Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Ni tabia ya walioshindwa kujenga conspiracy theories; hata Trump ameshindwa uchaguzi wakati akiwa rais, naye anatoa theories kama hizi. Ni jambo la kawaida sana kwa walioshindwa kudai wameibiwa kura. Kama uliyaona kwa nini usipeleke uashahidi mahakamani? Angalu Trump amekuwa anakwenda mahakani ambako anakutana na vigingi, tena wakati mwingine kutoka kwa majaji aliowateua yeye mwenyewe.
Huyu aliyeleta mada alikuwa ni msimamizi wa uchaguzi, anaongea alichokishuhudia. Wewe unaongea dhana!

Kama unaamini bila chembe ya shaka kuwa Maalim Seif alipata kura below 20%, basi ukapimwe akili
 
Huyu aliyeleta mada alikuwa ni msimamizi wa uchaguzi, anaongea alichokishuhudia. Wewe unaongea dhana!

Kama unaamini bila chembe ya shaka kuwa Maalim Seif alipata kura below 20%,basi ukapimwe akili
Uchaguzi umekwisha, ataje jina la kituo na jina lake itasaidia tuwe makini tusiibiwe demokrasia uchaguzi wa 2025.
 
Huyu aliyeleta mada alikuwa ni msimamizi wa uchaguzi, anaongea alichokishuhudia. Wewe unaongea dhana!

Kama unaamini bila chembe ya shaka kuwa Maalim Seif alipata kura below 20%,basi ukapimwe akili
Siamini kuwa kweli alikuwa msimamizi bali namuona kama conspiracist fulani anayejaribu kupose kama mtu aliyekuwa msimamizi! Hajatoa proof yoyote ya kunifanya niamini kama kweli alikuwa msimamizi hasa kwa vile anarudia yale yale ya conspiracy theories zilizoko mitaani leo. Hajui electroral politics na anadhani kuwa uchaguzi ni kupiga kelele majukwaani kuomba kura bila kuelewa kuwa huwa kuna grasroot activtities zinazoendelea baada ya mgombea kusimama jukwaani ili kumobilize wapiga kura.

Ni ndoto ya kipuuzi sana kuamini kuwa CHADEMA isiyokuwa na matawi ingeweza kuendesha grasroot electoral politics hadi wapate kura nyingi kiasi cha kushinda urais. Mnyika na Mbowe ndio walioiua CHADEMA ingawa ni vigumu kukubali ukweli huo; wana akili ndogo sana ya kudhani kuwa politics ni maandamanao na mikutano ya hadhara tu. Leo hii Biden kashinda uchaguzi bila kufanya mikutano ya hadhara ingawa Trump alikuwa anaitisha mikutano ya aina hiyo sita au saba kwa siku. Dr Slaa alipokosa urais mwaka 2010 alianza kujenga grasroots za CHADEMA ambazo zilisaidia sana CHADEMA kupata kura nyingi sana mwaka 2015 lakini leo hii hakuna kitu kilichobaki.

Mkosaji yeyote hupenda kupata faraja kwa kutafuta sababu za kukosa
 
Kuna mtu alisimamia jimbo. Alinambia kuwa waliletewa karatasi za matokeo toka juu yakiwa na kura/matokeo tayari. Jumla yake kwa majimbi yote ndio ile aliyosema TL pale Kawe 27 Okt 2020 kuwa Magufuli angepata mil 12. Na kweli ikaja mil 12.5. Unaweza kufikiri TL ni mnajimu. La hasha! Alipata habari toka humo humo ndani.
 
Ignored!
Siamini kuwa kweli alikuwa msimamizi bali namuona kama conspiracist fulani anayejaribu kupose kama mtu aliyekuwa msimamizi! Hajatoa proof yoyote ya kunifanya niamini kama kweli alikuwa msimamizi hasa kwa vile anarudia yale yale ya conspiracy theories zilizoko mitaani leo. Hajui electroral politics na anadhani kuwa uchaguzi ni kupiga kelele majukwaani kuomba kura bila kuelewa kuwa huwa kuna grasroot activtities zinazoendelea baada ya mgombea kusimama jukwaani ili kumobilize wapiga kura.

Ni ndoto ya kipuuzi sana kuamini kuwa CHADEMA isiyokuwa na matawi ingeweza kuendesha grasroot electoral politics hadi wapate kura nyingi kiasi cha kushinda urais. Mnyika na Mbowe ndio walioiua CHADEMA ingawa ni vigumu kukubali ukweli huo; wana akili ndogo sana ya kudhani kuwa politics ni maandamanao na mikutano ya hadhara tu. Leo hii Biden kashinda uchaguzi bila kufanya mikutano ya hadhara ingawa Trump alikuwa anaitisha mikutano ya aina hiyo sita au saba kwa siku. Dr Slaa alipokosa urais mwaka 2010 alianza kujenga grasroots za CHADEMA ambazo zilisaidia sana CHADEMA kupata kura nyingi sana mwaka 2015 lakini leo hii hakuna kitu kilichobaki.

Mkosaji yeyote hupenda kupata faraja kwa kutafuta sababu za kukosa
 
Uchaguzi umekwisha,ataje jina la kituo na jina lake itasaidia tuwe makini tusiibiwe demokrasia uchaguzi wa 2025.
It doesn't matter ukishaanza kula nyama za watu utaendelea tu.

CCM wameshakataliwa na umma sasa hivi wanategemea mtutu wa bunduki, na hawatoacha mpaka itokee nguvu inayoshabihiana na hiyo wanayoitegemea iwazuie!

Just Imagine eti Maalim Seif hakuongoza katika jimbo lolote la uchaguzi huko Zanzibar. Huu ni uhuni mtupu
 
Siamini kuwa kweli alikuwa msimamizi bali namuona kama conspiracist fulani anayejaribu kupose kama mtu aliyekuwa msimamizi! Hajatoa proof yoyote ya kunifanya niamini kama kweli alikuwa msimamizi hasa kwa vile anarudia yale yale ya conspiracy theories zilizoko mitaani leo. Hajui electroral politics na anadhani kuwa uchaguzi ni kupiga kelele majukwaani kuomba kura bila kuelewa kuwa huwa kuna grasroot activtities zinazoendelea baada ya mgombea kusimama jukwaani ili kumobilize wapiga kura.

Ni ndoto ya kipuuzi sana kuamini kuwa CHADEMA isiyokuwa na matawi ingeweza kuendesha grasroot electoral politics hadi wapate kura nyingi kiasi cha kushinda urais. Mnyika na Mbowe ndio walioiua CHADEMA ingawa ni vigumu kukubali ukweli huo; wana akili ndogo sana ya kudhani kuwa politics ni maandamanao na mikutano ya hadhara tu. Leo hii Biden kashinda uchaguzi bila kufanya mikutano ya hadhara ingawa Trump alikuwa anaitisha mikutano ya aina hiyo sita au saba kwa siku. Dr Slaa alipokosa urais mwaka 2010 alianza kujenga grasroots za CHADEMA ambazo zilisaidia sana CHADEMA kupata kura nyingi sana mwaka 2015 lakini leo hii hakuna kitu kilichobaki.

Mkosaji yeyote hupenda kupata faraja kwa kutafuta sababu za kukosa

Unaamini kwa dhati kabisa kuwa Maalim Seif alipata kura below 20% huko Zanzibar na kwamba by all standards matokeo hayo ni sahihi?
 
Unaamini kwa dhati kabisa kuwa Maalim Seif alipata kura below 20% huko Zanzibar na kwamba by all standards matokeo hayo ni sahihi ?
Ndiyo, kwa sababu wapiga kura wengi leo siyo wale wa rika lake la miaka 1980 hadi 1990, hawa ni wa 2020 na wala hajui ana rekodi gani ya kuwafanya wampe kura zao.
 
Ndiyo, kwa sababu wapiga kura wengi leo siyo wale wa rika lake la miaka 1980 hadi 1990, hawa ni wa 2020 na wala hajui ana rekodi gani ya kuwafanya wampe kura zao.
Nonsense!

Uchaguzi wa mwaka 2015 huko Zanzibar ambao CCM walibeba mpira wakakimbia nao baada ya kupigwa dhahiri walikuwa kizazi chake?, Hao watu wa mwaka 2015 wamekufa wote hadi wakabaki 20% tu miaka mitano baadae?

Mzee nakuheshimu, naamini una akili kuliko nonsense unazojaribu kuzispit hapa for the sake of arguing!
 
Nonsense!

Uchaguzi wa mwaka 2015 huko Zanzibar ambao CCM walibeba mpira wakakimbia nao baada ya kupigwa dhahiri walikuwa kizazi chake?, Hao watu wa mwaka 2015 wamekufa wote hadi wakabaki 20% tu miaka mitano baadae?

Mzee nakuheshimu, naamini una akili kuliko nonsense unazojaribu kuzispit hapa for the sake of arguing!
Crap!

Mwaka 2015 hakuna ushahidi wowote wa kuwa waliibiwa kura hasa ukizingatia kuwa Hamad mwenyewe alikuwa makamo wa Rais wakati huo. Tatizo lilianza pale Shein alipomnyima umakamo baada ya Uchaguzi wa mwaka 2015. Hata kwenye uchaguzi huu iwapo Hamad angeahidiwa cheo, bado angekubaliana na matokeo yote.
 
Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Hivi mnamtisha nani hapa? kwani nani hajui kama uchaguzi mmeiba... halafu mmeiba kijinga kabisa hakuna asieona. Hebu chutameni kidogo jamani mko uchi vibayaa. mbali ya kuwa nyeti zenu ziko nje lakini pia zimejaa kinyesi na uwezeo kujisafisha hamna tena na hamtaweza tena CCM kujisafisha abadan! Majizi wakubwa nye!
 
Ni tabia ya walioshindwa kujenga conspiracy theories; hata Trump ameshindwa uchaguzi wakati akiwa rais, naye anatoa theories kama hizi. Ni jambo la kawaida sana kwa walioshindwa kudai wameibiwa kura. Kama uliyaona kwa nini usipeleke uashahidi mahakamani? Angalu Trump amekuwa anakwenda mahakani ambako anakutana na vigingi, tena wakati mwingine kutoka kwa majaji aliowateua yeye mwenyewe.
Unafahamu kuwa matokeo ya urais yakishatangazwa na tume huwa hayahojiwi na yeyote hata uende mahakamani?. Ulitaka aende mahakama ipi?
 
unafahamu kuwa matokeo ya urais yakishatangazwa na tume huwa hayahojiwi na yeyote hata uende mahakamani?. Ulitaka aende mahakama ipi?
Soma hapa

 
Ina maana tunapaswa kuamini kila kitu kinachosemwa na mtu? Ukute hata hakuwa msaidizi wa uchaguzi kakaa zake huko kaamua kufungua uzi. Ushahidi ni muhimu kama kweli mnataka wananchi wenye akili zao kuamini na kuwaunga mkono.
Asante sana kwa kutoa angalizo.
 
Ndiyo; yanaweza kuhojiwa kabla tume haijamtangaza. Siyo sheria nzuri lakini ndivyo ilivyo. Sheria inakataza kuwa akishatangazwa na tume basi hakuna mahakama inayoweza kuyatengua, ila mahakama bado ina mamlaka ya kutengua matokeo hayo kabla tuume haijayatangaza. Ndiyo maana wasimamizi wa uchaguzi huko majimboni walikuwa wanatangaza matokeo ya rais na ya wabunge, kama mtu hakukubaliana na matokeo ya uchaguzi wa Rais kama yalivyotangazwa na msimamizi wa uchaguzi, basi anaruhusiwa kuyapinga mara moja mahakamani kabla tume haijayathibitisha. na kwa kawaida kukisha nkuwa na shauri mahakani basi tume haiwezi kuoverule na kutangaza matokeo ya rais. Mwanasheria bingwa Lissu alitakiwa ajue hilo; angeweza kuweka pingamizi wa matokeo ya jimbo moja tu na hivyo kuzuia matokeo yote ya uchaguzi wa rais yasitangazwe na tume hadi shauri hilo liamuriwe na mahakama. Ulalamishi ndio mweingi kwenye jamii yetu hii.

Ni kweli usemacho kuhusu sheria, tuje kwenye uhalisia. Kwa tume na mahakama hizi biased ulitegemea lolote la maana? Kama mawakala wengi walinyimwa fomu za matokeo, ulitegemea kuna lolote la maana lingefanyika?
 
Back
Top Bottom