Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni kudeka.Mbona mko serious hivi?
Mimi mpaka chuo nikiumwa mama atanipeleka hosp, na nikiwa najiskia vibaya vibaya nalia kabisa.. na sio kudeka, sijui ni nini uwa.
Arusha hamna machungwa ya kuvuna.Tanga, maramba au Oljoro Arusha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣HII imenikumbusha siku niliyoripoti JKT mimi nilinyoa kipara Sasa wakati nafika kwenye gari la kuelekea kambini nilikutana na wadada wawili wao walikuwa hawajanyoa, Ile tunafika nikaulizwa Hawa unawafahamu nikajibu ndiyo, wakaniambia kwahiyo wewe umewadanganya wasinyoe alafu ukanyoa peke yako, aisee palepale getini nilianza kuroll na kurukishwa vichura, nikamwagiwa maji, Kisha nikaambiwa niwapake poda usoni yaani vumbi, alafu niwanyoe yaani palepale hamu yote ya JESHI iliisha
Uyo ni kenge. Kenge haisikii mpaka damu itokeMleta Uzi ni ke jamani,mbona anamwambia kabisa rafiki yake ni Anna?msichoelewa hapo Nini?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii ni bongo ukikosoa utakosolewa sawa, wewe hiyo ''solder'' ndio nini ?
umenikumbusha mbali mkuu...kukwepa ndege kuskie tu[emoji23][emoji23]Kama huna malengo ya kuajiriwa kwenye majeshi Jkt Hamna umuhimu zaidi ya kupigwa nua, kuimba chenja, kukwepa ndege, kula kijogoo, kulima, na kwenda mabio
Itakua Arusha hii or mikoa ya kusini,trank langu la advance nililiacha hukohuko duh long time maisha yanaenda haraka sn,ila mm napendaga nidhamu na utanashati wao nothing moreNon of the above
Umewahi kwenda jkt?Sasa "sidiria sidiria" zinahusu nini tena kijana?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Dogo unatuahidi kesho sangapi!?? Afu dogo mlaini sana ungefika Bulombora si ungekufa!!!Kesho mkuu
Sisi ndio Form6 wapili kwenda Mujibu toka haya mafunzo yarejeshwe baada ya kusitishwa kwa muda mrefu!!Aisee ulivyonita dogo dhahiri ushaenda na wewe huko jeshi
Non of the above
Mi nawalinda mabinti. Sipatani tu ila mitakataka inayotaka iwe kama mabinti. Ndo maana nikiona hata mtu anaonesha dalili namwahi kabla hajaharibikiwa sana. Ila kwa watoto wazuri kama nyie ole wake mtu awaguse nitamfanya kitu kibaya. Huyu mwandishi nilidhani ndo wale wanaume mchekea. Nlifura kwa hasira sana kuwa yamefikia hatua yanajiweka tu hadharani. Kumbe siyo maskini.Ila wewe 🤣
[emoji23][emoji23]Malizia stori dogo nilale zangu kesho niwah sait kubeba tofar za bloku
Anaona bra na boksaUnaona bra au blah?? 🤔