Niliyoyaona kwenye kampuni za ulinzi

Niliyoyaona kwenye kampuni za ulinzi

""""Enzi hizo palikuwa na wizi wa mawasiliano ya simu.
Anakuja usiku mtaalamu anaingia kwenye control box ya TTCL anawaconnectia wahindi mjini wanapiga international call usiku kucha bill ikija inasoma kwenye kampuni au kiwanda husika""""

Mkuu hapa umeniacha kapa yaani ipo vipi
Enzi za mobitel ndio ujio wa simu za mkononi vocha inaanzia elf 5 kupiga nje ya nchi mfano ulaya ni ghali sana hayakuwepo mambo ya email,wasap,FB nk ni uende TTCL wakakuconnect upige nje ya nchi Sasa billi yake ilikua Sio mchezo hapakuwepo na mambo ya Safelite Kama Sasa.
So wezi wataalamu waliosemea mawasiliano walikuwa wanakuja na kifaa Kama simu wanahack kisha wanawauzia muda wa maongezi waliotaka kuongea ulaya bili ya mwisho wa mwezi ikija inaingia kwenye bill ya kampuni iliyoibiwa mawasiliano Jana usiku.
So inabakia kushikana uchawi wa matumizi makubwa simu kwa wafanyakazi wa kampuni au kiwanda kulichoibiwa
 
Kazi zinazidi kuwa ngumu kadri miaka inavyokwenda. Ongezeko kubwa la wasomi wanaotoka vyuoni kila mwaka ilihali "wadosi" Hawataki kuachia viti vyao wakati wengine wana miaka 75 ndio chanzo kikubwa. Kuna kampuni X ya ulinzi imeajiri graduates wenye bachelor wengi sana kama walinzi.
 
Nakumbuka 2014 nikiwa kijana mdogo tu maisha yakanipiga nikaenda kuomba kazi ya ulinzi, nikapata. Sasa kuna afande mzee mzee hivi (zonal manager) akawa ananiuliza wewe na mwili huo mdogo utaweza kazi kweli au tukakufiche, inabidi ukafanye kazi kwa mkurugenzi kulinda nyumba halafu mkurugenzi mwenyewe hakai hapo kwa hiyo ni kulinda nyumba tu.

Kukawa kuna site supervisor mmoja mdada akamwambia afande huyu nipe mimi awe kwenye crew ya patrol, mzee akagoma kabisa ila mdada akakaza. Mwisho nikapewa hicho kitengo cha patrol tukawa kila siku usiku tunazungukia malindo yote. Kumbe yule matron alishanipenda ikawa anaweka mazingira ya kuliwa. Mwisho nikamla kweli na tangu hapo niliishi maisha mazuri kazini kuliko hata mkurugenzi wa kampuni, nikitaka kwenda kazini naenda nisipotaka basi usiku nakeshea mbususu ya matron mpaka alfajiri then naanza kuchochea tena mpaka saa 1 asubuhi. Tukitoka hapo ni simu tu namuombea ruhusa Hassan leo anajisikia kuumwa haji kazini, nawekewa supu na chapati nakula nikimaliza nalala tu.

Umarioo mtamu asikwambie mtu.
Uliishi hivyo kama marioo kwa muda gani?

Ulikuwa hujishtukii ruhusa zinakuwa nyingi.?
 
Nakumbuka 2014 nikiwa kijana mdogo tu maisha yakanipiga nikaenda kuomba kazi ya ulinzi, nikapata. Sasa kuna afande mzee mzee hivi (zonal manager) akawa ananiuliza wewe na mwili huo mdogo utaweza kazi kweli au tukakufiche, inabidi ukafanye kazi kwa mkurugenzi kulinda nyumba halafu mkurugenzi mwenyewe hakai hapo kwa hiyo ni kulinda nyumba tu.

Kukawa kuna site supervisor mmoja mdada akamwambia afande huyu nipe mimi awe kwenye crew ya patrol, mzee akagoma kabisa ila mdada akakaza. Mwisho nikapewa hicho kitengo cha patrol tukawa kila siku usiku tunazungukia malindo yote. Kumbe yule matron alishanipenda ikawa anaweka mazingira ya kuliwa. Mwisho nikamla kweli na tangu hapo niliishi maisha mazuri kazini kuliko hata mkurugenzi wa kampuni, nikitaka kwenda kazini naenda nisipotaka basi usiku nakeshea mbususu ya matron mpaka alfajiri then naanza kuchochea tena mpaka saa 1 asubuhi. Tukitoka hapo ni simu tu namuombea ruhusa Hassan leo anajisikia kuumwa haji kazini, nawekewa supu na chapati nakula nikimaliza nalala tu.

Umarioo mtamu asikwambie mtu.
Stori ya kufikirika
 
Miaka kadhaa hapo nyuma Katika harakati za kupambana na maisha nimewahi kuajiriwa Katika kampuni kubwa ya ULINZI binafsi hapa nchini Kwa Wakati huo kulikuwa na kampuni kubwa za ulinzi hapa mjini kama nne hivi ambazo zilikuwa zinagombania soko la kulinda maeneo mbalimbali ya jiji ikiwemo mabanki,balozi,ofisi,viwanda na nyumba za matajiri.

Kwa kipindi kile Mimi niliajiriwa upande wa technical ambao mainly tulikuwa tuna-deal na security system ambazo ndani yake kuna masuala ya CCTV kamera,panick button system,intruder system, electrical fence, access control na vinginevyo.

Tuachane na upande wangu wa technical ambao nilikuwa. Leo nataka niongelee upande wa ulinzi (guards) ambao kutokana na experience yangu ndani ya kampuni niliyashuhudia na kuyasikia mengi ya ajabu hususani Mambo yanayohusisha rushwa ya pesa na ngono.

Kwa ujumla kwenye hizi kampuni mtu unapokuja kuomba kazi ya ULINZI Kwa kipindi kile unatuma maombi idara ya mafunzo (training) na kuambatanisha kopi ya vyeti vyako alafu idara itachagua watu na kuwapigia simu kuja kwenye interview na mafunzo.

Katika mchakato Huu kuna mengi hutokea Kwa wale amabo tayari washalengeshwa na kupewa namba za wahusika miamala ya rushwa Huwa inafanyakazi Kwa kipindi hiko,jambo lingine hata kama Unataka kuajiriwa Kwa nafasi ya juu ndani ya kampuni hakikisha hauweki vyeti vyako vya elimu kubwa kwenye maombi Kwa sababu trainer hawataki kudeal na mtu aliyewazidi elimu maranyingi wanaweza kukufanyia figisu kwenye training mpaka ukashindwa kuendelea na mafunzo au kukutafutia sababu ukawa disqualified.kiukweli sehemu hii mabinti wengi hulazimika kutoa rushwa ya ngono Kwa wakufunzi ili apite kwenye mafunzo salama na wakufunzi nao si haba huwaramba sawa sawa mabinti

Mkishamaliza mafunzo mnapatiwa mkataba wa ajira na uniform za kazi na kitambulisho na kuhamishwa kutoka idara ya training na kupelekwa idara ya operations huku ndio kuna kuna balaa la kila Aina maana kuna majungu,fitna,visasi,ujuaji,mapenzi,deals na rushwa.

Ukishakabidhiwa upande wa operations wao huanza Kwa kuwapangia malindo maeneo mbalimbali ya mji .hapa watu wengi hupambana kupata malindo ya sehemu nzuri ikiwemo ofisi za balozi,kiwanda, town kwenye majengo makubwa na maeneo ya Karibu na mtu anapokaa.

Ili kupata Lindo zuri aiza liwe linavi-tip,Karibu na nyumbani au mazingira mazuri na yasiyo na purukushani au mteja mkorofi basi inabidi uishi vizuri na site commander na sector sagent wa Hilo eneo hivyo sector sagent na site commander nae hutaka chochote kitu kama we ni me,basi akikuweka kwenye lindo hilo la maana na linalipa basi mwisho wa mwezi Inabidi umkatie chochote kitu au kama ni jinsia ke basi hapo ni kumpa penzi Tu ili akuweke kwenye lindo la sivyo utakaa stand by mpka basi na kuwa kama releaver kazi yako kuziba magap ya watu ambao nilikuwa wapo off au likizo kitu ambacho Huwa kinatesa sana maana unakuwa huna post maalum mara Leo hapa kesho kule.

Ukiwa mlinzi Inabidi uishi na mteja vizuri I mean mhusika wa eneo mnalolilinda maana wao wananguvu ya kuzuia wew kutolewa kwenye lindo husika pale inapotokea umefanyiwa figisu figisu na site commander au sector sagent. Mara nyingi kama ukishindwa kwenda sawa na site kamanda au sector sagent au wenzio wamekufanyia figisu au kuna mtu wake sector sagent anataka kumleta Katika Lindo hukufanyia vitimbi mbalimbali ikiwemo kukataa ruhusa zako na hata akikubali hatafuti mtu wa kuziba gap ili usionekane mtoro Kwa site commander.

Mara nyingi wale watu wa Karibu wa sector sagent aidha awe kimada wake,ndugu yake au mshikaji Huwa wasumbufu sana kwenye lindo na sio wafanyaji kazi wengi ni wambea na wanapenda majungu hawapendi shift za night wengi wao wanataka wapangwe shift za mchana na kama akipangwa na supervisor getini basi jioni atayafikisha Kwa sector sagent ili aje kumchimba mkwala supervisor.

Itaendelea ........
Nilikuwa na kimwanamke sumajkt ,kazuri balaa,tatizo vimalaya mnoo
 
Nakumbuka 2014 nikiwa kijana mdogo tu maisha yakanipiga nikaenda kuomba kazi ya ulinzi, nikapata. Sasa kuna afande mzee mzee hivi (zonal manager) akawa ananiuliza wewe na mwili huo mdogo utaweza kazi kweli au tukakufiche, inabidi ukafanye kazi kwa mkurugenzi kulinda nyumba halafu mkurugenzi mwenyewe hakai hapo kwa hiyo ni kulinda nyumba tu.

Kukawa kuna site supervisor mmoja mdada akamwambia afande huyu nipe mimi awe kwenye crew ya patrol, mzee akagoma kabisa ila mdada akakaza. Mwisho nikapewa hicho kitengo cha patrol tukawa kila siku usiku tunazungukia malindo yote. Kumbe yule matron alishanipenda ikawa anaweka mazingira ya kuliwa. Mwisho nikamla kweli na tangu hapo niliishi maisha mazuri kazini kuliko hata mkurugenzi wa kampuni, nikitaka kwenda kazini naenda nisipotaka basi usiku nakeshea mbususu ya matron mpaka alfajiri then naanza kuchochea tena mpaka saa 1 asubuhi. Tukitoka hapo ni simu tu namuombea ruhusa Hassan leo anajisikia kuumwa haji kazini, nawekewa supu na chapati nakula nikimaliza nalala tu.

Umarioo mtamu asikwambie mtu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ways back miaka ya elf 2 nakumbuka nilikula training moja kali Sana viwanja vya mwamposa kawe jkt wakasome yule Mkenya retired army alitupigisha training hatari utadhani unaajiriwa na Wagner Group kumbe KK security aisee.

Pana siku nilizidiwa nikatoka nduki Cha kufia nini nilipofika home nikikumbuka msoto wa mtaa kesho yake nikawahi kwenda kuomba msamaha nikatoa sababu,wakaniambia awaajiri vichaa toka hapa.

Nikabembeleza sana aisee life msoto wakanikubalia.Nikamaliza training ya wiki mbili.

Wajinga wale mnalishwa wali maharage saa Saba baada ya kula mnaenda kuulipa uwanjani.

Nikapiga kazi mwaka mmoja huku napiga mishe zingine.

Supervisor alinielewa nikawa naingia usiku tu asubuhi naulamba kutembeza kaki maofisini jioni naingia Lindon, home narudi weekend.

Hakika safari ya maisha ni simulizi tosha.

Pana siku likapigwa Dili la kuingiza wezi waibe mafuta Depot za matenk ya mafuta kurasini.

Kazi ikapigwa tukapewa pesa mbuzi wajinga wanazijua koki zote kulingana na aina ya mafuta dizeli, petrol,taa.
Kumbe security manager nyuma ya geti Kuna nyumba ya Mzee mmoja informer wao akamnyoshea mchezo wote mzima asubuhi tukaitwa tukawekwa mtu kati.

"Niambieni ukwel au muende jela ikabidi tufunguke ni kweli mchezo tunaijua ikaripotiwa ofisin kwetu,wakatufukuza kazi.

Nikashukuru maana jela miaka 7 walitusaidia sana.

Baada ya kazi kuisha nikazama BOT kuendesha crane za ukutani za kupandisha mafundi juu enzi zile za ujenzi wa majengo pacha ya BOT, Nikiwa kwenye mchakato wa kuchukua Hela yangu nssf nifanye nauli ya kuchomoka south Africa.Nikapata kazi panono bongo.
Mlinzi mwenzangu niliyekuwa nae tukilinda akapata kazi panono tukaja kutana nae CBE tukapiga bachelor siku hizi anaporomosha vituo vya mafuta tu.

Maisha ni safari kutoka kulinda hadi Leo nalala nimelindwa.

Usikate tamaa,usichague kazi.
Nakubali mwanangu!!!! Wacha tuendelee kuhaso!!
 
Kazi za ulinzi zinaokoa sana Kama hujapata ramani mjini umegraduate tafuta hizi kampuni kubwa ukipata laki 3 si haba.
Itakusaidia kulipa Kodi,nauli ya kutembeza bahasha mjini,kula nk.
Hv ni kampun gan inalipa 300k?? Maana hz kubwa mfano garda, SGA, SUMA JKT naskia znalipa 180-230k.
 
Nakumbuka 2014 nikiwa kijana mdogo tu maisha yakanipiga nikaenda kuomba kazi ya ulinzi, nikapata. Sasa kuna afande mzee mzee hivi (zonal manager) akawa ananiuliza wewe na mwili huo mdogo utaweza kazi kweli au tukakufiche, inabidi ukafanye kazi kwa mkurugenzi kulinda nyumba halafu mkurugenzi mwenyewe hakai hapo kwa hiyo ni kulinda nyumba tu.

Kukawa kuna site supervisor mmoja mdada akamwambia afande huyu nipe mimi awe kwenye crew ya patrol, mzee akagoma kabisa ila mdada akakaza. Mwisho nikapewa hicho kitengo cha patrol tukawa kila siku usiku tunazungukia malindo yote. Kumbe yule matron alishanipenda ikawa anaweka mazingira ya kuliwa. Mwisho nikamla kweli na tangu hapo niliishi maisha mazuri kazini kuliko hata mkurugenzi wa kampuni, nikitaka kwenda kazini naenda nisipotaka basi usiku nakeshea mbususu ya matron mpaka alfajiri then naanza kuchochea tena mpaka saa 1 asubuhi. Tukitoka hapo ni simu tu namuombea ruhusa Hassan leo anajisikia kuumwa haji kazini, nawekewa supu na chapati nakula nikimaliza nalala tu.

Umarioo mtamu asikwambie mtu.
🤣🤣🤣 mpumbavu nimekuonea gere
 
Hv ni kampun gan inalipa 300k?? Maana hz kubwa mfano garda, SGA, SUMA JKT naskia znalipa 180-230k.
300 gross utabakia na 250,280 zinacheza humo si haba kama ni bachelor ukapata lindo la kutembea mguu na ukachonga uingie usiku mchana unautumia kupambana.
Pana malindo usiku kumetulia hakuna kazi mnalala kwa timing mnamuweka mmoja gadi getini kwa maana supervisor usiku mnene Wana kawaida ya kuingia kupatrol ukikutwa umelala wanachukua kofia utaifata ofisini kazi hio ukizdi kazi huna.
 
Miaka kadhaa hapo nyuma Katika harakati za kupambana na maisha nimewahi kuajiriwa Katika kampuni kubwa ya ULINZI binafsi hapa nchini Kwa Wakati huo kulikuwa na kampuni kubwa za ulinzi hapa mjini kama nne hivi ambazo zilikuwa zinagombania soko la kulinda maeneo mbalimbali ya jiji ikiwemo mabanki,balozi,ofisi,viwanda na nyumba za matajiri.

Kwa kipindi kile Mimi niliajiriwa upande wa technical ambao mainly tulikuwa tuna-deal na security system ambazo ndani yake kuna masuala ya CCTV kamera,panick button system,intruder system, electrical fence, access control na vinginevyo.

Tuachane na upande wangu wa technical ambao nilikuwa. Leo nataka niongelee upande wa ulinzi (guards) ambao kutokana na experience yangu ndani ya kampuni niliyashuhudia na kuyasikia mengi ya ajabu hususani Mambo yanayohusisha rushwa ya pesa na ngono.

Kwa ujumla kwenye hizi kampuni mtu unapokuja kuomba kazi ya ULINZI Kwa kipindi kile unatuma maombi idara ya mafunzo (training) na kuambatanisha kopi ya vyeti vyako alafu idara itachagua watu na kuwapigia simu kuja kwenye interview na mafunzo.

Katika mchakato Huu kuna mengi hutokea Kwa wale amabo tayari washalengeshwa na kupewa namba za wahusika miamala ya rushwa Huwa inafanyakazi Kwa kipindi hiko,jambo lingine hata kama Unataka kuajiriwa Kwa nafasi ya juu ndani ya kampuni hakikisha hauweki vyeti vyako vya elimu kubwa kwenye maombi Kwa sababu trainer hawataki kudeal na mtu aliyewazidi elimu maranyingi wanaweza kukufanyia figisu kwenye training mpaka ukashindwa kuendelea na mafunzo au kukutafutia sababu ukawa disqualified.kiukweli sehemu hii mabinti wengi hulazimika kutoa rushwa ya ngono Kwa wakufunzi ili apite kwenye mafunzo salama na wakufunzi nao si haba huwaramba sawa sawa mabinti

Mkishamaliza mafunzo mnapatiwa mkataba wa ajira na uniform za kazi na kitambulisho na kuhamishwa kutoka idara ya training na kupelekwa idara ya operations huku ndio kuna kuna balaa la kila Aina maana kuna majungu,fitna,visasi,ujuaji,mapenzi,deals na rushwa.

Ukishakabidhiwa upande wa operations wao huanza Kwa kuwapangia malindo maeneo mbalimbali ya mji .hapa watu wengi hupambana kupata malindo ya sehemu nzuri ikiwemo ofisi za balozi,kiwanda, town kwenye majengo makubwa na maeneo ya Karibu na mtu anapokaa.

Ili kupata Lindo zuri aiza liwe linavi-tip,Karibu na nyumbani au mazingira mazuri na yasiyo na purukushani au mteja mkorofi basi inabidi uishi vizuri na site commander na sector sagent wa Hilo eneo hivyo sector sagent na site commander nae hutaka chochote kitu kama we ni me,basi akikuweka kwenye lindo hilo la maana na linalipa basi mwisho wa mwezi Inabidi umkatie chochote kitu au kama ni jinsia ke basi hapo ni kumpa penzi Tu ili akuweke kwenye lindo la sivyo utakaa stand by mpka basi na kuwa kama releaver kazi yako kuziba magap ya watu ambao nilikuwa wapo off au likizo kitu ambacho Huwa kinatesa sana maana unakuwa huna post maalum mara Leo hapa kesho kule.

Ukiwa mlinzi Inabidi uishi na mteja vizuri I mean mhusika wa eneo mnalolilinda maana wao wananguvu ya kuzuia wew kutolewa kwenye lindo husika pale inapotokea umefanyiwa figisu figisu na site commander au sector sagent. Mara nyingi kama ukishindwa kwenda sawa na site kamanda au sector sagent au wenzio wamekufanyia figisu au kuna mtu wake sector sagent anataka kumleta Katika Lindo hukufanyia vitimbi mbalimbali ikiwemo kukataa ruhusa zako na hata akikubali hatafuti mtu wa kuziba gap ili usionekane mtoro Kwa site commander.

Mara nyingi wale watu wa Karibu wa sector sagent aidha awe kimada wake,ndugu yake au mshikaji Huwa wasumbufu sana kwenye lindo na sio wafanyaji kazi wengi ni wambea na wanapenda majungu hawapendi shift za night wengi wao wanataka wapangwe shift za mchana na kama akipangwa na supervisor getini basi jioni atayafikisha Kwa sector sagent ili aje kumchimba mkwala supervisor.

Itaendelea ........
Bora kulima au kujifugia wanyama upate hela ya maaana
 
Nakumbuka 2014 nikiwa kijana mdogo tu maisha yakanipiga nikaenda kuomba kazi ya ulinzi, nikapata. Sasa kuna afande mzee mzee hivi (zonal manager) akawa ananiuliza wewe na mwili huo mdogo utaweza kazi kweli au tukakufiche, inabidi ukafanye kazi kwa mkurugenzi kulinda nyumba halafu mkurugenzi mwenyewe hakai hapo kwa hiyo ni kulinda nyumba tu.

Kukawa kuna site supervisor mmoja mdada akamwambia afande huyu nipe mimi awe kwenye crew ya patrol, mzee akagoma kabisa ila mdada akakaza. Mwisho nikapewa hicho kitengo cha patrol tukawa kila siku usiku tunazungukia malindo yote. Kumbe yule matron alishanipenda ikawa anaweka mazingira ya kuliwa. Mwisho nikamla kweli na tangu hapo niliishi maisha mazuri kazini kuliko hata mkurugenzi wa kampuni, nikitaka kwenda kazini naenda nisipotaka basi usiku nakeshea mbususu ya matron mpaka alfajiri then naanza kuchochea tena mpaka saa 1 asubuhi. Tukitoka hapo ni simu tu namuombea ruhusa Hassan leo anajisikia kuumwa haji kazini, nawekewa supu na chapati nakula nikimaliza nalala tu.

Umarioo mtamu asikwambie mtu.
SHIDA WANAKUWA WABAYA WALINZI
 
300 gross utabakia na 250,280 zinacheza humo si haba kama ni bachelor ukapata lindo la kutembea mguu na ukachonga uingie usiku mchana unautumia kupambana.
Pana malindo usiku kumetulia hakuna kazi mnalala kwa timing mnamuweka mmoja gadi getini kwa maana supervisor usiku mnene Wana kawaida ya kuingia kupatrol ukikutwa umelala wanachukua kofia utaifata ofisini kazi hio ukizdi kazi huna.
Thanks.
 
Hizi kazi nahisi Kama uwa ni njia ya wengi hasa wenye elimu zao kufikia ndoto kubwa maana huku upata kile mtaa unataka
 
Ways back miaka ya elf 2 nakumbuka nilikula training moja kali Sana viwanja vya mwamposa kawe jkt wakasome yule Mkenya retired army alitupigisha training hatari utadhani unaajiriwa na Wagner Group kumbe KK security aisee.

Pana siku nilizidiwa nikatoka nduki Cha kufia nini nilipofika home nikikumbuka msoto wa mtaa kesho yake nikawahi kwenda kuomba msamaha nikatoa sababu,wakaniambia awaajiri vichaa toka hapa.

Nikabembeleza sana aisee life msoto wakanikubalia.Nikamaliza training ya wiki mbili.

Wajinga wale mnalishwa wali maharage saa Saba baada ya kula mnaenda kuulipa uwanjani.

Nikapiga kazi mwaka mmoja huku napiga mishe zingine.

Supervisor alinielewa nikawa naingia usiku tu asubuhi naulamba kutembeza kaki maofisini jioni naingia Lindon, home narudi weekend.

Hakika safari ya maisha ni simulizi tosha.

Pana siku likapigwa Dili la kuingiza wezi waibe mafuta Depot za matenk ya mafuta kurasini.

Kazi ikapigwa tukapewa pesa mbuzi wajinga wanazijua koki zote kulingana na aina ya mafuta dizeli, petrol,taa.
Kumbe security manager nyuma ya geti Kuna nyumba ya Mzee mmoja informer wao akamnyoshea mchezo wote mzima asubuhi tukaitwa tukawekwa mtu kati.

"Niambieni ukwel au muende jela ikabidi tufunguke ni kweli mchezo tunaijua ikaripotiwa ofisin kwetu,wakatufukuza kazi.

Nikashukuru maana jela miaka 7 walitusaidia sana.

Baada ya kazi kuisha nikazama BOT kuendesha crane za ukutani za kupandisha mafundi juu enzi zile za ujenzi wa majengo pacha ya BOT, Nikiwa kwenye mchakato wa kuchukua Hela yangu nssf nifanye nauli ya kuchomoka south Africa.Nikapata kazi panono bongo safari ya South ikafa.
Mlinzi mwenzangu niliyekuwa nae tukilinda akapata kazi panono tukaja kutana nae CBE tukapiga bachelor siku hizi anaporomosha vituo vya mafuta tu.

Maisha ni safari kutoka kulinda hadi Leo nalala nimelindwa.

Usikate tamaa,usichague kazi.
Ha ha ha ha kk ni kampuni nzuri shida ni wapigwa viyoyozi ndo miyeyusho.
 
Back
Top Bottom