkuu ntakutumia PC yangu ndo Ina PDF ya kitabu so imezingua Ila from 26-27 tuwasiliane ntatuma katika PM yakoMkuu habari za leo, samahani mkuu je unaweza share na mimi hiko kitabu na mm nipate maarifa japo kidogo, ndg, natanguliza shukrani
Sawa mkuu ila pm yako umeifungaOK mkuu ntakutumia PC yangu ndo Ina PDF ya kitabu so imezingua Ila from 26-27 tuwasiliane ntatuma katika PM yako
Vipi mkuu Anita Leo umeshaenda kanisani kudanganyana na wenzako maana Leo jumapili mshadanganywa na kuibiwa pesa zenu na wanjanja halafu wewe bado upo upo kweli karne ya 21 bado mtu anaamini stori za watu waliwahi kuchomwa moto mji mzima kisa wanafanya dhambi Leo mbona watu wanafanya dhambi na hakuna hizo habari au Mungu wa zaman alikuwa mkali Leo amekuwa mpole hizo ni dalili wazi za kuonyesha hicho kitabu ni hadithi za kitungwa tuHujakataa kama wewe ni muongo sio??? Hii ya kupoint fingers wengine ni waongo doesn't do you any favour....sana sana inaonyesha jinsi ulivyokuwa unataka kutupiga kamba, dogo hapa JF sio kwa watoto wenzio...mnaocheza chandimu..stori za fix kawadanganye watoto wenzio.. alamsiki ...naona hukubali unaona una reputation to protect baada ya kutudanganya..Pole weweeeeee...unajijua ni muongo bye
Nitakuomba mkuu unitumie pm ili niweze kukupa email yangu kama hutajali ndg, natanguliza shukrani zanguSawa mkuu ila pm yako umeifunga
Mkuu, nakukumbushia ndgOK mkuu ntakutumia PC yangu ndo Ina PDF ya kitabu so imezingua Ila from 26-27 tuwasiliane ntatuma katika PM yako
Yes Nakumbuka Mkuu PC haijakaa sawa Ila ntakutumia soon .ndo nimerudi DSMMkuu, nakukumbushia ndg
Habarini za leo wanandugu! Samahanini natoka njee ya mada kidogo, naomba kuwauliza wale ambao wanafanya biashara je huwa mnakabiliana vipi na ile hali ya kupotea kwa hela kwenye biashara zenu pasipo kuibiwa na mtu, lakini ukija kufanya hesabu unakuta kuna hela imepungua hata kama hapo kwenye biashara uko mwenyewe naombeni msaada wa hali hii ukweli inanitesa sana, mpaka nimefikiq hatua ya kukata tamaa kabisa na biashara
Natanguliza shukrani zangu kwenu