Niliyoyaona baada ya kumiliki gari ya Mzungu

Simbamteme kaususa uzi wake.

Hizi chuma za mdutch zina sarakasi zingi sana. Hizi ndinga mie naziitaga 'chuma ulete'.

-Kaveli-
Heheheh hapo kupigwa 1.5M ni uhakika tena kwa nchi zetu za kijima hizi. Ndio maana nawashaurigi watu wanunue Toyota tu uzoee gari ukijiingiza huko kwa Mdutch uwe ushajipanga kisaikolojia maana vipigo vikianza unaweza ukaikumbuka Toyota yako kwa ukali sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mzee tupe mrejesho wengine vibubu viko tayari tunatafuta kitakachotufaa
 
High performance engine zinahitaji high octane petrol, ukizingua hapo lazima uvunje kibubu pia

Volkswagen 1.4 TSI Engine Reliability

As with many of Volkswagen's engines, if you follow the maintenance schedules religiously and use the correct fuel/oil, the1.4's are very reliable engines.

Volkswagen Tuning - Volkswagen Performance & Tuning Guides - Volkswagen Tuning and Performance Guides, Tuning News, and Videos β€Ί vw-1-4-tsi-eng...

The 5 Most Common VW 1.4 TSI Engine Problems - VW ...


Some problems include the piston ring land cracking over time which can be expedited by using the incorrect fuel. The CAVD engine must use 98 octane unleaded fuel as lower octane fuel will cause the engine to ping and result inprematurely cracked pistons. Another issue is the timing chain tensioner.28 Jun 2021

Car Parts Melbourne | New and Used Reconditioned Parts | Grant Walker Parts β€Ί v...

Volkswagen CAVD 1.4 Litre TSI Engine Problems - Grant Walker ...


Ni wajibu wako mmiliki/ derva wa gari kujua aina ya kiwese gari lako linahitaji, mhusika kwenye pump hana muda wa kuchunguza na inawezekana pia hajui hili swala kama ulivyo wewe.
 
European / American machine zimekaa kibabe sana na kila mtu anapenda kuwa na hizo machine.

Kwa mazingira yetu Mjapan kajua kutengeneza gari za kuendana na sisi kuanzia barabara, vipuri, oil, fuel.

Pesa zetu tunazipata kwa taabu sana, hata ukivimba ukaleta European car tayari ina Km za kutosha. Lazima ikupe stress tu.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
300kph kwa engine ipi....


Toyota tunazonunua ni za JDM hivo ziko limited to 180kph .... ukitoa limiter inazidi hapo ...mfano 1jz gte yenye 280hp inafika 250kph bila kupepesa macho ni swala la limiter tu
Watu huwa wanamchukulia poa sana Toyota, kwa sababu kajaa hapa Dodoma, ila production anazofanya kwa ajili ya soko la Europe na America usipime. Kwa jinsi watu wanavyolalamika ni ngumu kumantain gari za Mjerumani hapa Bongo kama mfuko wa shati sio mzuri, hivyo hivyo ni ngumu ku maintain gari za Toyota zinazouzwa kwenye soko la Europe na America


 
Hakuna watu wanajiskia kama wenye European Cars za bei chee kama BMW 1 na 3 series, Mercedes Benz C Class na AUDI A3 na 4 tena za miaka ya 2006 na 2007 huko[emoji28][emoji28].

Sema bana hizi ndinga zina muonekano flani hivi wa kuficha umaskini.

 

Huyu mleta Uzi sijuwi kapotelea wapi.

Aje atupe eksipirience kuhusu chuma ya mzungu.

Kama tayari ishamtoa kamasi, pia atueleze tu.

CC: Extrovert .

-Kaveli-
 
Chuma ya mzungu ni balaa. Haitaki mkwanja wa kuunga unga!

Huu ukimya wa Simbamteme unatupa mashaka wananzengo. Possibly kabisa tayari chuma ya mzungu dashboard ishawaka kama mti wa Xmas.

-Kaveli-
Kuna dogo m1 yuko mwanza bima maumeme yameifanya ikae juu ya mawe..namba DN....ukiiona inangaa inavutia balaa...sasa uliza anaiskuma ngap...7m....

Ile gar ikiwaka tu anaiuza haraka mno...mwanza tena..sasa mnunuaj namuonea huruma sana..gar ya 17m inauzwa 7m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…