Nipo tayari, ila kiukweli msiniue tu.Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Aisee, kwahiyo unataka athibitishe kwa kukuonyesha video ili uamini?! [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Vijana wa zama hizi mnatisha sanaUnao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Sawa siku nikikuhitaji tafadhali usituangushe.Nipo tayari, ilaki ukweli msiniue tu.
Sijaelewa maana ya comment yako ama vilevile hujaelewa maana ya swali langu kwa mleta mada.Aisee, kwahiyo unataka athibitishe kwa kukuonyesha video ili uamini?! [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Vijana wa zama hizi mnatisha sana
Wala usije jiroga et kutoa ushahid viazi hawa watakufanya kama wanayo wafanyia wazanzibarNipo tayari, ilaki ukweli msiniue tu.
imeandikwa mshukuru Mungu kwa kila jamboHalafu hawaachi kumshukuru Mungu.
Acha kumtia hofu kijana. Kiukweli binafsi nilitaka Magu ashinde Urais ili akamilishe miradi ya Sgr, stiglers gorge na ikulu ya chamwino lakini siyo kwa staili ya wizi wa kura mpaka za wabunge uliofanyika. Wezi wa kura woote malipo yenu ni hapa hapa duniani hakuna hata haja ya kwenda mahakamani. Mungu wetu wa Abrahamu na Isaka atajibu maombi yetu kabla hata ya miaka 5 kuisha wote walishiriki kuiba kura watakuwa wameshaadhibiwa hata kama ni afisa elimu. Machozi yetu hasa kwenye kura za wabunge hayatamwagika bure. Rais muacheniSawa siku nikikuhitaji tafadhali usituangushe.
Na hii ni kwa wale wote wanaodhani wana weza kuthibitisha, tafadhali muwe tayari.
Kuna watu hamjui kusoma nyakati! Anguko la Magufuli kupitia uchaguzi huu liko wazi sana! Mungu amemfunua wazi kabisa uwovu wake, hila na dhuruma! Sasa unataka Afanye nini tena cha ziada?Acha kumtia hofu kijana. Kiukweli binafsi nilitaka Magu ashinde urais ili akamilishe miradi ya Sgr, stiglers gorge na ikulu ya chamwino lakini siyo kwa staili ya wizi wa kura mpaka za wabunge uliofanyika. Wezi wa kura woote malipo yenu ni hapa hapa duniani hakuna hata haja ya kwenda mahakamani. Mungu wetu wa Abrahamu na Isaka atajibu maombi yetu kabla hata ya miaka 5 kuisha wote walishiriki kuiba kura watakuwa wameshaadhibiwa hata kama ni afisa elimu. Machozi yetu hasa kwenye kura za wabunge hayatamwagika bure. Raisi muacheni
Anawapigia kwa ajili ya nini?Walikuwa wanatekeza maagizo kutoka juu kwa Mhutu , Sasa leo yamewatokea puani , wameanza kuwataka Tena wabunge wa upinzani bila aibu , jamani Ndugai acha kupigia cm wdbunge wa CDM .