Niliyoyaona huku meatu

Niliyoyaona huku meatu

Kujifanya hujawahi kuishi wala kufika maeneo ya nje ya Dar au? Mie sipendi mtu anayeringa, !@#$%^&*
 
Hakika katika mikoa ambayo bado kimaendeleo ni simiyu.


Nilipita bariadi hata lami bado, kutokea shinyanga. Pia katika wilaya ya itilima ni kama kijiji flani tu.

Nilipofika bariadi ni kisukuma tu kwa kwenda mbele.

Nipo meatu hapa, kidogo kumeendelea, lakini cha kilichonishangaza ni baiskeli inatumika kama bodaboda, yaani kupeleka abiria kwenda sehemu mbalimbali.
Nakubaliana na ww... Maendeleo bado SNA ...nmetembelea baadhi ya vijiji vya huko ki ukweli hali c nzuri SNA..lami imefika maswa.. Ujenzi unaendelea hadi bariadi mjn...maajabu nliyoyaona bariadi ni 'mbina'
 
Huu uzi bila kumuona Nyani Ngabu Wick

Shualina, usimsikilize huyo.

Ni mzushi.

Bariadi lami ipo. Fact.

English medium zipo. Fact.

Supermarkets zipo. Fact.

Kuna Wahaya na Wachaga wengi tu. Fact.

Watu hawaongei Kisukuma tu huko. Fact.

Na hata kama wote wangekuwa wanaongea Kisukuma, tatizo liko wapi?
 
Ndio mana nilikuwa nataka niwasikilize kwenye mji wenu Ngabu
Shualina, usimsikilize huyo.

Ni mzushi.

Bariadi lami ipo. Fact.

English medium zipo. Fact.

Supermarkets zipo. Fact.

Kuna Wahaya na Wachaga wengi tu. Fact.

Watu hawaongei Kisukuma tu huko. Fact.

Na hata kama wote wangekuwa wanaongea Kisukuma, tatizo liko wapi?
 
Mkuu nimefika wilaya ya bariadi lami ipo na mwaka huu mama samia alienda kuizindua ila wilaya ya itilima bado ni kijiji ikifika jioni fisi ni kawaida
 
Huu uzi bila kumuona Nyani Ngabu Wick
CRDB au atasema ya wakulima!
DSC04506 (1).JPG

NMB atasema ya waalimu
_DSC3875.JPG

kuna Azania au ndio ya waendesha Baiskeli, lakini hata China wapo hawa!😎😎
unnamed03 (1).jpg


Ooh nimesahau Mama Samia ana mtaa wake pia umeandikwa kizungu kwa waongea Kisukuma tupu (sijui wataelewa kilichoandikwa au ndio watapoteana).
images.jpeg


Bebe kuna washamba wengi jijini na huko mijini kwingine wapo!. Hapo bado shule sijazilist!.
Kwa msaada wa Google
 
CRDB au atasema ya wakulima!View attachment 861577
NMB atasema ya waalimu
View attachment 861578
kuna Azania au ndio ya waendesha Baiskeli, lakini hata China wapo hawa!😎😎
View attachment 861579

Ooh nimesahau Mama Samia ana mtaa wake pia umeandikwa kizungu kwa waongea Kisukuma tupu (sijui wataelewa kilichoandikwa au ndio watapoteana).
View attachment 861580

Kuna washamba wengi jijini na huko mijini kwingine wapo!.
Kwa msaada wa Google

Hapo CRDB kuna barabara ya lami inaenda mpaka kule Somanda kanisani...

Halafu hapo benki ni karibu sana na kituo cha basi naposhukiaga kwenda nyumbani kwangu....
 
Hapo CRDB kuna barabara ya lami inaenda mpaka kule Somanda kanisani...

Halafu hapo benki ni karibu sana na kituo cha basi naposhukiaga kwenda nyumbani kwangu....
Ni ushamba wa mleta mada tu. watu tunaserereka Dar-Simiyu huku tukinunua vocha Tigopesa mpaka tunafika room!..
Anadhani yupo mikoa inayokimbizana na Lami mpaka leo!..
 
Fursa hiyo mkuu. Sema tulete pikipiki za kutosha. Mpya na used tuwakopeshe tupige hela
 
Wewe ni muongo flan hv ameizing!

Maswa kuna lami ambayo inaanzia mwigumbi to bariadi. Bariadi kuna lami muda mrefu tofauti na maswa na lami ya bariadi inatokea lamadi.

Kwenye maendeleo kwa kweli maswa ndo iko nyuma naweza sema,,,bariadi kwa mkoa wa Simiyu ndo wanaongoza kwa maendeleo hasa kibiashara. Meatu nao hawako nyuma sana japokuwa bado



Tatizo la Mkoa wa Simiyu ,zamani watu waliachwa wakate miti hovyo hivyo kusababisha dalili za jangwa lkn chini ya jemedari Mkuu wa Mkoa Mtaka hakika SIMIYU Itakuwa juu

Bila kusahau...tuna viwanda mbalimbali katika Mkoa ,km vile kiwanda cha ngozi, kiwanda cha chalks, kiwanda cha kuchakata maziwa.

Kila jambo zuri huwa na mwanzo mzuri! Tunatarajia makubwa MKOA WA SIMIYU

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada wa bariadi hujambo?
 
Shunie mama njoo uone wasukuma wajanja huku!.. Achana na hao wanaotembelea koromije ya ndani ndani.

Dar-Simiyu ndani ya Najmunisa au Mombasa Raha.....wi-fi bure utadhani nipo ndani ya KLM...

Hahahaaa....huyo jamaa si ajabu hajawahi kufika Simiyu! Anapasikia tu!
 
Back
Top Bottom