Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Bullshit..
Kama kawaida wabongo na tabia ya kutowajibika. Uliacha wizi ukafanyika ili uje kulalamika Jf ambako hamna anaeweza kukujua
 
Kuna watu hamjui kusoma nyakati! Anguko la Magufuli kupitia uchaguzi huu liko wazi sana! Mungu amemfunua wazi kabisa uwovu wake, hila na dhuruma! Sasa unataka Afanye nini tena cha ziada?

Ujinga, woga, umaskini (fikra, Mawazo) ndo kitanzi chetu, sasa walio tuongoza ktk mapambano wanaikimbia nchi!

Na ukitaka tusubiri Mungu ashuke kwa style yako bila jitihada za Watanzania kuiponya nchi, tutajikuta level ya Zimbabwe ama mbali zaidi!
Kumbe una akili nzur tu
 
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Mimi pia nilikuwa msaidizi namba 2 kwenye kituo cha kupigia kura. Wasimamizi wote wa vituo waliitwa kabla ya uchaguzi na kupewa maelekezo ya kujaza matokeo ya bandia kwa lengo la kuisaidia CCM. Siku ya uchaguzi ilipowadia, wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi (AROs) walipewa matokeo hewa kwa kila kituo na kuwapa wasimamizi wote wa vituo vya kupigia kura ili wajaze kwenye fomu za matokeo. Waliambiwa waache kujaza matokeo halisi na badala yake wajaze matokeo hayo feki waliyopewa. Ilisemekana kwamba hayo yalikuwa maagizo kutoka juu. Nilishangaa sana nilipoona wachungaji wanaitwa kumuombea mshindi hewa wakati anaapishwa. Kwa kuwa Mungu hadhihakiwi, nina imani atatenda muujiza utakaowaangamiza wote waliopanga hizi njama ovu. Kwanza tayari wameishalaaniwa.
 
Yame shuhudiwa mengi Nime simuliwa kisa Cha kusisimua Cha CCM

Kuna diwani alishtushwa alipo tangazwa mshindi wa udiwani katika kata
Yaan diwani yeye binafsi KWA kinywa chake amekiri kua hakua chaguo la watu na inasemekana
ANAOGOPA UHAI WAKE MAANA
Anasema Hawa WATU HAWAKUNI CHAGUA
wasije wakanimaliza
 
Basi msilazimishe watu waamini kila lisemwalo, mtu akihoji anavurumishiwa matusi..si kila ushahidi unaowekwa mtandaoni ni ukweli, mtu yoyote anaweza kuzusha chochote.
Basi kama wewe huamini, kunywa maji ukalale. Usilazimishe kila mtu asiamini. Kilichofanyika kipo wazi na kila mtu alishuhudia. Mimi nilikuwa msimamizi namba 2 wa kituo na nimeshuhudia kila kitu. Ikiwa hata mimi eye witness huniamini unataka nini sasa? Basi kamuamini basha wako. Usitutishe.
 
Kuna mtu alisimamia jimbo. Alinambia kuwa waliletewa karatasi za matokeo toka juu yakiwa na kura/matokeo tayari. Jumla yake ndio ile aliyosema TL pale Kawe 27 Okt 2020 kuwa Magufuli angepata mil 12. Na kweli ikaja mil 12.5. Unaweza kufikiri TL ni mtabiri. La hasha! Alipata habari toka humo humo ndani.
Hiki ndicho kilichofanyika nchi nzima. Ni misukule pekee wanaoweza kupinga ukweli huu. Hata mm kituo nilichosimamia kama msimamizi namba 2, wasimamizi wa vituo vyote waliletewa matokeo kutoka juu.
 
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Ni mjinga pekee anayeamini matokeo yaliyotangazwa.Trump alikuwa sahihi alivyoita nchi zetu licha ya mapungufu yake.
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
 
Kilichofanyika Jimbo la kawe n Cha kusikitisha.. wasimamiz tumelipwa marar3 ya malipo halali.. Ninaushahidi wa kilichotokea. wasimamiz wa nec tuligeuzwa mawakala wa ccm. Siku ikifika nitauweka hadharani
 
Basi kama wewe huamini, kunywa maji ukalale. Usilazimishe kila mtu asiamini. Kilichofanyika kipo wazi na kila mtu alishuhudia. Mimi nilikuwa msimamizi namba 2 wa kituo na nimeshuhudia kila kitu. Ikiwa hata mimi eye witness huniamini unataka nini sasa? Basi kamuamini basha wako. Usitutishe.
Acha uboya wewe nani amekutisha? Nani amekulazimisha uamimi maoni yangu? Baki na maoni yako na mimi nibaki na yangu tusilazimishane. Kilichofanyika kipo wazi kwako na si kwangu na si lazima niamini kama wewe ulikuwa msimamizi namba 2 ukute umejipachika tu cheo. Kwenda zako huko. Ndo hivyo mmepigwa chini...hutaki JAMBA.
 
Kilichofanyika Jimbo la kawe n Cha kusikitisha.. wasimamiz tumelipwa marar3 ya malipo halali.. Ninaushahidi wa kilichotokea. wasimamiz wa nec tuligeuzwa mawakala wa ccm. Siku ikifika nitauweka hadharani
Kumbe njaa zenu zimewaponza. Mngesusia hayo malipo
 
Acha uboya wewe nani amekutisha? Nani amekulazimisha uamimi maoni yangu? Baki na maoni yako na mimi nibaki na yangu tusilazimishane. Kilichofanyika kipo wazi kwako na si kwangu na si lazima niamini kama wewe ulikuwa msimamizi namba 2 ukute umejipachika tu cheo. Kwenda zako huko. Ndo hivyo mmepigwa chini...hutaki JAMBA.
Mpuuzi mkubwa.....mnafanya uzwazwa mchana kweupe halafu mnatulazimisha tuukubali ujinga wenu....maiti mkubwa wewe.....nenda kazikwe!
 
Mpuuzi mkubwa.....mnafanya uzwazwa mchana kweupe halafu mnatulazimisha tuukubali ujinga wenu....maiti mkubwa wewe.....nenda kazikwe!
Ndo hivyo kajinyonge... KAZI INAENDELEA
 
Ndo hivyo kajinyonge... KAZI INAENDELEA
Kwani nani kawazuia kuendelea na umaiti wenu? lakini usitake kulazimisha watu kwamba hamjaiba kura......manyente wakubwa!
 
Back
Top Bottom