Niliyoyashuhudia Jeshini

huyu nahis ni mwanamke soma kwa utulivu bandiko lake
 
Ndio na mimi nilijifunza kunyoa watu na kiwembe jeshini.
Kila weekend tunakaguliwa kichwani unatakiwa uwe para na hakuna kinyozi ni nyie kuruta mnyoane wenyewe.
Ulivyokua nanga kiaina utakuwa uliwakata sana wenzio๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ