Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka liwe jeneza, wakati mwenyewe kasema kaburi ahahahaKaburi ama jeneza
Ninayo mimi,njoo PMPicha?
NamsahihishaWewe unataka liwe jeneza, wakati mwenyewe kasema kaburi ahahaha
Wahindi wamefanyaje?!Mafundi tunapitia mengi mkuu...
Mi kipindi flani nachimba shimo la choo tulikuta skeleton za watu kabisa kama saba hivi...
Nikawaambia waache kwanza nikaenda kuongea na mwenyewe tukafanya mpango wa kuamisha tuu ila ilikua ni hatari..
Yapo mengi tunapitia kwa wahindi kule ndo usiseme mkuu
Electrical... Unacheka tuu acheni kuwapa watu kazi za ajabuhahahaaha
Kaburi huwa linachimbwa ardhini. Wewe umeona kaburi gani darini man? Mbona maajabu hayaWakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.
Itakuwa umeenda kufanya kazi ahera.Wakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.