Niliyoyashuhudia Jeshini

Niliyoyashuhudia Jeshini

Form six gani Hiace anaita Hiance? Halafu wewe huu uandishi wako ushaharibiwa. Hakuna kitu umebaki nacho. Ndo maana mzee wako alitaka uende jeshini ukakaze misuli ya matako. Umeshalegea sana. Mwanaume hawezi omba saidiwa na mwanamke na hawezi lia eti anamwita mama yake. Wewe ni takataka. Ondoka hapa na uzi wako.
huyu nahis ni mwanamke soma kwa utulivu bandiko lake
 
ba2b323e85e543419f975014d097ca04.jpg
Hii picha imenikumbusha jeshini
 
Ndio na mimi nilijifunza kunyoa watu na kiwembe jeshini.
Kila weekend tunakaguliwa kichwani unatakiwa uwe para na hakuna kinyozi ni nyie kuruta mnyoane wenyewe.
Ulivyokua nanga kiaina utakuwa uliwakata sana wenzio😀
 
Back
Top Bottom