Niliyoyashuhudia Jeshini

chenja yangu pendwa
 
Umesoma story yote ulichojifunza ndo hicho!
Hongera.
 
sikutaka kuwa mjinga siku ya intro baada ya kuona hapa sitoboi nilichana pitshot katikati
 
Nilikutana na mabinti wawili wakiwa wametoka jkt nadhani walikua wanasubiria ajira, aisee Hawa watoto walikua smart sana na wapambanaji... Walikuja mkoa nilikuwepo kusaka maisha... Mwisho wakaishia kupata ajira za ulinzi kwenye mahoteli... Tulizoeana nao sana... Walikua wananichukulia kama kaka Yao

Ila mwisho wa siku jinsia tofauti zikikaa muda mrefu pamoja mambo mengi yanabadilika, niliishia kuzitafuna mbususu zao wote kwa kipindi tofauti ... Walipata zali sa ivi mmoja ni immigration na mwingine polisi dar .. na tunawasiliana kama kawaida
 
😃Kuna mananga yaliweka Rapid badala ya single shots😅hawa kama msimuliaji walikuwa wanalala muda wa kipindi..

Zikianza kurindima😄mlio utapenda mbona
 
😅😅😅kambini kwetu sasa maafande kwa kushikisha watu mnazi 😅😅😅. fyddell bisha
 
NITAKUJA KUWAPA NILIYOYAONA KWENYE UWANJA WA DAMU.

UTAMBULISHO WA KAMBI (WELCOME TO THE CAMP)

BULOMBORA 821KJ

KUJITOLEA SIYO MUJIBU WA SHERIA.

WANA WALIVYOPATA MAGONJWA YA AKILI.

RAFIKI ZANGU VIPANDE(MIILI MIKUBWA) WALIVYOESCAPE KAMBINI BAADA YA MATIZI MAKALI.

NILIVYOOGELEA KWENYE SHIMO LA MAJI MACHAFU (DOSO) MTALO ULIOKUA UNATOKA BAFUNI BAADA MAKURUTI KUOGA.

NITAWASIMULIA NILIVYOENDA KUFANYA FUJO KWA KIJIJINI KWA DOSA HAPA NI RUVU JKT.

NITAWASIMULIA NILIVYOKUA NAKAZA MATRONI (DATE) NILIGUNDULIKA NA KUPATA TABU SANA.
 
Ulikuwa wazee wa misimamo😅

Kambi yetu kuna kitengo kipya kilianzishwa kinaitwa KP kwamba Kula Potea.. wajomba unawaona muda wa msosi tuu baada ya hapo huwaoni sehemu yoyote
 
😅Uanzishe uzi wa mlioenda kwa Kujitolea sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…