Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Rais fake, Mwenye Hati ya U-Rais fake! Rais hewa, hakustahili kuwa hapo alipo na anajua moyoni kinachoendelea nchini kuwa hapendeki, pamoja na ndege zake. alishika watu wenye vyeti feki wakati na yeye ni fake vilevile!!
Dhambi ileile ina mtafuna mara dufu, angekuwa mpole tu wagawane gawane hayo Madaraka mambo yaishe, atazuzuliwa sana na wajao! kuliko alivowashushua watangulizi wake,,, kwake yeye itakuwa maradufu ndiyo sheria ya Historia.
Wanafiki hawaishagi Duniani mwenzenu anaugulia Udikteta na utapeli alioufanya nyie mna shangilia akienda ICC, mtaufyata km alivo fanyiwa Al Bashir! hutapanua domo kumtetea km .
Dhambi ileile ina mtafuna mara dufu, angekuwa mpole tu wagawane gawane hayo Madaraka mambo yaishe, atazuzuliwa sana na wajao! kuliko alivowashushua watangulizi wake,,, kwake yeye itakuwa maradufu ndiyo sheria ya Historia.
Wanafiki hawaishagi Duniani mwenzenu anaugulia Udikteta na utapeli alioufanya nyie mna shangilia akienda ICC, mtaufyata km alivo fanyiwa Al Bashir! hutapanua domo kumtetea km .