Kwahiyo tunda
ephen_ ilikulazimu umpe tunda service man ili kukwepa adhabu? Na hiki ndiyo kinatisha wazazi na wale wote ambao hatujaenda jeshini. Kuna tabia mbaya.
Katika simulizi yako yote hujaeleza faida yoyote ya maana uliyoipata huko jeshini kwa maana ya ujuzi ama maarifa.
Kweli mtu unaenda kupakaa matope, kukesha ukiimba na kichimbq visiki ktk karne hii? So what?
Nilitegemea mnafundiahwa namna ya kubadilisha mbegu za mimea ziwe ziendane na mabadiliko ya tabia nchi. Mngefindishwa namna bora ya kufuga, kulima na ubunifu wa kutengeneza silaha za kisasa.
Kuoga tope? Kukesha? Halafu mnaishia kugawa tunda kwa service man!!!!?? Aghhhj!! No! No!