Niliyoyaona kwenye kampuni za ulinzi

Niliyoyaona kwenye kampuni za ulinzi

Nakumbuka nililinda hotel Fulani kubwa city center wale wahindi sijui wamiliki sijui ni management ni wapumbavu sana eti kila mteja akiingia au kutoka getini ukimfungulia mlango ni lazima umpigie salute ukizingatia una elimu yako na usomi wako unampigia salute mtu kisa yupo kwenye vits katoka kula hotelini.
Maisha mapito maisha ni kitabu
 
Nakumbuka 2014 nikiwa kijana mdogo tu maisha yakanipiga nikaenda kuomba kazi ya ulinzi, nikapata. Sasa kuna afande mzee mzee hivi (zonal manager) akawa ananiuliza wewe na mwili huo mdogo utaweza kazi kweli au tukakufiche, inabidi ukafanye kazi kwa mkurugenzi kulinda nyumba halafu mkurugenzi mwenyewe hakai hapo kwa hiyo ni kulinda nyumba tu.

Kukawa kuna site supervisor mmoja mdada akamwambia afande huyu nipe mimi awe kwenye crew ya patrol, mzee akagoma kabisa ila mdada akakaza. Mwisho nikapewa hicho kitengo cha patrol tukawa kila siku usiku tunazungukia malindo yote. Kumbe yule matron alishanipenda ikawa anaweka mazingira ya kuliwa. Mwisho nikamla kweli na tangu hapo niliishi maisha mazuri kazini kuliko hata mkurugenzi wa kampuni, nikitaka kwenda kazini naenda nisipotaka basi usiku nakeshea mbususu ya matron mpaka alfajiri then naanza kuchochea tena mpaka saa 1 asubuhi. Tukitoka hapo ni simu tu namuombea ruhusa Hassan leo anajisikia kuumwa haji kazini, nawekewa supu na chapati nakula nikimaliza nalala tu.

Umarioo mtamu asikwambie mtu.
Matron alikuficha kimkakati 😂😂
 
Watu wanaolala ni kitengo cha fire wao wakishapaki magari Yao wanasubiria tu call ya wapi Pana moto wakzime.
Lakini guard ukikutwa umelala unakatwa salary Kama ni mtu wa kulala lala utaambulia buku tu mwisho wa mwezi.
Pana kampuni Fulani waliwawekea king'amuzi magadi wao ili kuwazuia kulala inatakiwa kila baada ya dakika 15 unaponyeza batani uliyovaa inasoma control room kwamba upo macho.
Huna ujanja.
 
Usiku Pana madili mengi sana ya hatari Pana siku tumefacilitate mzigo wa madumu 40 ya mafuta ya kula wafanyakzi wa production walipiga kiwandani saa Tisa usiku wakapakia gari ya kampuni wakatuuza kwamba wanaleta mgao asubuhi kufika asubuhi wanatuletea kiswahili ooho mzigo wote wazee wa doria wametufukizia wameondoka nao.
Hatujui Kama tulipigwa au kweli
 
Hakuna sekta ambayo watu hawakulani hapa Bongo, iwe dini, siasa, elimu, ulinzi, afya na popote pengine.
As long as we are Black Africans we shall not separated with such kind of attributes + behaviors.
Sikupingi kwenye hili na mkulano makazini huambatana na uzembe.Wivu, majungu, uvivu na kuchomeana
 
Nakumbuka nililinda hotel Fulani kubwa city center wale wahindi sijui wamiliki sijui ni management ni wapumbavu sana eti kila mteja akiingia au kutoka getini ukimfungulia mlango ni lazima umpigie salute ukizingatia una elimu yako na usomi wako unampigia salute mtu kisa yupo kwenye vits katoka kula hotelini.
Maisha mapito maisha ni kitabu
Anhaaa pole sana .
Walinzi ukitaka ukosane nao waite walinzi wao upenda kuitwa askari , afande na mkuu sasa kupiga salute si kazi yao [emoji3][emoji3]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka 2014 nikiwa kijana mdogo tu maisha yakanipiga nikaenda kuomba kazi ya ulinzi, nikapata. Sasa kuna afande mzee mzee hivi (zonal manager) akawa ananiuliza wewe na mwili huo mdogo utaweza kazi kweli au tukakufiche, inabidi ukafanye kazi kwa mkurugenzi kulinda nyumba halafu mkurugenzi mwenyewe hakai hapo kwa hiyo ni kulinda nyumba tu.

Kukawa kuna site supervisor mmoja mdada akamwambia afande huyu nipe mimi awe kwenye crew ya patrol, mzee akagoma kabisa ila mdada akakaza. Mwisho nikapewa hicho kitengo cha patrol tukawa kila siku usiku tunazungukia malindo yote. Kumbe yule matron alishanipenda ikawa anaweka mazingira ya kuliwa. Mwisho nikamla kweli na tangu hapo niliishi maisha mazuri kazini kuliko hata mkurugenzi wa kampuni, nikitaka kwenda kazini naenda nisipotaka basi usiku nakeshea mbususu ya matron mpaka alfajiri then naanza kuchochea tena mpaka saa 1 asubuhi. Tukitoka hapo ni simu tu namuombea ruhusa Hassan leo anajisikia kuumwa haji kazini, nawekewa supu na chapati nakula nikimaliza nalala tu.

Umarioo mtamu asikwambie mtu.
Nikimaliza kusoma naenda kuomba kazi ya ulinzi
 
Ways back miaka ya elf 2 nakumbuka nilikula training moja kali Sana viwanja vya mwamposa kawe jkt wakasome yule Mkenya retired army alitupigisha training hatari utadhani unaajiriwa na Wagner Group kumbe KK security aisee.

Pana siku nilizidiwa nikatoka nduki Cha kufia nini nilipofika home nikikumbuka msoto wa mtaa kesho yake nikawahi kwenda kuomba msamaha nikatoa sababu,wakaniambia awaajiri vichaa toka hapa.

Nikabembeleza sana aisee life msoto wakanikubalia.Nikamaliza training ya wiki mbili.

Wajinga wale mnalishwa wali maharage saa Saba baada ya kula mnaenda kuulipa uwanjani.

Nikapiga kazi mwaka mmoja huku napiga mishe zingine.

Supervisor alinielewa nikawa naingia usiku tu asubuhi naulamba kutembeza kaki maofisini jioni naingia Lindon, home narudi weekend.

Hakika safari ya maisha ni simulizi tosha.

Pana siku likapigwa Dili la kuingiza wezi waibe mafuta Depot za matenk ya mafuta kurasini.

Kazi ikapigwa tukapewa pesa mbuzi wajinga wanazijua koki zote kulingana na aina ya mafuta dizeli, petrol,taa.
Kumbe security manager nyuma ya geti Kuna nyumba ya Mzee mmoja informer wao akamnyoshea mchezo wote mzima asubuhi tukaitwa tukawekwa mtu kati.

"Niambieni ukwel au muende jela ikabidi tufunguke ni kweli mchezo tunaijua ikaripotiwa ofisin kwetu,wakatufukuza kazi.

Nikashukuru maana jela miaka 7 walitusaidia sana.

Baada ya kazi kuisha nikazama BOT kuendesha crane za ukutani za kupandisha mafundi juu enzi zile za ujenzi wa majengo pacha ya BOT, Nikiwa kwenye mchakato wa kuchukua Hela yangu nssf nifanye nauli ya kuchomoka south Africa.Nikapata kazi panono bongo.
Mlinzi mwenzangu niliyekuwa nae tukilinda akapata kazi panono tukaja kutana nae CBE tukapiga bachelor siku hizi anaporomosha vituo vya mafuta tu.

Maisha ni safari kutoka kulinda hadi Leo nalala nimelindwa.

Usikate tamaa,usichague kazi.
"""Supervisor alinielewa nikawa naingia usiku tu asubuhi naulamba kutembeza kaki maofisini jioni naingia Lindon, home narudi weekend.""". Ulikua unalala mda gani mkuu
 
Ways back miaka ya elf 2 nakumbuka nilikula training moja kali Sana viwanja vya mwamposa kawe jkt wakasome yule Mkenya retired army alitupigisha training hatari utadhani unaajiriwa na Wagner Group kumbe KK security aisee.

Pana siku nilizidiwa nikatoka nduki Cha kufia nini nilipofika home nikikumbuka msoto wa mtaa kesho yake nikawahi kwenda kuomba msamaha nikatoa sababu,wakaniambia awaajiri vichaa toka hapa.

Nikabembeleza sana aisee life msoto wakanikubalia.Nikamaliza training ya wiki mbili.

Wajinga wale mnalishwa wali maharage saa Saba baada ya kula mnaenda kuulipa uwanjani.

Nikapiga kazi mwaka mmoja huku napiga mishe zingine.

Supervisor alinielewa nikawa naingia usiku tu asubuhi naulamba kutembeza kaki maofisini jioni naingia Lindon, home narudi weekend.

Hakika safari ya maisha ni simulizi tosha.

Pana siku likapigwa Dili la kuingiza wezi waibe mafuta Depot za matenk ya mafuta kurasini.

Kazi ikapigwa tukapewa pesa mbuzi wajinga wanazijua koki zote kulingana na aina ya mafuta dizeli, petrol,taa.
Kumbe security manager nyuma ya geti Kuna nyumba ya Mzee mmoja informer wao akamnyoshea mchezo wote mzima asubuhi tukaitwa tukawekwa mtu kati.

"Niambieni ukwel au muende jela ikabidi tufunguke ni kweli mchezo tunaijua ikaripotiwa ofisin kwetu,wakatufukuza kazi.

Nikashukuru maana jela miaka 7 walitusaidia sana.

Baada ya kazi kuisha nikazama BOT kuendesha crane za ukutani za kupandisha mafundi juu enzi zile za ujenzi wa majengo pacha ya BOT, Nikiwa kwenye mchakato wa kuchukua Hela yangu nssf nifanye nauli ya kuchomoka south Africa.Nikapata kazi panono bongo.
Mlinzi mwenzangu niliyekuwa nae tukilinda akapata kazi panono tukaja kutana nae CBE tukapiga bachelor siku hizi anaporomosha vituo vya mafuta tu.

Maisha ni safari kutoka kulinda hadi Leo nalala nimelindwa.

Usikate tamaa,usichague kazi.
"""Wajinga wale mnalishwa wali maharage saa Saba baada ya kula mnaenda kuulipa uwanjani."""
🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓 Nimecheka sana
Unalipa vipi huo wali marage mkuu
 
Sijui siku hizi enzi hizo usiku wazee wa madili hawalali.
Wizi wa magodown ulifanyika usiku kwa msaada wa walinzi.
Plus wazee wa doria.
Enzi hizo palikuwa na wizi wa mawasiliano ya simu.
Anakuja usiku mtaalamu anaingia kwenye control box ya TTCL anawaconnectia wahindi mjini wanapiga international call usiku kucha bill ikija inasoma kwenye kampuni au kiwanda husika.
""""Enzi hizo palikuwa na wizi wa mawasiliano ya simu.
Anakuja usiku mtaalamu anaingia kwenye control box ya TTCL anawaconnectia wahindi mjini wanapiga international call usiku kucha bill ikija inasoma kwenye kampuni au kiwanda husika""""

Mkuu hapa umeniacha kapa yaani ipo vipi
 
Nakumbuka nililinda hotel Fulani kubwa city center wale wahindi sijui wamiliki sijui ni management ni wapumbavu sana eti kila mteja akiingia au kutoka getini ukimfungulia mlango ni lazima umpigie salute ukizingatia una elimu yako na usomi wako unampigia salute mtu kisa yupo kwenye vits katoka kula hotelini.
Maisha mapito maisha ni kitabu
🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌
Pole sana mkuu..
Kuna siku na wewe utapigiwa saloot
 
Kazi za ulinzi zinaokoa sana Kama hujapata ramani mjini umegraduate tafuta hizi kampuni kubwa ukipata laki 3 si haba.
Itakusaidia kulipa Kodi,nauli ya kutembeza bahasha mjini,kula nk.
Kozi unakaa kwa mda gani mkuu
 
Watu wanaolala ni kitengo chacfirw wao wakishapaki magari Yao wanasubiria tu call ya wapi Pana moto wakzime.
Lakini guard ukikutwa umelala unakatwa salary Kama ni mtu wa kulala lala utaambulia buku tu mwisho wa mwezi.
Pana kampuni Fulani waliwawekea king'amuzi magadi wao ili kuwazuia kulala inatakiwa kila baada ya dakika 15 unaponyeza batani uliyovaa inasoma control room kwamba upo macho.
Huna ujanja.
Kampuni gani hizo nikajiunge kama tech mana nina ujuzi wa IT security
 
Kozi unakaa kwa mda gani mkuu
CV form 4,jkt, lugha.training Kama wiki 2 au mwezi hivi unakula mshahara.
Ingia hizi kubwa achana na hizi za kibongo zinazokopa walinzi mshahara yaani mshahara wa mwezi huu unapewa baada ya siku 40 au mwezi ujao na unapewa nusu ili usiache Kaz.
Hizi zinazolipa shilingi elf 4 kwa masaa 12 kwa siku 30
 
Back
Top Bottom