DOKEZO Niliyoyaona leo Ziwa Victoria muda si mrefu yatajirudia ya MV Bukoba au MV Spice Islanders

DOKEZO Niliyoyaona leo Ziwa Victoria muda si mrefu yatajirudia ya MV Bukoba au MV Spice Islanders

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Oyooo mbona unanitisha. Mi nilidhani boya litakufanya uelee hata kama ndiyo siku yako ya kwanza kwenye maji
Unavyojua ndivyo ilivyo. Hawa wengine wanakudanganya tu. Boya litakuokoa kabisa hata kama hujawahi kuona maji. Ila msaada zaidi uwahi tu
 
Aisee!!!

Na mbwembwe zangu kila ninapopanda hivyo vivuko nakaa karibu na lile furushi la maboya, kumbe huwa najisumbua tu! Daraja likamilike tu chapchap sasa
Njoo uone huku kerebe wanawake wameokolewa na maboya. Watu zaidi ya 28 amefariki mmoja tu kwa sababu ya hayo maboya leo wasiojua ndo wanayabeza
 
Mkuu hivi unapajua madolo wewe!!!?

Maji ya madolo sio ya swimming pool mzee!!

Swimming pool haina

komezi
Buhanga
Mlimbe
Mwigundu
Ngezi
Kubwa kuliko yote hakuna MSOKE!!

Yaani kwa ujumla swmnpool ni shwari hakuna aina yeyote ya upepo so boya linakusaidia vizuri tu!

LAKINI MADOLO PASIKIE TU!!!
Umetaja mambo kivuvi ila boya linaelea na ukiwa na boya una zaidi ya asilimia 95 ya kupona
 
Goziba ndo naendaka kula chakula cha mchana mimi
Siwezi kukupinga kwasababu kila mtu na mazingira ambayo amekulia na kuyazoea, kuna wanangu wapo NAVY yani maji hawana tabu nayo kabisa.

Kwahiyo kila mtu na mazingira yake kuna kipindi nikiwa mpakani Kagera mvua inanyesha na madogo wanacheza tena kwenye maji ila niambie vitoto vya mjini humu kinaweza kuhimili kama hakija umwa magonjwa chungu nzima.
 
Sawa. Kerebe ipo wapi?
Tazama katika ramani yako ya google . Nikisiwa kiko zaidi ya km 30 kutoka bandari ya bukoba kuelekea mashariki. Inahitajika kupanua ramani ili kukiona na jina la kijogorafia kinaitwa bukarebe island
 
Siwezi kukupinga kwasababu kila mtu na mazingira ambayo amekulia na kuyazoea, kuna wanangu wapo NAVY yani maji hawana tabu nayo kabisa.

Kwahiyo kila mtu na mazingira yake kuna kipindi nikiwa mpakani Kagera mvua inanyesha na madogo wanacheza tena kwenye maji ila niambie vitoto vya mjini humu kinaweza kuhimili kama hakija umwa magonjwa chungu nzima.
Yeh kila mtu na mazingira aliyoyazoea
 
Nchi yetu huwa hatujifunzi na kurekebisha.......mengi huwa tunamsingizia sana Mungu
 
Tazama katika ramani yako ya google . Nikisiwa kiko zaidi ya km 30 kutoka bandari ya bukoba kuelekea mashariki. Inahitajika kupanua ramani ili kukiona na jina la kijogorafia kinaitwa bukarebe island
Ok shukran mkuu
 
Aisee!!!

Na mbwembwe zangu kila ninapopanda hivyo vivuko nakaa karibu na lile furushi la maboya, kumbe huwa najisumbua tu! Daraja likamilike tu chapchap sasa
Kwa hali aliyonayo mama sasa hivi, sijui😩
 
Busisi kivuko kimoja kipo katika service ndio maana huko kuna abiria na mizigo mingi
 
Mkuu hivi unapajua madolo wewe!!!?

Maji ya madolo sio ya swimming pool mzee!!

Swimming pool haina

komezi
Buhanga
Mlimbe
Mwigundu
Ngezi
Kubwa kuliko yote hakuna MSOKE!!

Yaani kwa ujumla swmnpool ni shwari hakuna aina yeyote ya upepo so boya linakusaidia vizuri tu!

LAKINI MADOLO PASIKIE TU!!!
Wewe unaongelea madolo kwa maana ya maji marefu far away from nchikavu, kiasi kwamba unaona umezungukwa na mbingu iliyogusana na maji ya ziwa. Acha uoga ni kawaida tu. Na hapa nawanyooshea mikono wadau wanaoendesha vyombo bila dira na hawapotei.

Boya linaweza kuokoa maisha kwa urahisi sana katika matukio mengi ya vyombo vya usafiri kuzama majini kama likitumika sawasawa.
Siyo kweli ulichosema kuhusu boya.

Hayo mengine ni majina ya pepo tu za ziwa victoria ambazo husaidia kutambua aina na kiasi cha hatari kinachoweza(95%) kutokea na njia sahihi ya kukikwepa.

Mamlaka hapo KAMANGA FERY zifuatilie usalama lakini tutumie pia MKOMBOZI.
 
Back
Top Bottom