Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Mi naamini mpaka kesho huyu jamaa hata 2015 hakushinda ila meza iligeuzwa kibabe kura zake akapewa mamvi na za mamvi kapewa yeye....Kuna watu hamjui kusoma nyakati! Anguko la Magufuli kupitia uchaguzi huu liko wazi sana! Mungu amemfunua wazi kabisa uwovu wake, hila na dhuruma! Sasa unataka Afanye nini tena cha ziada?
Ujinga, woga, umaskini (fikra, Mawazo) ndo kitanzi chetu, sasa walio tuongoza ktk mapambano wanaikimbia nchi!
Na ukitaka tusubiri Mungu ashuke kwa style yako bila jitihada za Watanzania kuiponya nchi, tutajikuta level ya Zimbabwe ama mbali zaidi!
Ndio maana wasimamizi wa uchaguzi hula viapo vya kutunza siri. Naona hizo ndio siri zenyewe za kutunza.Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Kama walikata tamaa kudai haki zao, basi walikubaliana na matokeo; kwa hiyo wasilalamike tena wakati walishakata tamaa wenyeweNi kweli usemacho kuhusu sheria, tuje kwenye uhalisia. Kwa tume na mahakama hizi biased ulitegemea lolote la maana? Kama mawakala wengi walinyimwa fomu za matokeo, ulitegemea kuna lolote la maana lingefanyika?
Usithubutu ndugu yangu. Hawa watu watakuuaNipo tayari, ila kiukweli msiniue tu.
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Kama walikata tamaa kudai haki zao, basi walikubaliana na matokeo; kwa hiyo wasilalamike tena wakati walishakata tamaa wenyewe
Hapa tunataka kuongea mambo ya ukweli; tusitumie muda wetu vibaya kwa kueneza conspiracy theories. Je wewe unafidika na nini hizo conspiracy theories?.Unapungukiwa nini wakilalamika? Mifumo yote inamtukuza na kumsujudia rais, kisha utegemee shitaka lako dhidi yake kufanyiwa kazi?
Hapa tunataka kuongea mambo ya ukweli; tusitumie muda wetu vibaya kwa kueneza conspiracy theories. Je wewe unafidika na nini hizo conspiracy theories?.
Ili mumle kichwa?Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Uchaguzi umeisha warudishe mtandao pumbaffuUchaguzi umeisha wewe hujasikia? Leo ukitueleza upuuzi wako huu unadhani sisi ni UN? Nenda Mahakamani
Ushahidi mbona ulikuwepo kila mahali, hata wa mabegi ya kura zilizopigiwa ccm tayari?Nipo tayari, ila kiukweli msiniue tu.
Mpuuze huyo mzee, anadai bila aibu eti Hussein Mwinyi alimshinda Maalim Kihalali kabisa kwa Hussein Mwinyi kupata kura 76% huku Maalim akiambuia 19%Sina chembe ya shaka ya nilichosema, inawezekana uko hapa kutaka kupingana na ukweli. Ni hivi watu wengi hawathubutu kuusema ukweli huu hadharani kwa kuhofia maisha yao, lakini haimaanishi kuwa hawaujui ukweli huu, kuwa rais wetu wa sasa anasujudiwa na kuabudiwa. Labda ww ndio useme unafaidika na nini kwa kujaribu kufunika ukweli.
Hata kwa wizi na mauaji?!imeandikwa mshukuru Mungu kwa kila jambo
Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Uchaguzi umeisha wewe hujasikia? Leo ukitueleza upuuzi wako huu unadhani sisi ni UN? Nenda Mahakamani
Halafu hawaachi kumshukuru Mungu.
Mwambie mdau akupe ushahidi walau kupitia inbox hapa jamvini. Ukitaka muonane itatia shaka, maana utawala huu umeua mnoo.Kuna watu hamjui kusoma nyakati! Anguko la Magufuli kupitia uchaguzi huu liko wazi sana! Mungu amemfunua wazi kabisa uwovu wake, hila na dhuruma! Sasa unataka Afanye nini tena cha ziada?
Ujinga, woga, umaskini (fikra, Mawazo) ndo kitanzi chetu, sasa walio tuongoza ktk mapambano wanaikimbia nchi!
Na ukitaka tusubiri Mungu ashuke kwa style yako bila jitihada za Watanzania kuiponya nchi, tutajikuta level ya Zimbabwe ama mbali zaidi!