Niliyoyaona baada ya kumiliki gari ya Mzungu

Niliyoyaona baada ya kumiliki gari ya Mzungu

Hii hapa inaenda mwaka wa tatu taa inayowaka ni hio kwasababu ya bulb ya nyuma sina muda wa kubadili(nimeiacha makusudi nikiwapa lift akina Extrovert wapate cha kusema).
Touran yako ni engine gani ilikuwa 1.4Tsi? DSG mbona zipo kwenye Mk5 GTi na vijana wanazikamua sana hapa mjini?
Kama alivyosema Bavaria kuna mahali ulikosea kukubali tu kuweka engine ya Toyota imeonesha wazi kuna mahali umekosea.
Hizo gari za mzungu ili ufaidi lazime uwe na uelewa mzuri wa magari.
Mwaka Jana Kuna Mzee tulikuwa naye Songea tunaingia vijijni yeye alikuwa anatumia BMW X3 hata alipokuwa akiambiwa gari hii hairudi Dar hajali.

Na yeye ni fundi pia anasema kwenye BMW Series X,hiyo X3 kwenye njia mbovu anaipeleka atakavyo na kweli alikuwa anatangulia mbele Sisi na GX100 Cresta.
Gari yake exhaust iliachia kwenye tuta na akitoa Kisha akaenda kurekebisha baada ya siku 2.

BMW X3 ina muungurumo mmoja wa kibabe Sana, kwenye milima mikali ukiwa nyuma yake na exhaust imetolewa.
 
Mjomba subiria hata Masika moja ipite kwanza. Gari haina hata mwaka unasema hujaona issues zaidi ya brake pads zilizoisha? 😂

Kiboko ya mjerumani ni mvua na madimbwi tu, utakuja kusimulia humu.
Hii inategemea, kama gari ni jipya au limetumika (umri). Mimi nina Mitsubishi Outlander (2016), tangu niinunue miaka mitano iliyopita sijaenda kwa fundi (haijahitaji matengenezo) isipokuwa regular service kila baada ya miezi sita. Of course mimi ni mzee, kwa mwaka ninaenda si zaidi ya kilomita elfu kumi. Ninyi vijana mna safari nyingi. Gari ni matunzo. Kama unaiendesha kama vile uko kwenye mashindano, wear and tear yake ipo juu na uwezekano wa kuharibika ni mkubwa kuliko yule anaye libembeleza gari lake kama mtoto
 
Hii inategemea, kama gari ni jipya au limetumika (umri). Mimi nina Mitsubishi Outlander (2016), tangu niinunue miaka mitano iliyopita sijaenda kwa fundi (haijahitaji matengenezo) isipokuwa regular service kila baada ya miezi sita. Of course mimi ni mzee, kwa mwaka ninaenda si zaidi ya kilomita elfu kumi. Ninyi vijana mna safari nyingi. Gari ni matunzo. Kama unaiendesha kama vile uko kwenye mashindano, wear and tear yake ipo juu na uwezekano wa kuharibika ni mkubwa kuliko yule anaye libembeleza gari lake kama mtoto
Sawa. Mzee mie nina damu inayochemka ligi za mchangani lazima zile.
Hii inategemea, kama gari ni jipya au limetumika (umri). Mimi nina Mitsubishi Outlander (2016), tangu niinunue miaka mitano iliyopita sijaenda kwa fundi (haijahitaji matengenezo) isipokuwa regular service kila baada ya miezi sita. Of course mimi ni mzee, kwa mwaka ninaenda si zaidi ya kilomita elfu kumi. Ninyi vijana mna safari nyingi. Gari ni matunzo. Kama unaiendesha kama vile uko kwenye mashindano, wear and tear yake ipo juu na uwezekano wa kuharibika ni mkubwa kuliko yule anaye libembeleza gari lake kama mtoto
 
Hio unaiona ilikuja na 65,000km imepiga trip mikoani za kutosha,inatumika foleni za Dar daily si chini ya 50km,naishi kitaa kuna madimbwi ya kutosha na bado iko kama ilivyokuja.
Sio kama haiharibiki, vifaa vinachoka nabadili maisha yanaendelea, kama Toyota tu sio kwamba haziharibiki ila vifaa feki vingi ndio maana watu hawaziogopi.
Wengi wanazishindwa gari za mzungu.

Wananunua kwa sifa badae zinawashinda.

Mpaka sasa sidhani kama hizo VW tena za zamani zikose mafundi au spare. Labda ziwe za miaka ya sasa.
 
Wasalaam

Kwanza nianze kwa kusema kwamba maoni yangu sio sheria..haya ni maoni tu na mambo niliyoyaona baada ya kufanikiwa kumiliki gari ya mzungu

Mwanzoni nilikuwa na Toyota premio lkn niliichoka mapema baada ya kupata nayo ajali..bahati nzuri nikafanikiwa kuiuza kwa bei nzuri tu..nikawa najivuta kujichanga changa ili nivute ndinga nyingine kutoka ulaya

Nilipoingia humu kupata maoni khs hiyo gari(Volkswagen golf touran) kwa kweli negative comment zilikuwa nyng sana..nikapiga moyo konde nikaagiza hvyo hvyo..potelea pote,hela inatafutwa tu!!

Mwezi ulioisha nikafanikiwa kuikamata hii ndinga...nna kama mwezi mmoja hivi tangia niikamate na nishasafiri nayo mkoani nnapowajibika kikazi

Haya ni mambo machache sana nnayoweza kusema kuhusu gari ya mzungu:

Mosi,Kwa upande wa CONFORTABILITY,aisee toyota wameachwa mbali sana..Boss wangu ana Kluger,lkn majuzi alitaka aitest tu hii gari(maana kazini nnayo mwenyewe),aliivulia kofia

Pili,Kwa upande wa MAINTANANCE,kusema kweli vipuri vyake ni gharama kdg,ila ni GENUINE...ilinibidi nibadilishe plugs pamoja na break pads..plug moja nilinunua kwa tsh 35K..kwa upande wa break pads za mbele nilinunua kwa 160k na nyuma 95k

Tatu,kwa upande wa UPATIKANAJI WA SPARE,ilinibidi nitumie siku 1 nzima kuzunguka k/koo mpk posta kutafuta sehemu wanapouza spare za haya magari..nilifanikiwa kupata machimbo mengi,zaidi ya 5,lkn kuna chimbo moja lipo mtaa wa kisutu kuna muhindi mmoja ana kila aina ya spare ya magari ya MZUNGU..na kama hatakuwa nayo,ndani ya siku 5 anaagiza na unaipata...so kwa wale ambao ni waoga wa namna ya upatikanaji wa spare watoe shaka kbsa

Nne,kwa upande wa jinsi gari lilivyo..kwa kweli nimevutiwa na kila kitu...na kitu kizuri zaidi huitaji kuhangaika na chochote kwenye gari...muda wa service ukifika,taa ikiungua au jambo lolote ambalo sio normal kwenye gari basi DASHBOARD yako itakuonyesha,huna haja ya kuhangaika

Tano,Kwa wazee wa SPEED...hapa ndo mahali pake..niliyoichukua mm ina engine ya TSI,Speed 260..wakati nakuja nayo mkoani niliwatesa sana watu wenye ma prado yao/harrier waliokuwa wanataka ligi barabarani ...kuna jamaa mmoja alikuwa na crown aisee yule jamaa ni dereva,nilitoana nae jasho haswa ila mwishoni aliukubali mziki wangu ikabidi aniombe nisimame ili tu aijue hii gari..

Sita,Kwa upande wa kutulia barabarani(BALANCE)..aisee wazungu wazungu tu...kwenye mkeka wa njombe pale nilifanikiwa kufika spidi 250,lkn gari ndo kwanza inakamata chini..haiyumbi wala nn,imetulia balaa!!

Saba,Kwa uchunguzi wa haraka haraka nilioufanya(sina uhakika sana),brand rahisi ya magari ya ulaya kuimiliki moja wapo ni Volkswagen,hata maintenance yake ni ya kawaida tho ipo juu kidogo kulinganisha na Toyota..ila ipo chini sana kulinganisha na BMW au BENZI

Nane,Hii si gari ya kumpa kila mtu aiendeshe..madereva tunatofautiana..kama nilivyosema,hitilafu yeyote lzm DASHBOARD itakuonyesha...sasa ukiwa mtu wa kuazimisha sana,hii gari lazma uichukie!!

Tisa,Kwa upande wa SAFETY,hapa mzungu ndipo anàpompiga konzi la sikio mjapani..kwa hesabu za haraka hii gari ina AIRBEGS zaidi ya 4 ili tu kukuhakikishia usalama wako na familia pindi majanga yanapotokea

MWISHO...Unaenda mwezi wa 2 huu sasa sijapata tatizo lolote la kiufundi kwenye gari wala gari kusumbua au kuzimika au kugoma kuwaka...lipo freshi tu na linapiga kazi vizuri tu na ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana kwa kweli..Tutoe uoga,kama unawish kumiliki gari ya mzungu miliki tu,acha kutishwa na maneno maneno ya watu

NB: Huku niliko hakuna hata duka moja linalouza spare za VW..ni mwendo wa Toyota,Subaru na Suzuki tu!!hata Mazda na Honda pia mtihani[emoji3][emoji3]

Adios!!
Mm naipenda sana Volkswagen beetle new model
 
Gari lilikuzidi uwezo kijana.

Gari kama Touran unawezaje inunua ushindwe kuihudumia?
Vanguard ungeiweza sasa?
hela ilikuwepo chief kwani niliagiza parts kibao toka SA ikiwemo gearbox,maana baadae ilikua inaruka gears halafu nasikia mlio kama mtu kapiga nyundo kwa engine.Ilinipuna karibia 6m plus 1.5m ya engine\gerbox ya carina +ufundi nk. Gari ya mjerumani ntanunua mpya sio used maana ni ugonjwa wa moyo.
 
Wasalaam

Kwanza nianze kwa kusema kwamba maoni yangu sio sheria..haya ni maoni tu na mambo niliyoyaona baada ya kufanikiwa kumiliki gari ya mzungu

Mwanzoni nilikuwa na Toyota premio lkn niliichoka mapema baada ya kupata nayo ajali..bahati nzuri nikafanikiwa kuiuza kwa bei nzuri tu..nikawa najivuta kujichanga changa ili nivute ndinga nyingine kutoka ulaya

Nilipoingia humu kupata maoni khs hiyo gari(Volkswagen golf touran) kwa kweli negative comment zilikuwa nyng sana..nikapiga moyo konde nikaagiza hvyo hvyo..potelea pote,hela inatafutwa tu!!

Mwezi ulioisha nikafanikiwa kuikamata hii ndinga...nna kama mwezi mmoja hivi tangia niikamate na nishasafiri nayo mkoani nnapowajibika kikazi

Haya ni mambo machache sana nnayoweza kusema kuhusu gari ya mzungu:

Mosi,Kwa upande wa CONFORTABILITY,aisee toyota wameachwa mbali sana..Boss wangu ana Kluger,lkn majuzi alitaka aitest tu hii gari(maana kazini nnayo mwenyewe),aliivulia kofia

Pili,Kwa upande wa MAINTANANCE,kusema kweli vipuri vyake ni gharama kdg,ila ni GENUINE...ilinibidi nibadilishe plugs pamoja na break pads..plug moja nilinunua kwa tsh 35K..kwa upande wa break pads za mbele nilinunua kwa 160k na nyuma 95k

Tatu,kwa upande wa UPATIKANAJI WA SPARE,ilinibidi nitumie siku 1 nzima kuzunguka k/koo mpk posta kutafuta sehemu wanapouza spare za haya magari..nilifanikiwa kupata machimbo mengi,zaidi ya 5,lkn kuna chimbo moja lipo mtaa wa kisutu kuna muhindi mmoja ana kila aina ya spare ya magari ya MZUNGU..na kama hatakuwa nayo,ndani ya siku 5 anaagiza na unaipata...so kwa wale ambao ni waoga wa namna ya upatikanaji wa spare watoe shaka kbsa

Nne,kwa upande wa jinsi gari lilivyo..kwa kweli nimevutiwa na kila kitu...na kitu kizuri zaidi huitaji kuhangaika na chochote kwenye gari...muda wa service ukifika,taa ikiungua au jambo lolote ambalo sio normal kwenye gari basi DASHBOARD yako itakuonyesha,huna haja ya kuhangaika

Tano,Kwa wazee wa SPEED...hapa ndo mahali pake..niliyoichukua mm ina engine ya TSI,Speed 260..wakati nakuja nayo mkoani niliwatesa sana watu wenye ma prado yao/harrier waliokuwa wanataka ligi barabarani ...kuna jamaa mmoja alikuwa na crown aisee yule jamaa ni dereva,nilitoana nae jasho haswa ila mwishoni aliukubali mziki wangu ikabidi aniombe nisimame ili tu aijue hii gari..

Sita,Kwa upande wa kutulia barabarani(BALANCE)..aisee wazungu wazungu tu...kwenye mkeka wa njombe pale nilifanikiwa kufika spidi 250,lkn gari ndo kwanza inakamata chini..haiyumbi wala nn,imetulia balaa!!

Saba,Kwa uchunguzi wa haraka haraka nilioufanya(sina uhakika sana),brand rahisi ya magari ya ulaya kuimiliki moja wapo ni Volkswagen,hata maintenance yake ni ya kawaida tho ipo juu kidogo kulinganisha na Toyota..ila ipo chini sana kulinganisha na BMW au BENZI

Nane,Hii si gari ya kumpa kila mtu aiendeshe..madereva tunatofautiana..kama nilivyosema,hitilafu yeyote lzm DASHBOARD itakuonyesha...sasa ukiwa mtu wa kuazimisha sana,hii gari lazma uichukie!!

Tisa,Kwa upande wa SAFETY,hapa mzungu ndipo anàpompiga konzi la sikio mjapani..kwa hesabu za haraka hii gari ina AIRBEGS zaidi ya 4 ili tu kukuhakikishia usalama wako na familia pindi majanga yanapotokea

MWISHO...Unaenda mwezi wa 2 huu sasa sijapata tatizo lolote la kiufundi kwenye gari wala gari kusumbua au kuzimika au kugoma kuwaka...lipo freshi tu na linapiga kazi vizuri tu na ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana kwa kweli..Tutoe uoga,kama unawish kumiliki gari ya mzungu miliki tu,acha kutishwa na maneno maneno ya watu

NB: Huku niliko hakuna hata duka moja linalouza spare za VW..ni mwendo wa Toyota,Subaru na Suzuki tu!!hata Mazda na Honda pia mtihani[emoji3][emoji3]

Adios!!
very useful
 
hela ilikuwepo chief kwani niliagiza parts kibao toka SA ikiwemo gearbox,maana baadae ilikua inaruka gears halafu nasikia mlio kama mtu kapiga nyundo kwa engine.Ilinipuna karibia 6m plus 1.5m ya engine\gerbox ya carina +ufundi nk. Gari ya mjerumani ntanunua mpya sio used maana ni ugonjwa wa moyo.
Gari imekula hela mwisho ukaweka engine ya Toyota kuna mahali umekosea mkuu. Usingefika huko. Kitabu usipokielewa hukuandikiwa wewe. Hizo hizo used tunatumia karibu miaka 20 sasa. Mpya hata mimi naitamani.
 
Hii inategemea, kama gari ni jipya au limetumika (umri). Mimi nina Mitsubishi Outlander (2016), tangu niinunue miaka mitano iliyopita sijaenda kwa fundi (haijahitaji matengenezo) isipokuwa regular service kila baada ya miezi sita. Of course mimi ni mzee, kwa mwaka ninaenda si zaidi ya kilomita elfu kumi. Ninyi vijana mna safari nyingi. Gari ni matunzo. Kama unaiendesha kama vile uko kwenye mashindano, wear and tear yake ipo juu na uwezekano wa kuharibika ni mkubwa kuliko yule anaye libembeleza gari lake kama mtoto
Shikamoo babu..

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
hela ilikuwepo chief kwani niliagiza parts kibao toka SA ikiwemo gearbox,maana baadae ilikua inaruka gears halafu nasikia mlio kama mtu kapiga nyundo kwa engine.Ilinipuna karibia 6m plus 1.5m ya engine\gerbox ya carina +ufundi nk. Gari ya mjerumani ntanunua mpya sio used maana ni ugonjwa wa moyo.
Inawezekana ni gari lako specific ndo ilikuwa na shida na sio all european brands.
 
Tano,Kwa wazee wa SPEED...hapa ndo mahali pake..niliyoichukua mm ina engine ya TSI,Speed 260..wakati nakuja nayo mkoani niliwatesa sana watu wenye ma prado yao/harrier waliokuwa wanataka ligi barabarani ...kuna jamaa mmoja alikuwa na crown aisee yule jamaa ni dereva,nilitoana nae jasho haswa ila mwishoni aliukubali mziki wangu ikabidi aniombe nisimame ili tu aijue hii gari..

Sita,Kwa upande wa kutulia barabarani(BALANCE)..aisee wazungu wazungu tu...kwenye mkeka wa njombe pale nilifanikiwa kufika spidi 250,lkn gari ndo kwanza inakamata chini..haiyumbi wala nn,imetulia balaa!!

Mkuu bado familia inakuhitaji!! Gari hazihitaji mbio za sifa ,speed 250 ukipata ajali unachomoka kwenye kioo na kiti.
 
Back
Top Bottom