Niliyoyaona baada ya kumiliki gari ya Mzungu

Wewe unayo uliyoagiza kutoka huko ulaya direct..? Maana anaelaumiwa kutengeza magari ambayo hayana quality hao hao wanaolaumu wananunua magari ya ulaya yaliyotengenezwa Japan huo ndo msingi wa hoja...
 
Hayo magari ni mabovu sana, uza kwa ataejipendekeza nalo nakushauri, afu toyota chache ndo ziko stable, crown iko stable kwa gari za chini nizoziendesha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atashika kichwa aisee
 
Ssaa hyo Mitsubishi si tayari ni mjapani, ukishasema mjapani tayari inadumu
 
Mzee vp gari yetu tupe mrejesho tupate hamasa ya kununua gari za mzungu

Share namba za fundi na duka la spairs.
 
VW si gari ya kukimbilia.inachachuka anytime. Na haliuziki kirahisi. Hapo lilizingua safarini xmass
gari yako chafu sana, unaitumia machombo ya mchanga au .. yani gari injini ina masizi kama unauza mkaa
 
Chuma ya mjerumani. HESHIMA 😎

-Kaveli-
 

Mkuu, hii chuma ulifanikiwa kuuza?

-Kaveli-
 
magari yenye brand ya dunia,
magari yenye hadhi ya nyota 5+..
magari ya ndoto...
ni magari ya kizungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…