Mi bishoo tu
Senior Member
- Jun 3, 2023
- 122
- 294
Boya halina msaada wowote kama haujui kuogelea...zaidi tu ya Mwili kupatikana mapemaNi bora ukae karibu na boya
Oyooo mbona unanitisha. Mi nilidhani boya litakufanya uelee hata kama ndiyo siku yako ya kwanza kwenye majiBoya halina msaada wowote kama haujui kuogelea...zaidi tu ya Mwili kupatikana mapema
Habari zinaanzaga kimasihara HivI hiviHabarini wanajukwaa,Leo nilikuwa navuka na kivuko cha Mv.Kamanga upande wa kamanga katika ziwa victoria,ilikuwa mnamo majira ya saa nane alasiri.Uwezo wa kivuko ni kubeba abiria 150.Ila Kwa wanajamvi mliovuka leo idadi ya abiria ni kati ya 700-800!Huku ikiwa imejaza mizigo ya kutosha mpaka kuzua taharuki Kwa abiria!Mamlaka husika kuweni macho janga jingine linaweza tokea Kwa uzembe wa wachache likatengeneza tume nyingine ya upigaji
Mjumbe hauawi
Mama!Oyooo mbona unanitisha. Mi nilidhani boya litakufanya uelee hata kama ndiyo siku yako ya kwanza kwenye maji
MtanikumbukaHabarini wanajukwaa,
Leo nilikuwa navuka na kivuko cha Mv.Kamanga upande wa kamanga katika ziwa victoria,ilikuwa mnamo majira ya saa nane alasiri.
Uwezo wa kivuko ni kubeba abiria 150. Ila Kwa wanajamvi mliovuka leo idadi ya abiria ni kati ya 700-800! Huku ikiwa imejaza mizigo ya kutosha mpaka kuzua taharuki Kwa abiria!
Mamlaka husika kuweni macho janga jingine linaweza tokea kwa uzembe wa wachache likatengeneza tume nyingine ya upigaji.
Mjumbe hauawi
Boya halina msaada wowote kama haujui kuogelea...zaidi tu ya Mwili kupatikana mapema
Aisee!!!Mkuu hata kama unajua kuogelea!
boya halisaidii chochote zaidi ya maiti kupatikana mapema!!
Boya linaelea, ukiwa na boya huwezi kuzama, hao jamaa ni waongo, labda kama kuna viumbe hatari kwenye hilo eneoAisee!!!
Na mbwembwe zangu kila ninapopanda hivyo vivuko nakaa karibu na lile furushi la maboya, kumbe huwa najisumbua tu! Daraja likamilike tu chapchap sasa
Boya halina msaada wowote kama haujui kuogelea...zaidi tu ya Mwili kupatikana mapema
Ingekua hivyo yasingewekwa kwenye hivyo vyombo vya majini, ukiwa na boya huzami.Mkuu hata kama unajua kuogelea!
boya halisaidii chochote zaidi ya maiti kupatikana mapema!!
Hapo sawa. Siku zote naambiwa ni hivi, leo ndo nasikia tofautiBoya linaelea, ukiwa na boya huwezi kuzama, hao jamaa ni waongo, labda kama viumbe hatari kwenye hilo eneo
Unajua boya linasaidia muda mchache sana.. Na pia watu hawajui unalishikaje boya ndani ya maji..Aisee!!!
Na mbwembwe zangu kila ninapopanda hivyo vivuko nakaa karibu na lile furushi la maboya, kumbe huwa najisumbua tu! Daraja likamilike tu chapchap sasa
Wewe unatishika bure hujui habari za ziwani!!ukiwa na boya utazamajeUnajua boya linasaidia muda mchache sana.. Na pia watu hawajui unalishikaje boya ndani ya maji..
Ziwani kuna upepo na mawimbi makubwa.. Tofauti na swimming pool ambapo maji yametulia..
Wengi hawana uzoefu wa kucheza na hayo maji yenye mawimbi makubwa ziwani zaidi ya kupanic... Kelele... Na kupelekwa mbali... Na kupotelea humo
Jichanganye sasa...Boya linaelea, ukiwa na boya huwezi kuzama, hao jamaa ni waongo, labda kama kuna viumbe hatari kwenye hilo eneo