Niliyoyashuhudia Jeshini

Niliyoyashuhudia Jeshini

Huko sijawahi pangwa mkuu yani kwa kifupi kitengo cha mifugo sijawahi kuwa na zali nacho ni siku moja tu nilipangwa kule poultry kuokota mayai ya kuku basi, mimi shamba langu lilikuwa kule jkt club karibu na barabara ya kwenda mikoani, tulikuwaga tunanunua vitafunwa kule kule mtu unarudi kikosini ushashiba zako
Kule tulikua tunapita shadidi, aisee Kuna afande Moja tulikua tunamwita Trump, alivo trump na alivo yy sema trump kazeeka....pale tulifeka pembeni ya mto ruvu...yaan tangu asubuh ni kufeka tu Hamna kupumzika baada ya kuona mtiti umekua mkali tukajificha kwenye majani flan marefu trump kuona watu hawapo akawasha moto tukatoka nduki tulikuja kudakwa wote!

Jioni tulikabidhiwa kwa afande Moja anaitwa juma 😁anaongea kisela ila jamaa ni shetani yule usiku kucha ni kubebana, ni kuimba kukimbia aisee tulikua makuruti ya demo
 
Kule tulikua tunapita shadidi, aisee Kuna afande Moja tulikua tunamwita Trump, alivo trump na alivo yy sema trump kazeeka....pale tulifeka pembeni ya mto ruvu...yaan tangu asubuh ni kufeka tu Hamna kupumzika baada ya kuona mtiti umekua mkali tukajificha kwenye majani flan marefu trump kuona watu hawapo akawasha moto tukatoka nduki tulikuja kudakwa wote!

Jioni tulikabidhiwa kwa afande Moja anaitwa juma [emoji16]anaongea kisela ila jamaa ni shetani yule usiku kucha ni kubebana, ni kuimba kukimbia aisee tulikua makuruti ya demo
Hivi uliwakutaga akina, Mayanga, Kwaro, Baba Hans, Humphrey Mwandenuka, Sulley, Mwamasangula
 
Tatizo lako utoto unakupa shida.
Hivi umeona kuna sentence imeambatana na hayo maneno? Kwa kuwa umepita JKT basi umekuwa mmiliki wa misemo ya jeshini sio? Kuna sehemu mtoa mada kasema tu comment mambo ya siku hizi? Pole sana dogo ujuaji utakuponza.
samahani kama nimekukwaza mkuu...🙏🙏🙏
 
Dada angu alienda ya kujitolea naona karudi mzuri vile vile 1.5yr ,Mungu amjalie apate hitaji la moyo wake anapenda sana Jeshi .Aliangua kilio siku ya usahili alivyoambiwa vigezo havijatimia vyeti vilichelewa kumfikia siku ya usahiliĺ.
We
SEHEMU YA 13
MAOKOTO

mwanzoni kuruta wote tulipewa kopo la uani na sanitizer sisi tukajua ni upendo tunapendwa sanaaa na bakabaka.
Mwisho wa mwezi ukafika kuruta njoeni kuna maokoto yenu jeshi tunawapa iwasogeze siku.

Tumekaa kombania bakabaka kashika burungutu mimi jina langu ni herufi ya mwanzo kwahiyo hela nilikua napewa wa kwanza

Nikaitwa jina nikaenda nikapewa hela halafu nisign, nikapiga jicho kwenye amount iliyoandikwa ni tofauti na niliyopewa, nikimaanisha nimepewa nusu ya hela.

Wote tukapewa tukaanza kuulizana vipi mbona tumepewa hela nusu?
Bakabaka akatuambia "Mlivyokuja mlichukua makopo yetu na sanitizer mlidhani tumewapa bure?"

Ikawa kila mwezi tunapewa maokoto nusu kisingizio ety tulivyokuja walitupa makopo na sanitizer zao!😄

NADHARIA YA WANAJESHI KUTEMBEA NA KURUTI

NIilivyotoka nyumbani usia ulikua kua makini huko wajeda sio watu wazuri!
Nikiri kwa nilichokiona WANAJESHI MNAWASINGIZIA!

Labda kama hiyo tabia ipo kambi zingine lakini kambi niliyokuepo mimi wanajeshi walikua wanajiheshimu sana.

Hawakua hata hivyo kusema wanatusumbua kuruta hapana.
Ila wanaoharibu sifa ni wale service man, wale ni vichomi kazi nyingi tunakua nao hivyo wanachukua nafasi hiyo kupenyeza nia yao ovu.

Ole wako service man umkatae utapata adhabu kama zote.
Mzazi usiogope mtoto kwenda kwa mujibu, faida ni nyingi kuliko hasara

"If it's bitter at the start, then it's sweeter in the end"
Kwahyo wewe kuna service man alifanya yake
Mm kambi niliyo kuwepo kama kwa kudeka kwako huko wengekukula mapema sana ili upate kitonga other wise usiwe mzuriii
 
Ole wako service man umkatae utapata adhabu kama zote.
Kwahiyo ephen_ ilikulazimu umpe tunda service man ili kukwepa adhabu? Na hiki ndiyo kinatisha wazazi na wale wote ambao hatujaenda jeshini. Kuwa kuna tabia mbaya.

Katika simulizi yako yote hujaeleza faida yoyote ya maana uliyoipata huko jeshini kwa maana ya ujuzi ama maarifa.

Kweli mtu unaenda kupakaa matope, kukesha ukiimba na kuchimba visiki ktk karne hii? So what?

Nilitegemea mnafundishwa namna ya kubadilisha mbegu za mimea ziwe zinaendana na mabadiliko ya tabia nchi. Mngefundishwa namna bora ya kufuga, kulima na ubunifu wa kutengeneza silaha za kisasa.

Kuoga tope? Kukesha? Halafu mnaishia kugawa tunda kwa service man!!!!?? Aghhhj!! No! No!
 
Back
Top Bottom