Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Crap!

Mwaka 2015 hakuna ushahidi wowote wa kuwa waliibiwa kura hasa ukizingatia kuwa Hamad mwenyewe alikuwa makamo wa Rais wakati huo. Tatizo lilianza pale Shein alipomnyima umakamo baada ya Uchaguzi wa mwaka 2015. Hata kwenye uchaguzi huu iwapo Hamad angeahidiwa cheo, bado angekubaliana na matokeo yote.
Una kichuguu wewe na haujielewi.
 
Mpuuze huyo mzee, anadai bila aibu eti Hussein Mwinyi alimshinda Maalim Kihalali kabisa kwa Hussein Mwinyi kupata kura 76% huku Maalim akiambuia 19%

Halafu anaamini eti Maalim hakushinda 2015 kitu kilichowalazimisha CCM kufanya rafu ya kuufuta uchaguzi huo. Anadai hakuna ushahidi, wakati ushahidi ni nyaraka za matokeo za mawakala wa kila chama waliosimamia huo uchaguzi katika kila kituo. Ukijumlisha kura zote za Maalim na Shein, Shein alichapwa waziwazi, Kuona hivyo wakaamua kuufuta uchaguzi!

Huyu mzee anaamini eti kwa kuwa Maalim ni mzee basi eti wapiga kura wanaomjua ni kizazi cha Zamani cha watu wazima wa 1980's na 1990's siyo hiki cha cha leo, Anajitoa akili kwa kukataa ukweli kuwa Maalim ni nguzo ya kisiasa ya Zanzibar siku zote kiasi kwamba si tu kwamba Hussein Mwinyi hawezi kumshinda kwenye sanduku la kura, Bali ni ndoto za mchana kumshinda kwa gepu la 57%!!

Watu wenye akili wakiamua kutetea ujinga wakati wanajua ni ujinga dawa yao ni kuwapuuza tu!

Umemaliza kila kitu!
 
Yanawatisha nyie,sisi wengine tunayaona ya kawaida sana kwa Africa.Ikitokea Africa haki ikawa inatekelezwa mimi binafsi nitakimbilia kanisani maana itakuwa huenda Bwana wa Bwana yuaja.
 
We umejuaje kuwa ni conspiracy theory na si ukweli?
 
Kama wezi wanataka kuwaua unataka wafanyeje?
Yule kinara wa uvccm aliposema safari hii lzm wamuue hata kwa sumu hukusikia?
We unafanya utani! Nchi gani unayo ifahamu wewe imefanya mapinduzi bila ya umwagaji damu?
Ni lazima tukubali kufa ili Taifa lipone na vizazi vyetu vijavyo viishi huru.
 
Ni tabia ya walioshindwa kujenga conspiracy theories; hata Trump ameshindwa uchaguzi wakati akiwa rais, naye anatoa theories kama hizi. Ni jambo la kawaida sana kwa walioshindwa kudai wameibiwa kura. Kama uliyaona kwa nini usipeleke uashahidi mahakamani? Angalu Trump amekuwa anakwenda mahakani ambako anakutana na vigingi, tena wakati mwingine kutoka kwa majaji aliowateua yeye mwenyewe.
Ujue nini ndugu yangu? Huu uchaguzi tumekosea kitu kimoja kikubwa sana. Hatukutakiwa kuwaruhusu wa-Tanzania wote wapigaekura, tulitakiwa kuwaachia watu wa Jukwaa la Jamiiforums tu wapige kura wao peke yao kwa sababu hawa ndiyo wawakilishi pekee na halisi wa mawazo ya wa-Tanzania wote, na ndiyo wenye haki ya kuamua ni kiongozi gani anafaa kuongoza nchi hii, ambaye huwa wanakuwa wamemteua hata kabla ya kura hazijapigwa.,

Ila inabidi waelewe kuwa Nchi hii haitatokea hata siku moja, ikatawaliwa na mtu aliye na links za mambo ya kijinga ya ushoga, milele naamuru kwa mamlaka niliyonayo katika jina la Yesu Kristo aliye hai
 
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Endelea kujifariji. Kwa akili za kawaida tu Lissu aliyekuwa akitibiwa tangu Septemba 2017 asingeweza kumshinda Magufuli ambaye safari zake za mbali ni kwenda South Africa na Ethiopia.

Haipo namna yoyote ya Lissu kuweza kumshinda JPM na hizo kura milioni moja alizopata ni nyingi sana kulinganisha na muda ambao amekuwa akitibiwa.
 
Crap!

Mwaka 2015 hakuna ushahidi wowote wa kuwa waliibiwa kura hasa ukizingatia kuwa Hamad mwenyewe alikuwa makamo wa Rais wakati huo. Tatizo lilianza pale Shein alipomnyima umakamo baada ya Uchaguzi wa mwaka 2015. Hata kwenye uchaguzi huu iwapo Hamad angeahidiwa cheo, bado angekubaliana na matokeo yote.
Mzee vipi hivi huko kwa Trump kweli mambo yameendaje? Mimi kabisa niko ulimwengu wa nne
 
We unafanya utani! Nchi gani unayo ifahamu wewe imefanya mapinduzi bila ya umwagaji damu?
Ni lazima tukubali kufa ili Taifa lipone na vizazi vyetu vijavyo viishi huru.
Wewe upo upande wa wananchi au CCM?
 
Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Halafu iwe nini? Watu wanaeleza walichokiona kwa experience yao, kama unajikuta TISS kafatilie lile begi la kura Boss.
 
Back
Top Bottom