Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Godfrey-K

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2016
Posts
1,925
Reaction score
3,672
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
 
Nakuunga mkono ilikuwa ni balaa kuna sehemu Magufuli alishinda ndio kwa mfano amepata kula 100 hapo inaongezwa sifuri afisa elimu msaidizi wilaya ya Kaliua unajua ulichokifanya Mungu anawaona kwa kweli
 
Sawa siku nikikuhitaji tafadhali usituangushe.
Na hii ni kwa wale wote wanaodhani wana weza kuthibitisha, tafadhali muwe tayari.
Acha kumtia hofu kijana. Kiukweli binafsi nilitaka Magu ashinde Urais ili akamilishe miradi ya Sgr, stiglers gorge na ikulu ya chamwino lakini siyo kwa staili ya wizi wa kura mpaka za wabunge uliofanyika. Wezi wa kura woote malipo yenu ni hapa hapa duniani hakuna hata haja ya kwenda mahakamani. Mungu wetu wa Abrahamu na Isaka atajibu maombi yetu kabla hata ya miaka 5 kuisha wote walishiriki kuiba kura watakuwa wameshaadhibiwa hata kama ni afisa elimu. Machozi yetu hasa kwenye kura za wabunge hayatamwagika bure. Rais muacheni
 
Acha kumtia hofu kijana. Kiukweli binafsi nilitaka Magu ashinde urais ili akamilishe miradi ya Sgr, stiglers gorge na ikulu ya chamwino lakini siyo kwa staili ya wizi wa kura mpaka za wabunge uliofanyika. Wezi wa kura woote malipo yenu ni hapa hapa duniani hakuna hata haja ya kwenda mahakamani. Mungu wetu wa Abrahamu na Isaka atajibu maombi yetu kabla hata ya miaka 5 kuisha wote walishiriki kuiba kura watakuwa wameshaadhibiwa hata kama ni afisa elimu. Machozi yetu hasa kwenye kura za wabunge hayatamwagika bure. Raisi muacheni
Kuna watu hamjui kusoma nyakati! Anguko la Magufuli kupitia uchaguzi huu liko wazi sana! Mungu amemfunua wazi kabisa uwovu wake, hila na dhuruma! Sasa unataka Afanye nini tena cha ziada?

Ujinga, woga, umaskini (fikra, Mawazo) ndo kitanzi chetu, sasa walio tuongoza ktk mapambano wanaikimbia nchi!

Na ukitaka tusubiri Mungu ashuke kwa style yako bila jitihada za Watanzania kuiponya nchi, tutajikuta level ya Zimbabwe ama mbali zaidi!
 
Back
Top Bottom