Niliyoyashuhudia Jeshini

Niliyoyashuhudia Jeshini

ephen_ hukubadilika? 😂😂 kuna wadau walirudi na picha aisee ukiicheck ile picha huelewi mtoto wa kike ni yupi. Woteee wanafanana, sasa ndo uwe na komwe/ kisogo kimerudi nyuma
Huko tutafika mkuu! Picha ninazo nimezificha mbali sanaaaa

Plus kua na rangi mbilimbili Aiseee😂
 
hata mleta uzi kitendo cha kusema tu walienda kuvuna machungwa hauza code hiyo ni mgambo 832 KJ kama sikosei maana kitambo sana ni miaka kumi sasa tangu nitoke huko
hapana hio itakua tanga mgambo ni 835 alafu mgambo ukishuka kabuku hakuna daladala za kule ni boda pia mashamba ya mgambo hayako uelekeo wa stand
 
Very interesting story, kwa sisi ambao hatukuwahi kwenda inafurahisha kusoma.

Kuna jamaa alileta yake, eti siku hiyo akajikuta na mdada kwenye shimo au nini, wakapata nafasi ya kupunguziana, najiuliza hali hiyo mwili si umekufa ganzi kabisa.!
 
Back
Top Bottom